Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe hio inaitwa ventilation mzee, wacha ushamba. Lab ambayo ina incubators ya kupika bacteria lazima iwe na ventilation ya kutoa hio moshi nje. Hahaha 😆😅😂. Anyway sisi wote hatujui kazi ya hilo dude. Hatujasomea course ya lab technologist. Muulizeni Teargas atawajibu.
Sijui mbona unasumbuana na hawa watu?😂😂 99% of Tanzanians in this thread hawajui what microbiology entails na pia hawajui the functions of the instruments and equipment in that room.
 
Usipoteze hii picha, niwekee nitaiitaji. 🤣 🤣
Hehehe alafu utaskia wakisema ati Tz is the most urbanized country in the region kumbe their cities are than Kenyan villages😂😂🤣
 
Bado tuko kitchen.

Proudly assembled in Kenya by Kenyans

20220419_174552.jpg
 
Hehehe alafu utaskia wakisema ati Tz is the most urbanized country in the region kumbe their cities are than Kenyan villages😂😂🤣
Eti hakuna slums Tanzania. Kenya kuna slums ila huwezi pata eneo hiyo size likikaa ovyo hivo hata kwa jiji kubwa kama Nairobi. Yani kamjiji kama mbeya hiyo sehemu kubwa hivo ni slum tupu. 🤣 🤣
 
Njugu man. Unauza njugu karanga ama boilo[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Masaa 24 upo JF Maxence Melo mumshukuru sn kuwawekeeni sehemu ya kujifariji na ukosefu wa ajira plus stress za maisha. This is too much aisee from 6 in the morning daily bila kukosa, duuhh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Masaa 24 upo JF Maxence Melo mumshukuru sn kuwawekeeni sehemu ya kujifariji na ukosefu wa ajira plus stress za maisha. This is too much aisee from 6 in the morning daily bila kukosa, duuhh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa kama unatembea kwa barabara na njugu utapata wapi time ya kuingia jf regularly?😂😂🤣🤣
 
Wewe hio inaitwa ventilation mzee, wacha ushamba. Lab ambayo ina incubators ya kupika bacteria lazima iwe na ventilation ya kutoa hio moshi nje. Hahaha 😆😅😂. Anyway sisi wote hatujui kazi ya hilo dude. Hatujasomea course ya lab technologist. Muulizeni Teargas atawajibu.
Swala sio hiyo ni nini, swala ni kwamba limewekwa kilocal sana
 
Eti hakuna slums Tanzania. Kenya kuna slums ila huwezi pata eneo hiyo size likikaa ovyo hivo hata kwa jiji kubwa kama Nairobi. Yani kamjiji kama mbeya hiyo sehemu kubwa hivo ni slum tupu. 🤣 🤣
Try to imagine that's the best of the best ya Mbeya. Sasa sijui the worst panafanana aje? 😂😂🤣😂
 
Those computers are attached to AAS (Atomic Absorbent Spectrophotometer), they are used for the analysis of metallic ions. For the counter book, that's where the records for your laboratory work is kept. Every analyst has his/her counter book and they are responsible for every writing inside it. Let's say I'm doing microbiological analysis of ten water samples and another ten food samples, how will I keep the records of these analysis if I don't write them down?
Sio kweli

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Tanzanians will be coming to take pictures here🤣🤣😂

1650380832102.jpg
 
Back
Top Bottom