Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakuu mmeona buti la dokta hilo? Huyu haki ya mama atakuwa intern huyu mm nawaambia, oneni buti [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220419-114602.jpg
Screenshot_20220419-114632.jpg
 
Kiatu kimetumika mpaka kisigino kinacheka, Teargas unapenda kuwa na maisha bora ila pambana na uache kujitutumua cku moja utapata nafuu ya maisha japo umri umeenda[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220419-115409.jpg
 
Mtu ana miaka above 30 na bado ni intern, aiseee maisha haya we acha tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dr. Teargas vp unatibia mgonjwa nn sahizi, naona upo kimya na co kawaida yako mzee wa 24/7 on JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Student huyo huoni hata alivyo fukara? Asubiri miaka 30 ijayo ndiyo apate internship zen baada ya miaka 5 ya internship huenda akapata ajira, na vile ajira hamna huko Kunyaland mbona kazi anayo. Miaka 35 bado anasoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom