Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Sa mbona bado ni tower moja.? Buildings zingine ar less than 10 storeysHaha,, Upperhill is beautiful men , massive and unique Tower ❤️ ❤️😍
View attachment 2149370
View attachment 2149372
Sa mbona bado ni tower moja.? Buildings zingine ar less than 10 storeysHaha,, Upperhill is beautiful men , massive and unique Tower ❤️ ❤️😍
View attachment 2149370
View attachment 2149372
Uk ni ni kimeo ndiyo maana iliamshaUK inacheza role chafu in EU nakumbuka baada ya France kukosa deal la Nyambizi! boris Johnson aliwaambia hivi!
hao kwa asilimia kubwa huwa wanasikilizia mambo kutoka USAKwenye brexit walikurupuka sana.. Saiv wanageuka wazee wa uzandiki na fitina tu.
UK inageuka joka la mdimu ndani ya EU.
Sent using Jamii Forums mobile app
naona ata wakina kandabongo Man wako mbele yaoSA no7., egypt no.8., seychelles no.2.! kenya no.16....... hapo sasa. sina issue na hii list, iko fine kabisa kabisa 👍🏽👍🏽
Zanzibar inaenda kuipoteza mombasa na diani kwenye ramani ya utalii sio kwa uwekazaji huu 👆👆
mzee wacha kuweka picha individuals humu hii thread si album! Nenda ka-post Jamii Photos
kenya hawana jeshi, ni kikundi cha wahuni tu, ndiyo maana siku zote serikali ya kenya huwa inajipendekeza US na UKmwaka wa uchaguzi huu!
Kunyaland ni failed state, haina jeshi sasa wafanyeje?Hili jambo linaniudhi sana. Kwa nini hawa maumbwa Al shabab wanawachwa watawale huko Boni forest na kuchoma magari za contractor anayejenga barabara huko? Hio barabara ni muhimu sana kuunganisha Lamu na Garissa.
wakunya ni sawa na wanawake, siku zote wanamsifu mume hata kama wanajua kakoseaSikuwahi sikia marekani anapovamia nchi huru, nguvu kutumika kupinga. Walimuua Saddam na Gaddafi kwa sababu za uongo. Mlibaki kupiga makofi na kusifia.
hawajawahi kufika walio wengi, Tanzania wanaijua kwa kuigoogle na kuambiwa hahahhhaha, TZ inabidi tupambane tuendelee kuvutia taasisi za kimataifa kuweka makao makuu yao hapa, tulichelewa sana wakati tunawasaidia wenzetu kupata uhuru, muda ni huuHehehehe ndiyo nasuburi nione wafaransa watafanyaje mpk TB2 iwe Kali kuliko TB3. Mana kwanza TB3 ukiingia tu unajikuta kama upo dunia nyingine kabisa, kwanza utapigwa baridi moja matata plus mandhari yake ya usafi isiyobadirika, wageni wanausifia sn huu uwanja, alafu anatokea kima eti analinganisha JNIA na JKIA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wakunya haya mambo hawawezi kuyaelewa, wanajua kuomba na kulia njaa kwa wazungu tu,Nikisema Marekani anataka kuvunja EU makuhadi Wakunya kama Tony254 huwa hawaoni hilo!
Only SA and Egypt are ahead of Kenya among countries with over 50M people.SA no7., egypt no.8., seychelles no.2.! kenya no.16....... hapo sasa. sina issue na hii list, iko fine kabisa kabisa 👍🏽👍🏽