Wakunya bhn, eti kwasababu wao wanasumbuliwa na njaa wanatafuta pakulinganisha na sisi ili ionekane wao wana njaa na sisi pia tuna njaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hapo cha ajabu nn? Huo udongo wanakula wanawake wote wa Africa pale wanapokuwa wajawazito, utakuta mwanamke ni mfanyakazi ktk ofisi kubwa na ana pesa na anaishi kifahari lkn anaenda kariakoo kununua udongo kutokana na mimba yake kuhitaji icho kitu.
Msifosi tufanane [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]