Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mshamba kisa hajui mnakula udongo?[emoji23][emoji23]
Wakunya bhn, eti kwasababu wao wanasumbuliwa na njaa wanatafuta pakulinganisha na sisi ili ionekane wao wana njaa na sisi pia tuna njaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa hapo cha ajabu nn? Huo udongo wanakula wanawake wote wa Africa pale wanapokuwa wajawazito, utakuta mwanamke ni mfanyakazi ktk ofisi kubwa na ana pesa na anaishi kifahari lkn anaenda kariakoo kununua udongo kutokana na mimba yake kuhitaji icho kitu.

Msifosi tufanane [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakunya bhn, eti kwasababu wao wanasumbuliwa na njaa wanatafuta pakulinganisha na sisi ili ionekane wao wana njaa na sisi pia tuna njaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa hapo cha ajabu nn? Huo udongo wanakula wanawake wote wa Africa pale wanapokuwa wajawazito, utakuta mwanamke ni mfanyakazi ktk ofisi kubwa na ana pesa na anaishi kifahari lkn anaenda kariakoo kununua udongo kutokana na mimba yake kuhitaji icho kitu.

Msifosi tufanane [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hawa kondoo hawanaga akili. [emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_0738.jpg
 
Wanawake wa Kenya huwa hawali udongo?

Nimeona huko Kenya sio udongo tu wanakula hadi mawe.

mnapoteza mda kwa hao kondoo wakikenya,wanaigiza maisha humu wakati hivyo vitu kwa jamii ya afrika na hata watu weupe ni kawaida,
kila kitu wanajua hao sema mbwembwe tu wanajitoa ufahamu,

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom