Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Haitowai kutokea kuwa levo moja ata miaka bukuKwani Nani kakuambia Mombasa na Diani ni level ya Zanzibar!
Haitowai kutokea kuwa levo moja ata miaka bukuKwani Nani kakuambia Mombasa na Diani ni level ya Zanzibar!
naona full unyamaProof kuwa upande wa pili Bagamoyo road sio Vumbi ni zege la maana[emoji41]
View attachment 2149825
View attachment 2149826
View attachment 2149827
View attachment 2149828
Dah Tz kweli maendeleo yapo panaanza kufanania na UlayaHapana ni Tz hiyo mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usiniwekee maneno kwa mdomo wee kilaza. Umemuita mwenzio mshamba kisa ameshangaa mnakula udongo. Ndio nikakuuliza hiyo ndio definition ya ushamba? Yani wale wenye Hawaii udongo na hawajui unaliwa ndio washamba?🤣🤣🤣Hujawai kuona mtoto mdogo anakula udongo?? Umewai jiuliza kwa Nini anakuwa na hamu ya kula udongo.. Au ukuwai kukutana na mtu anakula kucha zake?? Jiulize ki sayansi ni kwa Nini??
Naona utalii umeanza kwa kasi hivi!Hawa watu mtawakimbiza humu jamani uendenao taratibu taratibu [emoji23][emoji23]