THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Marekani huwa anapiga nchi masikini kwa kisingizio kwamba anaangamiza madikteta tukianzia Sadam Hussein wa Iraq, Gadaffi wa Libya na wengine. Japo Marekani alidanganya kwamba Sadam Hussein alikuwa na weapon of mass destruction ili apate ruhusa ya kuipiga Iraq. Baadaye ilijulikana ni uongo, Sadam hakuwa na silaha hio. Urusi nao huwa wanavamia nchi yoyote ambayo inataka kujiunga na demokrasia ya EU. Sasa hivi Urusi inaipiga Ukraine kwa sababu Ukraine inataka kujiunga na EU na Nato. Putin anasema kwamba Waukraine ni Warusi na hatowaruhusu kujiunga na EU sasa afadhali awapige awauwe wote kuliko kuwakubalia kujiunga na EU.
Pata porojo kdg Tony 😂😂😂.