The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,186
Kabisa huwa sijistukiiWewe ni saa mbovu, hivi huwa hujistukii mzee ?
Kabisa huwa sijistukiiWewe ni saa mbovu, hivi huwa hujistukii mzee ?
Taja faida basi unazozijua wewe tofauti na za mabomu na bundukiFicha ujinga wako...
For less communist countriesWasomi wengi wa zamani wakisoma urusi na Cuba
balaaNa kuna ule wa abeid karume nao ni nomaa mzee
effect za photograph mzee zimehusikaUsiku kuna waka vizuri njoo mchana sasa utatamani kutapika
uswazi designs [emoji1787]
Marekani ana ujinga. Marekani ni mwoga dhidi ya nchi kubwa kubwa kama Russia. Marekani na Urusi wote wanapenda kunyanyasa nchi ndogo ndogo ila ukiziambia zipigane tuone nani atashinda, zinaogopana. Wanaanza kusema kwamba nuclear bomb itamaliza dunia 😅View attachment 2148899
Tony254
Nasikia marekani alimwomba Poland kupeleka ndege Ukraine,
Poland akakubali ila akasema hatazipeleka moja kwa moja Ukraine bali atazipeleka kwenye base ya US ilioko Germany free of charge, then Marekani azipeleke mwenyewe Ukraine.
Marekani kachomoa😂😂😂😂
Nikisema Marekani anataka kuvunja EU makuhadi Wakunya kama Tony254 huwa hawaoni hilo!View attachment 2148899
Tony254
Nasikia marekani alimwomba Poland kupeleka ndege Ukraine,
Poland akakubali ila akasema hatazipeleka moja kwa moja Ukraine bali atazipeleka kwenye base ya US ilioko Germany free of charge, then Marekani azipeleke mwenyewe Ukraine.
Marekani kachomoa😂😂😂😂
Russia anampoteza mpenziwe Germany. Hizi nchi mbili zilipendana sana kibiashara. Sasa uhusiano huo wa kibiashara unakwisha polepole.
Effect na madhara ya hii vita kwa uchumi wa Russia unaweza kuwa mkubwa sana. Russia inabidi sasa imtegemee mchina kwa kila kitu.
Marekani na Uingereza hawataki third Axis! Na EU inataka kuungana na kuwa at the center of the US and China! Kumbuka Canada sees herself belonged more to the EU ideals than the US'! hujui hii maneno uliza upewe somo! Ndo maana Germany na France r very suspiscious of the US true motives!Sio interest ya Marekani kuvunja EU.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] vita yakuviziana huwa ina propaganda sana pia neno democrasia hutumika sana,Marekani ana ujinga. Marekani ni mwoga dhidi ya nchi kubwa kubwa kama Russia. Marekani na Urusi wote wanapenda kunyanyasa nchi ndogo ndogo ila ukiziambia zipigane tuone nani atashinda, zinaogopana. Wanaanza kusema kwamba nuclear bomb itamaliza dunia [emoji28]
Marekani huwa anapiga nchi masikini kwa kisingizio kwamba anaangamiza madikteta tukianzia Sadam Hussein wa Iraq, Gadaffi wa Libya na wengine. Japo Marekani alidanganya kwamba Sadam Hussein alikuwa na weapon of mass destruction ili apate ruhusa ya kuipiga Iraq. Baadaye ilijulikana ni uongo, Sadam hakuwa na silaha hio. Urusi nao huwa wanavamia nchi yoyote ambayo inataka kujiunga na demokrasia ya EU. Sasa hivi Urusi inaipiga Ukraine kwa sababu Ukraine inataka kujiunga na EU na Nato. Putin anasema kwamba Waukraine ni Warusi na hatowaruhusu kujiunga na EU sasa afadhali awapige awauwe wote kuliko kuwakubalia kujiunga na EU. Hizi nchi kubwa zikipigana sisi tusapoti nchi ndogo zinazopigwa yaani Iraq,Libya,Syria na Ukraine. Kwa maana kesho kichapo kitakuja kwa Tanzania na Kenya.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] vita yakuviziana huwa ina propaganda sana pia neno democrasia hutumika sana,
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app