Nikwambie tu Russia ana hypersoniczana za ki nuclear za Marekani na jaribio. urusi watakiona 💣💣💣💣................. 💥 wacha wazidi tu kileta nyefenyege
View attachment 2147213View attachment 2147214
Russia ana hypersonic ballistic missile ambayo hakuna nchi yoyote duniani ipo nayo... Ina uwezo waku safiri zaidi ya 25 times than sound... Iyo vita ya Ukraine ana wagusa gusa tu.... Plan ya Puttin ni zaidi ya tatizo la NATO...zana za ki nuclear za Marekani na jaribio. urusi watakiona 💣💣💣💣................. 💥 wacha wazidi tu kileta nyefenyege
View attachment 2147213View attachment 2147214
Nchi yenu iko wazi sn, eneo kubwa bado ni pori co ka Nairobi pekee.
Ukiwaambia hawataki wakati results za poor education zinaonekana wazi wazi.
hawana train ya umeme! Hii ni ya mafuta!Yani hawa kuweka mafuta inawashinda sasa ku supply umeme constantly kwenye iyo light rail yao wataweza kweli
Kuna light rail wanajenga kumbe ni ya mafuta nayo 🤔hawana train ya umeme! Hii ni ya mafuta
hawana train ya umeme! Hii ni ya mafuta!