Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatoa wapi nguvu ya kukosoa hizi roofings? Kunyaland mnaona ajabu sababu hela za kununua bati hamna (bati zenyewe ndio nyumba zenu)

Ukifika Geita utasemaje sasa? Sababu hizi bado ni short roofing kwa Geita

Low middle income earners of Dodoma

View attachment 2138701

View attachment 2138702

View attachment 2138703

View attachment 2138704

View attachment 2138705

View attachment 2138706
Hivi unafahamu hii ni forum ya kimataifa?jaribu kupost vitu vinavyomake sense usipende kila mtu akuone hauna akili ,spa unatuonyesha vichaka ama mashamba?
 
Tanzania Vs Kenya in terms of infrastructure.

Road Pavement.
Kenya = 22,000km
Tanzania = 9,000km

Electricity connectivity.
Kenya = 8.5M customers
Tanzania = 2.7M customers.

Aviation.
Kenya = 13M passengers in a year.
Tanzania = 5.5M passengers in a year.

Health
Kenya = 13,000 hospitals
Tanzania = 8,000 Hospitals.

Education
Kenya = 74,000 schools
Tanzania = 33,000 schools.

Marine
Mombosa port = 34M tonnes
All Tanzanian ports = 17M tonnes.
Hauna uhalisia katika takwimu zako,uko biased sikuzote,Hata kama una point zinaondoka
 
Kitega uchumi cha ubalozi hii imekaaje
Sio mbaya ..lazima nchi iwe na foreign assests zinazoingizia hela ..Upper hill is a developing CBD ..lakino je hizo hela zitafika kweli Tz ..sijajua..lakini sio kitu kibaya..Goverments mbali mbali hufanya hvyo duniani
 
Nyie wapumbavu muache kujitia ujuaji msiokuanao vilaza, kwahyo hii 👇ni design nzuri kuliko.?😂😂View attachment 2138591View attachment 2138592View attachment 2138593View attachment 2138594kwenu kupanga rangi nyumba ni anasa 😂😂
Your friend posted homes that are considered creme de la creme from a gated community and you googled random houses in Kenya to compare with? Here are typical Kenyan Bungalows sir. Usijidanganye tunafanana.
BqQQojUCQAIF4tm.jpg

Peponi-Co-Windy-Ridge-165m-1-600x300.jpg

WhatsApp-Image-2020-08-06-at-17.03.40-600x375.jpeg

a2ca9c1b-57af-4a6b-9c36-33515640afd5.JPEG
nanyuki.jpg
1646418378621.jpeg
 
Sio mbaya ..lazima nchi iwe na foreign assests zinazoingizia hela ..Upper hill is a developing CBD ..lakino je hizo hela zitafika kweli Tz ..sijajua..lakini sio kitu kibaya..Goverments mbali mbali hufanya hvyo duniani
Kwasasa naona mipango ya kupiga pesa imechachamaa kweli kweli, wizarani kila mtu anataka kwenda Ulaya kwa kisingizio cha kuvutia investors, kina Nape wao Ulaya imeshaanza kuwa nyumbani, kisingizio ni kile kile kuvutia investors mara cjui kuwa na technology jumuishi yn upumbavu mtupu unaendelea serikalini kwa ss, Leo nimemuona yule mama CEO wa TAHA naye yupo France kisingizio ni kile kile, dah tumepatikana kweli kweli this time
 
Huna akili wewe hiyo inafahamika, taja bidhaa 5 Kenya inauza nje kwa wingi Kama sio chai, maua na Ovacados, which finished products do you produce?
1.png
2.png
3.png
4.png
5.png
6.png


Unataka nikuhesabie finished products hapo ni ngapi ama unajua kuhesabu?

 
Kwasasa naona mipango ya kupiga pesa imechachamaa kweli kweli, wizarani kila mtu anataka kwenda Ulaya kwa kisingizio cha kuvutia investors, kina Nape wao Ulaya imeshaanza kuwa nyumbani, kisingizio ni kile kile kuvutia investors mara cjui kuwa na technology jumuishi yn upumbavu mtupu unaendelea serikalini kwa ss, Leo nimemuona yule mama CEO wa TAHA naye yupo France kisingizio ni kile kile, dah tumepatikana kweli kweli this time
Tuko busy kutumia ela ya Tz kujenga gorofa kunya land
 
Kwasasa naona mipango ya kupiga pesa imechachamaa kweli kweli, wizarani kila mtu anataka kwenda Ulaya kwa kisingizio cha kuvutia investors, kina Nape wao Ulaya imeshaanza kuwa nyumbani, kisingizio ni kile kile kuvutia investors mara cjui kuwa na technology jumuishi yn upumbavu mtupu unaendelea serikalini kwa ss, Leo nimemuona yule mama CEO wa TAHA naye yupo France kisingizio ni kile kile, dah tumepatikana kweli kweli this time
kwahyo ile regime ilioisha ww uliipenda sana
 
Back
Top Bottom