Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,895
- 103,759
Hili jengo lijengwe pale Arusha! Wing moja Hotel nyingine ofisi!
Hili jengo lijengwe pale Arusha! Wing moja Hotel nyingine ofisi!
Yes balozi zetu zinabidi nazo ziwekeze huko zilipo, hapa naona Harambee Plaza ya Kenya wanatumia pia kama kitega uchumi chao, Ubalozi wa Sweden ni mwanahisa mkubwa tu CRDB PLC n.k. Ifikie kipindi balozi zijitegemee kama zinapata fursa kama hizi.
Wanapost picha hizi hizi za xpress way ya mchina wiki nzima, yn tumewatesa mwaka mzima hawakuwa na kipya cha kupost ndiyo sasa angalau mchina kawafuta machozi, ila hatutowapa break tutaendelea kuwapiga na vitu vipya mpk wajute kuwa mafukaraNairobi is the best city in East Africa.
View attachment 2138510View attachment 2138511
View attachment 2138509








Pembeni ya hapa kuna jalala ukibisha sema nikufunue





Mateso mwaka huu kwa hawa jamaa yatakua makubwa sana, kwasababu ukizingatia, Tz itazindua miradi mingi ikiwemo na SGR..Wanapost picha hizi hizi za xpress way ya mchina wiki nzima, yn tumewatesa mwaka mzima hawakuwa na kipya cha kupost ndiyo sasa angalau mchina kawafuta machozi, ila hatutowapa break tutaendelea kuwapiga na vitu vipya mpk wajute kuwa mafukara![]()
Tuliwaambia mwakani sio mbali wakabishaMateso mwaka huu kwa hawa jamaa yatakua makubwa sana, kwasababu ukizingatia, Tz itazindua miradi mingi ikiwemo na SGR..








Umeongea kwa machungu Sana. Najua expressway inawapa hasira lakini itabidi ukuwe tu used to it.Wanapost picha hizi hizi za xpress way ya mchina wiki nzima, yn tumewatesa mwaka mzima hawakuwa na kipya cha kupost ndiyo sasa angalau mchina kawafuta machozi, ila hatutowapa break tutaendelea kuwapiga na vitu vipya mpk wajute kuwa mafukara![]()
Mtakuwa mnazindua vitu Kenya ilizindua kitambo Sana. Again Tanzania has been launching SGR since 2017😂😂Mateso mwaka huu kwa hawa jamaa yatakua makubwa sana, kwasababu ukizingatia, Tz itazindua miradi mingi ikiwemo na SGR..
Hii ripoti ya Knight Frank umeona kweli? Dar will never make to this list.Pembeni ya hapa kuna jalala ukibisha sema nikufunue![]()
Mlizindua treni ya umeme kitambo au coMtakuwa mnazindua vitu Kenya ilizindua kitambo Sana. Again Tanzania has been launching SGR since 2017![]()








Hebu weka link nikufundishe kitu






Tulizundua SGR kitambo sana. Electricity is just make ups. No wonder your trains are designed to transport only 1.1M passengers in a year.Mlizindua treni ya umeme kitambo au co![]()
Siezikakulisha Kila kitu. Nenda kwa website ya Knight Frank you will find everything you are seeking.Hebu weka link nikufundishe kitu![]()
Vitu vya kishambaa kama Nigeria!!!
Nyie wapumbavu muache kujitia ujuaji msiokuanao vilaza, kwahyo hii 👇ni design nzuri kuliko.?😂😂The design is stupid.🚮🚮🚮
Nyumba zao hazinaga rangi alafu sakafu nyekundu 😅😅Nyie wapumbavu muache kujitia ujuaji msiokuanao vilaza, kwahyo hii 👇ni design nzuri kuliko.?😂😂View attachment 2138591View attachment 2138592View attachment 2138593View attachment 2138594kwenu kupanga rangi nyumba ni anasa 😂😂
Wakuu mmeona ujinga wa wakenya sasa? Yani mpaka leo wanaumizwa kupigwa na Dar kwenye idadi ya millionaires, jamaa kila siku anakuja na vijarida uchwara ili kujipa relief ya maumivu, mwambieni aweke link ssSiezikakulisha Kila kitu. Nenda kwa website ya Knight Frank you will find everything you are seeking.
View attachment 2138598








