Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tanzanians in general can't put up estates without government intervention.....while in Kenya thousands of saccos companies and individuals are pulling off such projects effortlessly
Acha ujuaji mwingi bablai.. Estates kali zote tulizoweka humu ni fully private owned..
Avic town
Fumba town
High villas
Hamidu city
Dege ecco village Kigamboni etc
 
mchina ana roho mbaya sana


dadeki afu haijaisha, imesusiwa suswa
IMG_4727.jpg

IMG_4728.jpg

IMG_4729.jpg
 
Siwezi umia yaani tajiri anayeomba msaada wa chakula . Sasa uongo unafaida au unadanganya nani? kwa faida ipi?
Hayo sio maoni yangu. Ni maoni ya Imf na World Bank kwamba Kenya ni nchi ya sita kwa ukubwa wa Gdp hapa Afrika. Kama hupendi basi kalilie chooni.
 
Reality gani? Kwamba Dagoretti sasa imekuwa Karen ama? Njoo Nairobi utembee Karen. Ukiona apartment mahali piga picha utume huku tuone. Unadhani Karen ni kama Masaki yenu mliyojaza apartments hadi office blocks?
dah,ni mji ambao unafumuka dayle na hiyo masaki ni mji mkongwe baada ya miaka 60 ijayo hapo tegemea sehemu hiyo itabadilika na haitokuwa makazi ya watu tena,watu waluokuwa wanakaa masaki wengi walishaondoka hapo na wamejenga pembezoni mwa mji

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Sasa msiwafanyie hivyo jameni, mana wakigeuka wanakutana na habari hizi mara ghafla zinakuja nyingine ambazo zinaumiza kuliko za kwanza View attachment 2127913View attachment 2127914
Mmh chuma za ujerumani zinafanana hivi 👇
39278582_6.jpg
thumbnail-cb41a065914eb93a76a813e5c3012fc2-e1512745488163-1024x684.jpeg
my take..
Ile order yetu ya treni kutoka ujerumani sio treni hizo hapo juu kwenye picha kweli.? Na mbona inafanana na hii 👇inayosadikika ni yetu.?
JamiiForums-2005039974.jpg
 
Hayo sio maoni yangu. Ni maoni ya Imf na World Bank kwamba Kenya ni nchi ya sita kwa ukubwa wa Gdp hapa Afrika. Kama hupendi basi kalilie chooni.
Haaaa siwezi lilia chooni ukweli upo wazi we mwenyewe unaona
 
Back
Top Bottom