Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa sio wafanyikazi wa serikali kuu. Hawa ni wafanyikazi wa county
Tony254, hapa tunazungumzia Kenya, hao ni watumishi wa Kenya, kuhusu muundo wa serikali yenu sisi hautuhusu, kwahiyo wafanyakazi wa county hawana haki ya kupata "salaries?. Kenya is a failed state from all directions, from Central to County levels.
 
Ndio hiyo Fumba town yenye watu wanataka kulinganisha na Karen. Yani vijumba vinavyohesabika ulinganishe na Karen. 🤣🤣 Yani hii hata haijanusa Tilisi uilinganishe na Karen. 🤣🤣🤣 Two rows of houses ulinganishe na Karen - the largest Estate in East Africa. 🤣🤣

1.jpg
 
Nimeamini Watanzania hawajaona Estate za Kifahari. 🤣🤣🤣

Runda

Tazama video, hapo Ndani ya Runda kuna Fumba Town kadhaa ambazo ni some of the cheapest houses in Runda.🤣🤣

 


Level ya akina Kigamboni City Hii. Greatwall Gardens



Fumba Town nayo labda ing'ang;ane na Greenpark Estate



Yani Kitengela Town pekee imechapa the top Estates za Dar


All these estates ar cheap and useless compared to Fumba town, nnachokiona ni barabara za matope na cheap houses 🚮 usidanganywe na arial view brathee, hakuna hata estate moja inaweza kaa kwenye sentence moja na fumba town.. Fumba town iko kwenye league yake in this region
 
umeweka comment ya vichwa vya mtumba asubuhi hii ukishangaa, mimi nimetafsiri ulitaka viwe vipya! Kama si maana yako basi nisamehe..
Umenichanganya na sunk the cost fallacy kua na utaratibu kusoma vizuri aliyepost kitu,mimi nilicoment kua hicho for trial purpose only.Rudi kwenye post ukasome upya mkuu
 
Back
Top Bottom