ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tupe list ya bidhaa km kumi tz tulinganishe na kenya
Tupe list ya bidhaa km kumi tz tulinganishe na kenya
sasa hutaki aseme ukweli? kwani ruto sio mwizi?? hebu tetea uovu niskie 😂😂😂Hyo si alikua akimuita ruto mwizi![]()
bread kenya ni 70bob ya 400g wakat tanzania bread ya 500g ni 1000tshTupe list ya bidhaa km kumi tz tulinganishe na kenya
Vilaza mnateteana 😄😄😄.kubali tu kuwa wewe ni kilaza
Kila sehemu huwa watu wanatamba kwa namna yake, hata skuli..
Na ukweli Mchungu ni kuwa huwezi kuwa kilaza darasani ukasoma science,
Huwezi kuwa kilaza ukawa daktari, mfamasia au engineer .
Sisi tulimudu masomo yote ya kiswahili, history, Phisics, Maths, Chemistry na ndio maana tulikuwa na uwanja mpana wa kuchagua, and of course tukasoma science ili vilaza kama nyie mkiumwa msikufe ili miendelee kushea humu miradi ya maendeleo ambayo hufanywa na wanasayansi.
NSSF huku wanajenga majumba mzee wala sio barabara za public kw ajili ya toll
Vilaza mnateteana.
Wasomi wa Sayansi ya kupima mapapai corona
Hujanijibu hoja unaleta taarabu zako za kijinga hapa.
We una kichaa sanabread kenya ni 70bob ya 400g wakat tanzania bread ya 500g ni 1000tsh
70bob ni sawa na 1420 tsh
sasa chekecha ubongo uone kwann munakufa njaa

hzo bei umetoa wapi, makalioni sioGharama zipo juu acha upumbavu, mpaka huyu anakiri wazi tatizo anahusisha failed state status yenu na nchi nyingine zenye good life 🚮Overpriced , sio kila store in kenya unaenda kununua bidhaa..wao wenyewe hao wamepiga picha tu wala hawakununua
20 litres ni ksh 3000 na hapo imepandaView attachment 2125764
Hahaha!!mzee mbona povu, huku mpaka makanisa wana majumba, vikundi vya wa mama pia wanamiliki..Kwani unadhani huku nssf hawana majumba?
Halfu Huku mifuko ya hifadhi za jamii ni mingi sio NSSF tu,
Kuna PPF, PSPF, LAPF nk, mind u all of them are public funds na
Hawa ndio wamiliki 90% ya majengo yote marefu na ya kisasa Tz
Kulingana na sasa imepeanda lkn nashngaa kwenu mnaona kawaida wakati bei zinalinganaGharama zipo juu acha upumbavu, mpaka huyu anakiri wazi tatizo anahusisha failed state status yenu na nchi nyingine zenye good life


prove me wrong 😂😂😂We una kichaa sanahzo bei umetoa wapi, makalioni sio
hehehe.... tebu ona huyu.! as in, mm sasa of all the pple nihame kenya nikue mdanganyika. yani ni toke from an Emerging Market niende LDC. shifting from $109 to $65 country is like commiting suicide. yani kwa uhandisi nilipwe hela za kidanganyika na sio dollar za kikenya.! yani niwache kuchana gomba na jaba, kiongozi wangu akue nyabo na sio ssebo .. yani mji wangu mkuu uwe dar na sio nairobi.!? kenya sihami, less ntakua punguani wa akiliMaisha Kenya ni magumu usipinge, ndio maana wakenya wengi wanaomba wangezaliwa Tanzania
View attachment 2125759
🚮🚮Hata kupima mapapai ni science, kwani unadhani pale kwenye kurun PCR unatumia history?
Hahaha!!we ni mjuaji tu lkn huna ujualoprove me wrong![]()
Tram cables zinaweza kujengwa humohumo kwenye brt au wakajenga kwa offshoot routes ambazo brt haijapita hizi jitihada zote zinafanyika huku kukiwa na mpango wa kuanzisha a modern commuter rail service in dsm and dodoma za dar train zitakuwa zinapita juu kwa juu tuu kwenye viaductHebu fafanua hii mkuu, wanareplace BRT roads kwakuweka trucks za tram au wanajenga sambamba?