joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hahahaha, mkuu Mambo ya wakubwa, ninyi wadogo shusheni vyandarua na mjifunike shuka mlaleToka ulipomwita PM mkuu alipotea Mazima![]()




Hahahaha, mkuu Mambo ya wakubwa, ninyi wadogo shusheni vyandarua na mjifunike shuka mlaleToka ulipomwita PM mkuu alipotea Mazima![]()




Hahaha Kunificha tena
Ufiche Upumbavu wakoWivu utakupeleka kwa Mwendazake kuzimu
Wivu utakuua wewe.Ufiche Upumbavu wako
Mama kaupiga mwingi
Unapenda sn vijembe, shida yako ni uchonganishi, yn wewe huwa unapenda kuona watu wakikosana humu. Watu walishasahau huu ushetani wako lkn huchoki kugombanisha watu kwa huu upumbavu wako wa kutukana viongozi, kum.a.ma.ko weweHopeless kabisa,una ushahidi? Yaani walioomba wasilalamike ila wewe kenge wa mwendakuzimu ndio ujifanye una uchungu wa kuzidi.
Hadi 2025 ukikosa pressure nitag![]()
wengine watoto wa shule ustaadh, usije ukagongwa miaka 30 utoke babu!Usiwape faida, ni Siri ya ndani![]()
Huyo anapenda vijembe sn, chunguza humu Id zake zote na majukwaa yote yeye ni vijembe tu choko huyo.hebu heshimu awamu ya tano imefanya kazi kubwa sana hakuna haja ya kusema kwa ubaya kila kitu
ww sema mazuri na manaya ya awamu hii inatosha awamu ya tano ilishapita na sasa tuongelee awamu hii
na wewe badilika sasa huu sio uwanja wa siasa bro
Shida ni kwamba kuna shetani humu hapendi kuona watz tukiungana kuwapiga sindano hawa wakunya, analazimisha wote tuwe na mawazo kama yake kwa kuongea uongo, ss kitu kama hicho kuna baadhi ya watu hatuwezi kuvumilia upotoshaji, inafikia hatua mpk tunaonekana hatumkubali Rais wa ss kitu ambacho co kweli japo madhaifu tunayasema.Wanaboa sana, mambo ya ajabu kabisa. Na imagine hawa walikuwa mtu na Makamu Wake ambao walipeperusha bendera moja kunadi ilani moja ya uchaguzi, sasa pata picha wangekuwa vyama tofauti sijui ingekuwaje? Sometime najiuliza kama taifa tuna watu wanaofikiri namna gani? Inafikirisha sana![]()
Ngoja waone maana ya bus za umeme na sio juakali zaoTram zinakuja kwenye BRT, majirani mjiandae kuja kushangaaView attachment 2125259





It's about time! Na wasilete siasa hapa. Hatutaki mchezo kwenye hili. Tunataka nyasi kama za taifa nchi nzima kwa kuanzia! !!
Pesa zinazo kwenda kutumika kwa sensa zinatosha kuunganisha umeme watz wote bure kwa miaka mitano au zaidi ,mama ni zuzu ,Yule Mama ni form 4 failure anatoa wapi akili