Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ninakubaliana na wewe kwamba Kenya uchumi wake ni tofauti hapa Sub-sahara Afrika
1) Ni nchi pekee ambayo ni "middle income" lakini inategemea chakula cha msaada
2)Ni nchi pekee ambayo haiwezi kujenga hata 5Km ya railway bila kukopa
3)Ni nchi pekee ambayo inakusanya pesa nyingi lakini bado inategemea mikopo kuendesha nchi kwa 80%
4)Nchi pekee ambayo uchumi wake ni mkubwa lakini raia wake wanategemea nchi jirani kupata huduma Bora za Afya.

Kitendo cha kwamba mnakusanya Kodi mara dufu ya Tanzania, lakini Tanzania inafanya miradi mingi kwa pesa za ndani kuliko Kenya, hiyo ndio inathibitisha kwamba Kenya Kuna rushwa, 50% ya bajeti ya Kenya huushia mifukoni mwa politicians.

Comments zako huwa nabofya like kabla ya kuzisoma.
 
Ninakubaliana na wewe kwamba Kenya uchumi wake ni tofauti hapa Sub-sahara Afrika
1) Ni nchi pekee ambayo ni "middle income" lakini inategemea chakula cha msaada
2)Ni nchi pekee ambayo haiwezi kujenga hata 5Km ya railway bila kukopa
3)Ni nchi pekee ambayo inakusanya pesa nyingi lakini bado inategemea mikopo kuendesha nchi kwa 80%
4)Nchi pekee ambayo uchumi wake ni mkubwa lakini raia wake wanategemea nchi jirani kupata huduma Bora za Afya.

Kitendo cha kwamba mnakusanya Kodi mara dufu ya Tanzania, lakini Tanzania inafanya miradi mingi kwa pesa za ndani kuliko Kenya, hiyo ndio inathibitisha kwamba Kenya Kuna rushwa, 50% ya bajeti ya Kenya huushia mifukoni mwa politicians.
Katika miradi ya ndani kenya tukiwekea counties pekeake pesa za ndani zinazotumika ni maradufu kuwaliko..

Manake nyie mnajisifia hela za ndani wakti deni lenu limepanda maradufu
 
Pole kwa kukuumiza
Hapo ndipo mnapokamatiwa..
Uchumi kw tanzania sufurijamaa familia ya mtu kumi wanategemea kodi ya nyumba ya urithi na shamba la mihogo..

Lini nchi itakua sasa km sio mwendo wa kuongezeana kodi kiholela
 
Kuimport pia kunaonyesha strength ya uchumi. Uchumi mdogo kama wenu mtatoa wapi fedha ya kuimport 14 billion dollars kwa mwaka? Obviously ikiwa Kenya ina uchumi mdogo kushinda wenu basi itatoa wapi fedha ya kuimport mizigo karibu mara dufu yenu? Wewe jiulize hilo swali.
what if una import kwa kutumia pesa za mikopo? Kunyaland inafanya hivo!
 
Ninakubaliana na wewe kwamba Kenya uchumi wake ni tofauti hapa Sub-sahara Afrika
1) Ni nchi pekee ambayo ni "middle income" lakini inategemea chakula cha msaada
2)Ni nchi pekee ambayo haiwezi kujenga hata 5Km ya railway bila kukopa
3)Ni nchi pekee ambayo inakusanya pesa nyingi lakini bado inategemea mikopo kuendesha nchi kwa 80%
4)Nchi pekee ambayo uchumi wake ni mkubwa lakini raia wake wanategemea nchi jirani kupata huduma Bora za Afya.

Kitendo cha kwamba mnakusanya Kodi mara dufu ya Tanzania, lakini Tanzania inafanya miradi mingi kwa pesa za ndani kuliko Kenya, hiyo ndio inathibitisha kwamba Kenya Kuna rushwa, 50% ya bajeti ya Kenya huushia mifukoni mwa politicians.
Au pesa nyingi inakwenda njee ya nchi sabab wanao endesha uchum ni wagen , wakiwwacha wenyeji fukar, wezi, na high rate of unemployed
 
Hapa umeongea kama maprofessor kumi wa Harvard.
mwenzenu angalau yupo parfect sana kwenye kuzungumzia jambo flani na huwa hapindishi pindishi maneno wala hana ushabiki wa kijinga kama nyie, inabidi mjifunze kupitia tony,

airport iliyopo nairobi kiuhalisia inababa wateja wengi na hiyo fursa inahaki kwenu kabla hata umoja wa afrika mashariki kuvunjika ,sababu hata history inaonyesha airport kuu ya muungano wa east afrika kwa kipindi hicho ilikuwa ni nairobi hata baada ya kuvunjika umoja wa EA mlibakiwa na ndege nyingi ambazo zilikuwa zinabeba jumuiya ya EA,hivyo basi kulingana na hiyo reaaon mojawapo ingekuwa ni vituko sana nyie muwe nyuma kwa upande wa anga na isitoshe Tz tulisha potea kwenye sekta ya anga ila kwasasa ndiyo tumerudi,
na kwa hapo kenya ni airport ya Nairobi pekee ndiyo tegemezi kwa kila kitu nyingine zote zipo hoi tofauti na huku angalau Tz airport zinajigawanya ikiwemo Dar airport,KIA,zanzibar airport n.k

kama muelewa utaelewa ukiwa zuzu utatoka zero

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kuimport pia kunaonyesha strength ya uchumi. Uchumi mdogo kama wenu mtatoa wapi fedha ya kuimport 14 billion dollars kwa mwaka? Obviously ikiwa Kenya ina uchumi mdogo kushinda wenu basi itatoa wapi fedha ya kuimport mizigo karibu mara dufu yenu? Wewe jiulize hilo swali.
Buda, huoni kuwa hilo gape la kuimport pesa mepata kwa mikopo? Punguzeni kukopa uone import itakavyopungua. Au unadhani mlikopa ili muongeze export?
 
Sama boy 255 Wacha niongeze kidogo kwamba Kenya imewapiga kwenye idadi ya abiria wanaopitia kwenye airports. Kenya ina service sector kubwa kushinda yenu. Kwa mfano Kenya ina makampuni kubwa kushinda zenu hata tukiangalia banks, banks za Kenya ni kubwa ajabu ukizilinganisha na banks za TZ ambazo ni ndogo sana. KCB, EQUITY na Co-operative banks zina more capital kushinda banks zenu zote na ukumbuke kwamba Kenya ina banks 44 ilhali banks tatu zetu zina more capital kushinda zenu zote. Tukija kwenye telecomm sector, Safaricom pekee ina bigger valuation kushinda kampuni zenu zote za telecomm. Hizi data nipo tayari kumwaga huku. Yaani kampuni za kininafsi za Kenya ni kubwa sana ukizilinganisha na zenu. Kwenye kuexport tea, flowers, coffee, textiles na vegetables tumewapiga. Kenya tunaconsume more electricity na more petroleum products kuwashinda. Kenya tunaimport more goods kuwashinda kumaanisha tunaconsume more goods kuwashinda. Kwa mfano Kenya inaimport goods worth 14 billion dollars kila mwaka wakati nyie mnaimport goods worth 9 billion dollars kila mwaka.

Hizi data zote zinaonyesha kwamba uchumi wa Kenya ni mkubwa kushinda wenu. Service sector ni zaidi ya 50% ya uchumi wa Kenya kwa hivyo Kenya ni service driven economy wakati nyie ni agriculture and mining driven economy. Sie mining industry yetu ni ndogo sana. Yaani kuna mambo mumetupiga lakini sie pia tumewapiga vibaya sana kwenye mambo mengine, hususan private sector yetu ambayo inawafunika vibaya sana. Kumbuka Kenya ndio nchi ya pili kwenye kuinvest hapo Tanzania na top three kwa kuinvest Uganda. Sasa hivi makampuni ya Kenya yanaivest Ethiopia ikiwemo Safaricom na Kengen. Mabenki za Kenya zipo katika nchi zaidi ya saba ukanda huu. Sasa sijui mnaidharau Kenya kwa nini. Hata kwenye diplomasia, Kenya ina embassies zaidi ya mia moja na kuna baadhi ya hizi embassies ambazo hazipo Tanzania. UN global headquarters ya UNEP na UN habitat ipo Kenya. World Bank na IMF regional headquarters ipo Kenya. Google, microsoft, IBM, Oracle regional headquarters zipo Kenya. Al-jazeera, BBC, Xinhua, CGTN regional au African headquarters zipo Kenya. Ikumbukwe Kenya ina skyscrapers nyingi above 100 metres kushinda Tanzania. Hata tu kwenye picha zinazowekwa humu ni wazi kwamba Kenya ina apartments nyingi kushinda Tanzania. Kenya ina watu wengi wanaofanya kazi Marekani na nchi za ulaya kushinda Tanzania. N.k. Niendelee au niwachie hapo?

bongo kulikoni.!?........... (tanganyika ina EA regional Hq. moja tu.! Dangote Cement .. 😝😝)

👇🏽👇🏼 yani hapa nime highlight baadhi ya makampuni tajika, inayo serve atleast sub-saharan, ama africa mzima.. 👇🏽



Screenshot_20220214-213525_Chrome.jpg
Screenshot_20220214-213624_Chrome.jpg
Screenshot_20220214-213745_Chrome.jpg
Screenshot_20220214-213830_Chrome.jpg
Screenshot_20220214-213922_Chrome.jpg
Screenshot_20220214-213959_Chrome.jpg
Screenshot_20220214-214048_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom