Yani hapo ningekuwa na simu yng ningewachorea vzr muone nyie wapumbavu mnaopigwa kila siku kwenye miradi kwa kupenda decorations na sio uhalisia.Kuna siku niliyasema haya lkn jamaa bado hawaelewi, yani hapo kw akili zake pawe na kilima
Yani gari iwe inateremka kuelekea katika junction inayokuingiza kw main road, huoni hatari hyo kabisa..
Maskin danzagiza...
Lkn naoana kw hayo majibu jamaa sasa atakua ywaugulia chooniView attachment 2118820
Sure, ila Magu hakuwahi kuichukia Kenya bali alitaka kuwaelewesha kwamba mali za Tz zianze kumnufaisha mtz kwanza na co mtu mwingine, ni sawa na useme Magu hakuwapenda wazungu kisa aliwakataza kuchimba madini pasipo makubaliano ya win win situation.Ni kweli hapo kwa Magu kujenga JNHPP na SGR kilomita zaidi ya elfu moja, ilibidi mtu kama yeye mwenye mbegu nzito ya kidume kujenga. Viongozi wengine ni waoga tu, wanadanganya wananchi ili kupata kura tu ila hawana nia ya kujenga miradi mikubwa. Japo sikufurahishwa na jinsi Magu alivyoichukia Kenya, lazima nimpe hongera kwa udhubutu wake wa kuanzisha some of the biggest projects in East Africa.
Wakati ndio jina lao na linawapendeza kutokana na mambo yao ya kunya vichakani na kufanya mambo ya kipuuzi kila siku ambayo tafsiri yake ni mambo ya kunyaHawapendi kuitwa "wakunya" wanachukua hasa hilo neno![]()






Jamaa eti ywasema angelikua na simu yske angechora, sasa km tayari akilizao zinawatuma pasiwe na mzunguko hapo unatarajia nini km sio kutuchorea mteremkoSikuona post yako about it lakini haya ni mambo ya ku apply logic jameni
huwa nawaona wakirudia hio picha, nacheka tu kuona some daft keyboard warriors with a high school certificate wakibishana na experienced engineers![]()
best jumpers, t-shirts, jackets or shoes, utaipata mitumba. kenya ata wabunge baadhi yao wamenyuka pamba za mitumba. hio quality yani.. 🔥👍🏽Wewe engineer unaefanya kazi kwenye chumba chenye milango ya kuinua na una million 2 Bank kila mwezi kumbe na mitumba pia unavaa? 😆
Weka bangi kando. Dar Moro bado haijakamilika baada ya miaka mitano ya ujenzi.huyu anaongea nn alikwambia dar moro haijakamilika nani?? 😂😂😂😂
Mbona nyali bridge hawauzi
We acha mchezo wewe, kisoko unapata kitu kikali sana km una mtu ambae mnafanya biashara pamoja mzigo ukitua anakutengea vitu vikali vya mambele basi kitaani wanabaki kujiuliza vipi huyu manake dukani hawavikuti na wakipata bei ni balaa wakati wewe umefanyiwa bei ya kisela sela.Wewe engineer unaefanya kazi kwenye chumba chenye milango ya kuinua na una million 2 Bank kila mwezi kumbe na mitumba pia unavaa?![]()
Hapa ndipo mnapomtibua TonyWeka bangi kando. Dar Moro bado haijakamilika baada ya miaka mitano ya ujenzi.








Tangu lini Kenya ikafaidika kwa mgongo wa Tanzania? 🤣🤣Magu hakuichukia Kenya, nyinyi (wengi wenu) ni watu selfish sana. Mnataka mfaudike kwa mgongo wa wengine.
Watanzania wengi na marais kabla ya Magu, walikuwa na zile fikra za ujirani mwema hata kama wao wanaumia. Magu akasema f$ck that, mbwai iwe mbwai.
Tangia kumbwa kwa kunya...Tangu lini Kenya ikafaidika kwa mgongo wa Tanzania?![]()
usishangae, Budget ya Simba alone, ni zaidi ya mara mbili ya budget ya ligi hapo Kunyaland!Hebu uneni hawa nyang'au akili zao zilivyo hovyo. Na hizi comments nimeziona kama tatu. Nimescreen grab moja tu.
Yani hata aibu hawana
View attachment 2119103