Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuimport pia kunaonyesha strength ya uchumi. Uchumi mdogo kama wenu mtatoa wapi fedha ya kuimport 14 billion dollars kwa mwaka? Obviously ikiwa Kenya ina uchumi mdogo kushinda wenu basi itatoa wapi fedha ya kuimport mizigo karibu mara dufu yenu? Wewe jiulize hilo swali.
Kumbe Tanzania ilivyo kinara wa kuexport kwenye nchi zote ukanda huu ikiwamo kunyaland sio afya kiuchumi?

Na mbona huwa mnapanik mkiona Tanzania inawauzia mara dufu kuliko inavyonunua kwenu badala ya kujipongeza?
 
mm hua siongei kwa uchungu mm hua nakupa facts hata kama hupendi unafananisha japan na kenya ww uko timamu

japan is developed country and kenya is developing country hii ndio tofaut ya japan na kenya yani kwa lugha fupi japan wako miaka mia tatu mbele kuliko kenya

na upuuzi muliona nyinyi ni kujifananisha na nchi kama japan na marekani

alaf huyo huyo japan analet misaada na mikopo kenya











hii thread aje Teargas mzee wa grants mnaona grants hapo mnapokea..hadi 120billion Tsh in grants
 
Inamilikiwa na foreigners sio
Bila wakenya wa kawaida safaricom si ingelichezea hasara hata kuliko ttcl..

Wakenya ndio wanatumia safaricom, kwhyo returns zake zote ni jasho la wakenya..
GOK 35% share
GOK 16% VAT
LOCAL 5% Share

Still hela nyingi inabaki kenya mzee acha wivu

Watu wa full government owned mashirika yao yanachezea hasara za sayari nyingine
Na c ndiyo mana wakenya ni miongoni mwa wa Africa wachache wenye hali ngumu na wanaosumbuliwa na niaa mpk wa leo 21st century cz pesa zote zinaenda mifukoni mwa mabepari wachache, mkunya wa kawaida anakamuluwa mpaka tone la mwisho kabisa alafu pesa zinaenda kunufaisha Kenyatta family, wazungu na wanasiasa wachache
 
Hahahaha, Tony naona kichwa kimepata moto Leo, unadhani nchi kuagiza bidhaa nyingi kutoka nchi zingine(Imports) ni positive or negative
Import ni negative lakini sikuwa nazungumzia uzuri au ubaya wa import. Nilikuwa nasema tu kwamba ukubwa wa import unaweza kutumika kama kigezo cha kupima ukubwa wa uchumi wa nchi fulani. Lakini naona Watanzania kama akina Geza Ulole, toptorn na The best 007 wanasema kuwa Kenya ina-import mizigo mingi sana kwa sababu ya mikopo. Sijui kama kuna ukweli wowote kwenye madai hayo ukizingatia kwamba most of those imports zinafanywa na private sector ya Kenya na sio serikali ya Kenya. Madai yao yangekuwa na mashiko ikiwa serikali ya Kenya ndio ingekuwa ina-import most of these goods kwa sababu serikali ya Kenya ndiyo iliyozongwa na madeni lakini sio private sector ya Kenya. Private sector ya Kenya haina madeni mengi vile na ndio inayoimport most of these goods. HUSUSAN wafanyibiashara wadogo wadogo wa kuuza nguo, magari, spare-parts ya magari, computers, laptops, simu ya mkononi na kadhalika. Pia kampuni kubwa kubwa zina-import malighafi kwa mfano kampuni za cement huwa zinaimport clinker kwa maana Kenya haina uwezo wa kuproduce clinker. Halafu hata kwenye cooking oil kuna baadhi ya makampuni yanayoimport cooking oil kutoka India. Petroleum products pia zinakuwa imported na private sector kutoka Uarabuni. Ikumbukwe kuwa wafanyibiashara wadogo wadogo wa Kenya ndio wanaokuja Tanzania kununua, vitunguu, nyanya na mahindi huko kwenu na sio serikali ya Kenya.
 
Ninakubaliana na wewe kwamba Kenya uchumi wake ni tofauti hapa Sub-sahara Afrika
1) Ni nchi pekee ambayo ni "middle income" lakini inategemea chakula cha msaada
2)Ni nchi pekee ambayo haiwezi kujenga hata 5Km ya railway bila kukopa
3)Ni nchi pekee ambayo inakusanya pesa nyingi lakini bado inategemea mikopo kuendesha nchi kwa 80%
4)Nchi pekee ambayo uchumi wake ni mkubwa lakini raia wake wanategemea nchi jirani kupata huduma Bora za Afya.

Kitendo cha kwamba mnakusanya Kodi mara dufu ya Tanzania, lakini Tanzania inafanya miradi mingi kwa pesa za ndani kuliko Kenya, hiyo ndio inathibitisha kwamba Kenya Kuna rushwa, 50% ya bajeti ya Kenya huushia mifukoni mwa politicians.
Hii akili sio ya kufundishwa darasani. Hizo ng'ombe za uhuru haziwezi kukuelewa mkuu.
 
Alinishangaza sn mpk ikabidi nijiulize kama kweli huyu ni mchumi, mchumi gn asiyejua nchi yake ipo kwenye red zone.
Wapi nilisema haipo kwenye red zone? Obviously debt to gdp ratio ya Kenya ipo juu lakini haipo vibaya kama ya Ghana au Sudan. Isitoshe nusu ya deni la Kenya ni domestic na nusu ndio iliyokopwa kutoka nje. Kwa hivyo wakati mtu kama joto la jiwe anakuja hapa kuongea eti Kenya ipo karibu kuwa bankrupt ukumbuke kuwa nusu ya mikopo hii ni ya Wakenya wenyewe wameikopesha serikali yao kupitia treasury bills and bonds. Kila wakati serikali ya Kenya inapouza treasury bills and bonds huwa Wakenya wengi wanajitokeza kuzinunua. Sijajua ni kwa nini serikali yenu haipendi kuuza treasury bills and bonds kwa Watanzania au ni kwa sababu wanajua Watanzania hawana pesa na hawatazinunua kwa wingi? By the way kama Wakenya hawana pesa, itakuwaje nusu ya deni ya serikali ya Kenya imekopwa ndani ya nchi? Wacheni propaganda za kipuuzi Wabongo.
 
Na c ndiyo mana wakenya ni miongoni mwa wa Africa wachache wenye hali ngumu na wanaosumbuliwa na niaa mpk wa leo 21st century cz pesa zote zinaenda mifukoni mwa mabepari wachache, mkunya wa kawaida anakamuluwa mpaka tone la mwisho kabisa alafu pesa zinaenda kunufaisha Kenyatta family, wazungu na wanasiasa wachache
Kumeza imekua ngumu hiyo ripoti
 
Bado napenda Tanzania na bado naamini uchumi wenu upo under-valued. Nimesema hivyo kwa muda mrefu sasa kwamba kulingana na miradi mingi inayoendelea Tanzania na kwamba mnaeexport chakula ukanda wote huu na munauza dhahabu ya $3 billion kwa mwaka, uchumi wenu haustahili kuwa mdogo hivyo. Gdp yenu inastahili kuwa mkubwa kushinda hio $70 billion ambayo serikali huwa inataja. Halafu mumekwama hapo kwa $60-70 billion kwa miaka mitano au sita sasa japo uchumi wenu unakuwa kwa asilimia 5 au 6% kila mwaka. Licha ya kurebase uchumi wenu mwaka wa 2014 na 2019 bado uchumi wenu umekwama pale pale. Tatizo liko wapi ikiwa nchi kama Ethiopia ambalo lina a more primitive economy linashinda uchumi wenu kwa ukubwa? Mimi huwa ninashuku Tanzania bureau of statistics haina ujuzi unaofaa na wanahitaji msaada kutoka nje ili waweze kupima ukubwa wa uchumi wenu vizuri.

Kuna uwezekano wameshindwa kuzingatia sector mpya zinazoingia kwenye uchumi wenu kwa mfano boda boda wa pikipiki wamekuwa wengi sana miaka mitano zilizopita hapa Africa mashariki, hii lazima izingatiwe kwenye kucalculate mapato ya nchi kama sub-sector mpya ya transportation and logistics. Na mambo ya internet nayo imechipuza biashara mpya kama ya kuuza na kuchuuza bidhaa kupitia mtandao. Halafu miradi mikubwa kama JNHPP ambayo ni takriban $2.5 billion na SGR yenu ambayo ni zaidi ya $4 billion, unaweza imagine kama ni cement au vyuma vinanunuliwa ndani ya nchi basi ni cement ngapi zinanunuliwa hapo? Miradi za daraja ni cement ngapi zinanunuliwa hapo? Ni watu wangapi wanapokea mishahara wanaofanya kazi kwenye miradi hii? Yaani itakuwaje uchumi wenu umekwama kwenye $60 billion kwa miaka mitano? Haiwezekani, lazima kuna tatizo mahali.

Mimi huwa naona uchumi wenu umekaribia wetu na unastahili kuwa around $90 billion. Lakini hio ni maoni yangu tu kwa sababu sijakaa chini na kupitia ripoti ya gdp yenu kwa undani kama nilivyofanya ya Kenya. By the way, Imf wana kitengo maalum ya kusaidia nchi masikini kuboresha statistical reporting capacity zao. Nchi nyingi za Africa zipo hovyo sana katika kupima ukubwa wa uchumi zao. Kuna nchi za central Afrika ambazo hazijawahi kurebase uchumi zao kwa zaidi ya miaka ishirini. Nchi nyingi za Afrika zipo hovyo sana kwenye suala hili. Inawezekana Kenya tunabahatika kupata training na maarifa kutoka Imf na World Bank kwa maana taasisi hizi zina regional headquarters hapa Nairobi. Halafu Kenya sisi tunapenda kujipendekeza kwa wazungu so unakuta Wafanyikazi wa KNBS wanapata training kila wakati jinsi ya kupima na kuclassify different sectors za uchumi. Wafanyakazi wa KNBS huwa wanakwenda hadi ulaya kupata trainings kila uchao kwenye masuala ya kumeasure, kuclassify na kureport different sectors za uchumi. Tieni bidii kidogo kwenye hili. Nchi kama ya South Afrika ipo mbele sana kwenye suala hili kiasi cha kwamba wao hurebase uchumi wao kila baada ya mwaka mmoja badala ya kila baada ya miaka mitano kama tunavyofanya Kenya na Tanzania. South Afrika wao wanarebase kila mwaka kwa sababu wana pesa na ujuzi na wataalam wa kutosha.
 
I tried to be silent to see if any new from kenya!!! But it is an embarrassment, Kenya still struggles with Slums, hunger, Unemployment, flying toilets etc.

Namtaka mkenya yeyote aje atuoneshe completed projects started 2017.
 
Au pesa nyingi inakwenda njee ya nchi sabab wanao endesha uchum ni wagen , wakiwwacha wenyeji fukar, wezi, na high rate of unemployed
Fukara na wakati hayo makampuni wananchi wa kawaida ndio main customers

Sasa hzo fedha nyingi wanzitoa wapi km wananchi kiuchumi wapo hoi km vile bongo.
Nyie kuleni mihogo bana
 
Bado napenda Tanzania na bado naamini uchumi wenu upo under-valued. Nimesema hivyo kwa muda mrefu sasa kwamba kulingana na miradi mingi inayoendelea Tanzania na kwamba mnaeexport chakula ukanda wote huu na munauza dhahabu ya $3 billion kwa mwaka, uchumi wenu haustahili kuwa mdogo hivyo. Gdp yenu inastahili kuwa mkubwa kushinda hio $70 billion ambayo serikali huwa inataja. Halafu mumekwama hapo kwa $60-70 billion kwa miaka mitano au sita sasa japo uchumi wenu unakuwa kwa asilimia 5 au 6% kila mwaka. Licha ya kurebase uchumi wenu mwaka wa 2014 na 2019 bado uchumi wenu umekwama pale pale. Tatizo liko wapi ikiwa nchi kama Ethiopia ambalo lina a more primitive economy linashinda uchumi wenu kwa ukubwa? Mimi huwa ninashuku Tanzania bureau of statistics haina ujuzi unaofaa na wanahitaji msaada kutoka nje ili waweze kupima ukubwa wa uchumi wenu vizuri.

Kuna uwezekano wameshindwa kuzingatia sector mpya zinazoingia kwenye uchumi wenu kwa mfano boda boda wa pikipiki wamekuwa wengi sana miaka mitano zilizopita hapa Africa mashariki, hii lazima izingatiwe kwenye kucalculate mapato ya nchi kama sub-sector mpya ya transportation and logistics. Na mambo ya internet nayo imechipuza biashara mpya kama ya kuuza na kuchuuza bidhaa kupitia mtandao. Halafu miradi mikubwa kama JNHPP ambayo ni takriban $2.5 billion na SGR yenu ambayo ni zaidi ya $4 billion, unaweza imagine kama ni cement au vyuma vinanunuliwa ndani ya nchi basi ni cement ngapi zinanunuliwa hapo? Miradi za daraja ni cement ngapi zinanunuliwa hapo? Ni watu wangapi wanapokea mishahara wanaofanya kazi kwenye miradi hii? Yaani itakuwaje uchumi wenu umekwama kwenye $60 billion kwa miaka mitano? Haiwezekani, lazima kuna tatizo mahali.

Mimi huwa naona uchumi wenu umekaribia wetu na unastahili kuwa around $90 billion. Lakini hio ni maoni yangu tu kwa sababu sijakaa chini na kupitia ripoti ya gdp yenu kwa undani kama nilivyofanya ya Kenya. By the way, Imf wana kitengo maalum ya kusaidia nchi masikini kuboresha statistical reporting capacity zao. Nchi nyingi za Africa zipo hovyo sana katika kupima ukubwa wa uchumi zao. Kuna nchi za central Afrika ambazo hazijawahi kurebase uchumi zao kwa zaidi ya miaka ishirini. Nchi nyingi za Afrika zipo hovyo sana kwenye suala hili. Inawezekana Kenya tunabahatika kupata training na maarifa kutoka Imf na World Bank kwa maana taasisi hizi zina regional headquarters hapa Nairobi. Halafu Kenya sisi tunapenda kujipendekeza kwa wazungu so unakuta Wafanyikazi wa KNBS wanapata training kila wakati jinsi ya kupima na kuclassify different sectors za uchumi. Wafanyakazi wa KNBS huwa wanakwenda hadi ulaya kupata trainings kila uchao kwenye masuala ya kumeasure, kuclassify na kureport different sectors za uchumi. Tieni bidii kidogo kwenye hili. Nchi kama ya South Afrika ipo mbele sana kwenye suala hili kiasi cha kwamba wao hurebase uchumi wao kila mwaka kwa hivyo wao hawarebase kila baada ya miaka mitano. Wao wanarebase kila mwaka kwa sababu wana pesa na ujuzi na wataalam wa kutosha.
You are writing too many words. Kitu nilichokiona kwenye maandishi yako haya ni "IMANI" You still believe. Ondokana na Imani sasa mwanangu.
 
I tried to be silent to see if any new from kenya!!! But it is an embarrassment, Kenya still struggles with Slums, hunger, Unemployment, flying toilets etc.

Namtaka mkenya yeyote aje atuoneshe completed projects started 2017.
Taja vyote hvyo lkn umumbuke bado kiuchumi raia wa tz wapo hoi..
 
Au pesa nyingi inakwenda njee ya nchi sabab wanao endesha uchum ni wagen , wakiwwacha wenyeji fukar, wezi, na high rate of unemployed
Yaani wewe mawazo yako ndio yale baba levo aliyaita bichi kindimbwi......

  1. Tuna wasomi wengi kuwa shinda.
  2. the best bank in east africa.
  3. best hospitals in east africa,
  4. best roads in east africa,
  5. best university in east africa.
  6. biggest port in east africa.
  7. longest road network in east africa.
Yaani kenya tuna kila kitu zaidi yenu....
 
Taja vyote hvyo lkn umumbuke bado kiuchumi raia wa tz wapo hoi..
Mzee unaongelea uchumi upi wanaomilk wakenya.
😂😂😂
Screenshot_20220215-082409.png
 
Bado napenda Tanzania na bado naamini uchumi wenu upo under-valued. Nimesema hivyo kwa muda mrefu sasa kwamba kulingana na miradi mingi inayoendelea Tanzania na kwamba mnaeexport chakula ukanda wote huu na munauza dhahabu ya $3 billion kwa mwaka, uchumi wenu haustahili kuwa mdogo hivyo. Gdp yenu inastahili kuwa mkubwa kushinda hio $70 billion ambayo serikali huwa inataja. Halafu mumekwama hapo kwa $60-70 billion kwa miaka mitano au sita sasa japo uchumi wenu unakuwa kwa asilimia 5 au 6% kila mwaka. Licha ya kurebase uchumi wenu mwaka wa 2014 na 2019 bado uchumi wenu umekwama pale pale. Tatizo liko wapi ikiwa nchi kama Ethiopia ambalo lina a more primitive economy linashinda uchumi wenu kwa ukubwa? Mimi huwa ninashuku Tanzania bureau of statistics haina ujuzi unaofaa na wanahitaji msaada kutoka nje ili waweze kupima ukubwa wa uchumi wenu vizuri.

Kuna uwezekano wameshindwa kuzingatia sector mpya zinazoingia kwenye uchumi wenu kwa mfano boda boda wa pikipiki wamekuwa wengi sana miaka mitano zilizopita hapa Africa mashariki, hii lazima izingatiwe kwenye kucalculate mapato ya nchi kama sub-sector mpya ya transportation and logistics. Na mambo ya internet nayo imechipuza biashara mpya kama ya kuuza na kuchuuza bidhaa kupitia mtandao. Halafu miradi mikubwa kama JNHPP ambayo ni takriban $2.5 billion na SGR yenu ambayo ni zaidi ya $4 billion, unaweza imagine kama ni cement au vyuma vinanunuliwa ndani ya nchi basi ni cement ngapi zinanunuliwa hapo? Miradi za daraja ni cement ngapi zinanunuliwa hapo? Ni watu wangapi wanapokea mishahara wanaofanya kazi kwenye miradi hii? Yaani itakuwaje uchumi wenu umekwama kwenye $60 billion kwa miaka mitano? Haiwezekani, lazima kuna tatizo mahali.

Mimi huwa naona uchumi wenu umekaribia wetu na unastahili kuwa around $90 billion. Lakini hio ni maoni yangu tu kwa sababu sijakaa chini na kupitia ripoti ya gdp yenu kwa undani kama nilivyofanya ya Kenya. By the way, Imf wana kitengo maalum ya kusaidia nchi masikini kuboresha statistical reporting capacity zao. Nchi nyingi za Africa zipo hovyo sana katika kupima ukubwa wa uchumi zao. Kuna nchi za central Afrika ambazo hazijawahi kurebase uchumi zao kwa zaidi ya miaka ishirini. Nchi nyingi za Afrika zipo hovyo sana kwenye suala hili. Inawezekana Kenya tunabahatika kupata training na maarifa kutoka Imf na World Bank kwa maana taasisi hizi zina regional headquarters hapa Nairobi. Halafu Kenya sisi tunapenda kujipendekeza kwa wazungu so unakuta Wafanyikazi wa KNBS wanapata training kila wakati jinsi ya kupima na kuclassify different sectors za uchumi. Wafanyakazi wa KNBS huwa wanakwenda hadi ulaya kupata trainings kila uchao kwenye masuala ya kumeasure, kuclassify na kureport different sectors za uchumi. Tieni bidii kidogo kwenye hili. Nchi kama ya South Afrika ipo mbele sana kwenye suala hili kiasi cha kwamba wao hurebase uchumi wao kila baada ya mwaka mmoja badala ya kila baada ya miaka mitano kama tunavyofanya Kenya na Tanzania. Wao wanarebase kila mwaka kwa sababu wana pesa na ujuzi na wataalam wa kutosha.
Kenya na Tanzania huwa tunareport quarterly Gdp figures miezi mitatu baadaye wakati South Africa, UK, USA na nchi zingine zilizoendelea huripoti mwezi mmoja baadaye. Kwa mfano Gdp data ya October-December 2021, utakuta South Afrika, UK na nchi za ulaya zitairipoti mwishoni mwa Januari 2022 wakati Kenya na Tanzania na nchi za Afrika zitaripoti mwisho wa machi au Aprili 2022. Tunachukua miezi mitatu au minne kuripoti kitu ambacho kinachukua nchi za ulaya mwezi mmoja tu kuripoti.
 
Yaani wewe mawazo yako ndio yale baba levo aliyaita bichi kindimbwi......

  1. Tuna wasomi wengi kuwa shinda.
  2. the best bank in east africa.
  3. best hospitals in east africa,
  4. best roads in east africa,
  5. best university in east africa.
  6. biggest port in east africa.
  7. longest road network in east africa.
Yaani kenya tuna kila kitu zaidi yenu....
Mnawasomi wengi 😂😂😂 Can you mention few of them!? Akina Uhuru Kenyatta ndio unawaita wasomi!!!

Akina mama Ngina ndio wasomi wenu.
 
Kenya na Tanzania huwa tunareport quarterly Gdp figures miezi mitatu baadaye wakati South Africa, UK, USA na nchi zingine zilizoendelea huripoti mwezi mmoja baadaye. Kwa mfano Gdp data ya October-December 2021, utakuta South Afrika, UK na nchi za ulaya zitairipoti mwishoni mwa Januari 2022 wakati Kenya na Tanzania na nchi za Afrika zitaripoti mwisho wa machi 2022. Tunachukua miezi mitatu kuripoti kitu ambacho kinachukua nchi za ulaya mwezi mmoja tu kuripoti.
Kwahiyo unataka kusema nini hapa. Summarize your opinion.
 
Back
Top Bottom