tunachoona kwa kenya ni hvi
kenya ni nchi ambayo imefeli kwenye kila kitu sio tu uchumi naongelea kila kitu
huwez kuongelea uchumi ambao unanuka madeni about 9 trillion ksh ilihali nyinyi bado ni developing country
huwez kuongelea uchumi ilihali unemployment rate ni kubwa africa nzima
huwez ongelea uchumi mkubwa ikiwa njaa inawamaliza wakenya takriban kila mwaka na uchumi hauna cha kufanya zaidi ya kutegemea misaada kutoka kwenye nchi zenye jangwa asilimia 100
leo kenya haina hata pesa ya kujenga 5km railway haina hata pesa ya kulipa mishahara wafanyakazi wake ndio yale aliosema dr ndii kua munachukua loan kulipa mishahara badala ya maendeleo
na mm najua kua kenya imeangukia pua japo munajitutumua hapa kufucha aibu zenu ila kwenye dunia hii hamuna cha kuficha
leo kenya inachukua loan from halima to pay peter na muko hapa munashangilia uchumi hvi
Tony254 uko serious kweli???😁😁
leo hii tuanzungumza karibia makampuni yote ya kenya yamekufa na hili ukitaka uthibisho nitakuelimisha
ww unaongelea safaricom ilihali safaricom over 60% inamilikiwa na foreign investors