Kwa hivyo unadhani hakuna Wakenya wanaokwepa kulipa kodi? Wakenya ni Wakora na wajanja hata kushinda nyie Watanzania. Licha ya ukwepaji wote huo wa kulipa kodi na corruption nzito sana ambao upo Kenya unakuta bado tunakusanya kodi mara mbili yenu. Na sio tu kwenye kodi, nimenotice tunawadouble kwenye mambo mengi tu. Hata kwenye mambo ya port, Mombasa port inahandle double ya kiwango cha mizigo ambayo port zenu zinahandle. Tukija kwenye electricity production, Kenya inaproduce 3,000 MW wakati nyie mnaproduce 1,600 MW. Kenya ina Gdp zaidi ya $100 billion wakati gdp yenu ipo $70 billion.
Gdp per capita ya Kenya ipo $1,800 wakati yenu ipo $1,080. Access to electricity ya Kenya ipo 80% wakati yenu ipo chini ya 50% kwa hisani ya World Bank. Kenya ina kilomita 19,000 za lami by 2019 wakati nyie mna kilomita chini ya 14,000 by 2019. Kenya ina assemble magari takriban 10,000 wakati nyie mna assemble magari chini ya 2,000. Hatujawapiga kwenye ukusanyaji wa kodi tu, tunawanyanyasa kwenye mambo mengi sana. Kenya inapokea remittance ya $3 billion kila mwaka kutoka kwa Wakenya wanaoishi ulaya huku nyie mkipokea remittance chini ya $1 billion.
Nyie pia mumetupiga kwenye mambo mengi ikiwemo tourism, madini na agriculture.