KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Hamna kitu, utalilia chooni juu ya wivuDoadoa vp uangalie utaratibu wa kuhama hapo ulipo kabla ya August!
Hamna kitu, utalilia chooni juu ya wivuDoadoa vp uangalie utaratibu wa kuhama hapo ulipo kabla ya August!
Lakini watz mnatamaningi vita sanaajue tu, akilianzisha na Museveni Tanzania itakuwa upande wa Uganda!
Kuna watu kwenye hii thread wameanzisha siasa mpaka inakua kuingia humuWale wanaokazana kufuta legacy nadhani mmesikia alichosema SSH kuhusu mtangulizi wake.![]()
WivuWe nenda kapige punyetto mjomba huku hapakufai..
Acha kutupigia kelele bana
Malizeni njaa majirani mtoke kundi moja na Somali,hii ni aibu
Alafu bado Kuna watu wanataka kufananisha dodoma na miji ya ovyo kama kisumu by 2025 nairobi Ndio itakua inashindana na dodoma kwa sababu dar haina mpinzani hapa ea na afrika ya katI na msipoaangalia vizur by 2030 dodoma nae atakua hana mpinzani
Duh, hawa nyang'au wanatia huruma.
Duh, hawa nyang'au wanatia huruma.
Unajua maana ya neno logic ,fact uja baada ya logic na fact haiwi fact hadi thibitike na logic, vinginevyo hiyo fact inakuwa ni kudanganyana tu na hadithi za kusadikikaBila ukweli hakuna mantiki mzee acha kujisumbua hapa
If there is no demand then ata iyo dual haina maana,Flyovers na interchanges hujengwa according to demand sio decoration as you think.
Nimemsikia mkuu wa Mkoa wa Dom,aisee mama kamwaga mapesa sio mchezo.Mama anaupiga mwingi sana
Mbele ndiyo kuelekea kuvaa ngozi na usinga wa kichifu na hirizi viunoni,kwa mwenendoo huu wa mama sasa nimeanza kujua nali alikuwa ana waua maldino hapa tzSasa nasomaga nini mkuu wenzako tunaongea kwa facts we unakomaa na historia ya hayati tu.Tutamkumbuka daima lakini haitazuia sisi kusonga mbele na kupiga hatua zaidi.
Wasisahau njia za wateambea kwa miguu na baiskeli tena ziwe pana sichini ya mita 2 kila upande kwa ajili ya watembea kwa miguu bila ya kushahau green things yani mimea
Tatizo siyo kumwaga pesa ,,,,,kama unamwaga pesa na kuku wa ccm wanajilia tu kwa urefu wa kamba walizo jipimia na awachukuliwi hatua kali ya kunyongwa adharani ni bure tu ,tunataka rais dictator mzalendo mwenye kukata vichwa wahuni woteNimemsikia mkuu wa Mkoa wa Dom,aisee mama kamwaga mapesa sio mchezo.
Hata Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu amesema SSH hadi January katoa 54% ya bajeti ya Wizara,kitu ambacho hakijawahi tokea hapo awali..
Nina imani Sana na mama Kwa sababu anatekeleza sera za biashara huru kiasi kwamba sasa pesa ipo na uchumi unakua.
View attachment 2113921
Lazima mtembelee nyota yetu
Empty kwa Jiji lenye wakaazi takribani 700k?If there is no demand then ata iyo dual haina maana,
Itakuwa empty all through
Nyang'au wanakufa njaa.Pesa ya ndani imeisha mmeanza kukopa😂😂😂
Mkuu wa mkoa kasemaHiyo ni component muhimu sana, yaani waweke kule mtumba sembuse Kwenye Dual carriage?
Tutaanzisha hadi mashindano ya waendesha baiskeli.
Leo Mkuu wa Mkoa kasema Jiji la Dodoma hata kabla ya uzinduzi wa Leo ndio linaongoza kwa mtandao mkubwa wa barabara za lami.
Hapo bado hizo 112 + 28 plus 20 zingine zinajengwa na Tarura .


