Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sijui ni hadi lini hawa watz watakuja kuelewa kuwa gdp ya kenya $109b sio tu kwenye makaratasi ama imechongwa ......
yani from this report of AfricaBusiness2021, of 25 top companies in east africa, kenya ina 15 slots.! ikiongozwa na safaricom; ikiwa na market capitalization of $13b, and which make it to top10 list in africa!.. Tz ikiwa na 8 slots, ikiongozwa na tanzania breweries, ikiwa na market capitalization of $1.3b, na ikiwa no.90 in africa!.

then napenda vile za kenya zina dorminatiwa na finance, telecommunication etc, huku za tanganyika ziki dorminatiwa na beer na sigara. 😆
alafu unaskia mtu akisema eti gdp yetu ni ya makaratasi ama ni ya mchogo..
hoja hapa ni kwamba, maana ya kuwa na gdp kubwa ni kua, tutawabandua kwenye sekta nyingi.. (jana thru tuusan ilikua ni kwa kilimo na umeme, leo ni kwa report ya makampuni, kesho itakua ni kwa kitu kingine, and so on, and so on...).. mtakuja tu kuelewa siku moja, msije tena kusema eti gdp ya kenya ni kwa karatasi..


i ll capture a full snapshot tomorrow using tablet..
meanwhile here is the link👇🏽

Africa's Top Companies 2021: East Africa - African Business

and here is a snapshot section of the 2021AfricaBusiness report👇🏼

View attachment 2113336



View attachment 2113329
hii ni kidonda ndugu ya mtanganyika, kwa karne kadhaa zijazo. enway msikonde, ivo tu ndo kunaendaga. 😆 mtazoea tu
 
Sisi hatutaki kuona GDP kwenye makaratasi sisi ni Tomaso tunataka tushike na kuona GDP kwa mikono yetu na macho yetu kama ilivyo huku Tz na viongozi wetu wanajua tabia hiyo ya waTz ndio maana hawatuchezei kila kukicha wanatushikisha GDP na kweli tunaiona.
inaonekana uko na very shallow brains. enway tuwachie tu hapo. mmetushinda basi.. sawa. hope umefurahi sasa..
 
Tz vision by 2025
1.Agri input $1Bn
2.mining sector $3bn
3.tourism sector $3bn
4.industrial products $1.5Bn
Haya yanawezekana...tukiweza attracts more investors sababu umeme utakuwepo wa kutosha tunavuka...ila sijajua kwann forecast gdp wameweka $92bn
 
Ethiopia na somalia vipi, we jamaa kumbe bwege sana
Yani kutokua kwenye equator lkn bado mna idadi kubwa sana ya watu wanaojichubua kw hapa EA..

Mikorogo EA soko kubwa lipo tz

Sio kweli, huo ni wivu na tatizo kubwa la wakunya ni ukabila uliokithiri,
Ndio maana watoto wa kike wa kikenya huwa mnafanana na babu zenu sababu mko na ukabila ulioota mizizi, hamuwezi kuoana makabila tofauti na ku exchange genes,
Matokeo yake mnabakisha genes zilezile kwenye mzunguko mdogo na kufanya inbreeding, matokeo yake ndio haya sasa wengi wenu mnaanza kusema watz wanatumia mikorogo kisa watu wako free kuoa kabila lolote na kuchanganya genes.
Tz tuna makabila 120+
Watu wanaoa na kuolewa kokote kwa uhuru,
Huko kunyaland mpo vikabila 40 tu na bado mnakumbatia ukabila, diversity yenu in terms of genetics ni finyu, your gene pool ni ndogo sanaa..
Unakuta mtu mweusi tii kama pua ya umbwa halafu anaoa mwanamke mweusi tii kama oil chafu, hapo lazima kuwe na chuki na watu wenye rangi tofauti..Rangi ya ngozi inakuwa determined na specific genes zinazosababisha seli kuzalisha pigments kwenye ngozi, nywele na macho.
Rangi nyeusi sio mbaya ila pia nchi nzima kuwa na rangi nyeusi kama lami is not heathy,
Diversity in terms of phenotype is healthy.
Nakumbuka humu mlianza kumbagua ichoboy kisa rangi yake.
Leo mmepelekewa moto, Asanteni sana wabongo kwa kushushia hizi takataka kipigo hevi.
 
Tz vision by 2025
1.Agri input $1Bn
2.mining sector $3bn
3.tourism sector $3bn
4.industrial products $1.5Bn
Haya yanawezekana...tukiweza attracts more investors sababu umeme utakuwepo wa kutosha tunavuka...ila sijajua kwann forecast gdp wameweka $92bn

Hapo kwenye mining,
Gold ingetupeleka mbali sana,
Kuna wachimbaji wadogo na wa kati wengi sana, wako maelfu kwa maelfu, na tungeweza kutengeneza local dollars millionaires wa kutosha hapo,
Sioni sababu ya serikali kuendelea kuuza maeneo ya uchimbaji wa dhahabu kwa wawekezaji wazungu na wachina kwenye Gold,
Gold ni rahisi mno kuipata na haihitaji advanced technology kuu process,
Locals can make it kirahisi mno.
The problem is almost maeneo yote yashauzwa kwa wagweni,
Leo ukichukua coordinates popote ukienda nazo ofisi za Madini unakuta kote kupo covered na sijui waKorea *****,
Waafrica tuna laana
 
Hiyo tunayo kwa sgr na bado tunajenga kwaajili ya commuter rail. We think mass transit for common mwananchi while you plan for the rich hiyo ndio tofauti yetu.
Our sgr is working, yenu bado imekwama. Our commuter rail is way better than what you have down there both in length and standards. Listen to yourself
 
Now the ball is on your side 😅
Retailing business is owned by somalis na hata viwanda and real estate pia Dada zenu wanawapapatikia sana Wasomali 😅😅

Huwezi kumuondoa msomali Kenya bila uchumi wa kenya kubaki zero
Hebu nitajie any rich Somali you know in Kenya and his or her networth now that they "own" our economy
 
Down town Dar es Salaam
IMG_9936.jpg

IMG_9935.jpg
 
Tz vision by 2025
1.Agri input $1Bn
2.mining sector $3bn
3.tourism sector $3bn
4.industrial products $1.5Bn
Haya yanawezekana...tukiweza attracts more investors sababu umeme utakuwepo wa kutosha tunavuka...ila sijajua kwann forecast gdp wameweka $92bn
Wewe unatoa wapi hizi figures? Hiyo figure yako ya mining ni kiasi cha revenue ya dhahabu pekee inavyo-contribute kwa Tanzania at the moment tena sasa kuna refineries (it should have gone higher)! Contribution ya Mining itself sasa ipo juu ya $4 bln na target ni $10 bln tena inaongelewa kila siku!

Pili hiyo tourism kwa sasa ni zaidi ya $2.6 bln tena tangu 2019 japokuwa imeshuka kwa covid, sasa unawezaje kusema target yetu iwe $3 bln in 2025? Aisee wacha ujinga!

Halafu ati industrial products ni $1.5 bln wewe ni mpumbavu wa aina gani? Yaani unataka kusema cement, steel n all consumer goods by giant conglomerates in the region ni $1.5 bln? Hivi unajua METL itself ni zaidi ya hiyo figure ya $1.5 bln kwa mwaka! ficha upumbavu aisee!

Ati agri products target ni $1 bln juzi nimesoma TAHA alone wanaongelea ku-cross that figure alone in the near future! Kumbuka hao ni horticulture alone! sasa tunalisha kila jirani halafu useme $1 bln tu? Hivi unajua Tanzania leads in the export of maize, pulses, rice, victoria fillets, meat, cotton, timber, sisal, pyrethrum, cashews, sesame n avocado, vanilla, algae crop (mwani) and cacao r growing fast!

Mimi si economist ila naona ujinga ulio nao! BTW sioni service sector hapo juu, sasa kwa nchi nyingi duniani services inachukua mpaka 40% of the GDP, consider current expansion at our ports (3 at sea and several at inland lakes) is done, SGR is working, Air Tanzania is flying intercontinental, EACOP is to supplement TAZAMA pipeline and JNHPP is supplying power for export and roads and waterways r continuing to get improved! R u trying kuniambia service sector is a non factor?
 
Back
Top Bottom