Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ngoja nimpe somo huyu

huyu ruban usishangae ukaambiwa ni mnyamwezi! unakujua igunga mkoani Tabora? unamjua rostam aziz? ni alikuwa mbunge wa igunga

ukienda igunga,tabora, shinyanga, singida au iringa kuna light skin au watu wenye ngozi nyeupe wengi sana huko! sasa ukiambiwa huyo rubani ni mnyamwezi wa igunga au shinyanga usishangae

mfano mwingine eti yule jamaa wa simba hanspope alikuwa ni mtu wa wap
Iringa
 
Hapo kwenye mining,
Gold ingetupeleka mbali sana,
Kuna wachimbaji wadogo na wa kati wengi sana, wako maelfu kwa maelfu, na tungeweza kutengeneza local dollars millionaires wa kutosha hapo,
Sioni sababu ya serikali kuendelea kuuza maeneo ya uchimbaji wa dhahabu kwa wawekezaji wazungu na wachina kwenye Gold,
Gold ni rahisi mno kuipata na haihitaji advanced technology kuu process,
Locals can make it kirahisi mno.
The problem is almost maeneo yote yashauzwa kwa wagweni,
Leo ukichukua coordinates popote ukienda nazo ofisi za Madini unakuta kote kupo covered na sijui waKorea *****,
Waafrica tuna laana
Ndio maana Magufuli hakutaka kutoa leseni kubwa na nyingi zilizokua pending alizifutilia mbali, mpaka sasa wachimbaji wadogo ndio walipa kodi wakubwa wa mapato ya madini na ndio wenye michango mikubwa kwenye sector ya madini
 
Mbona unalaumu watu for your own misfortunes? you kill each other like animals and blame Tanzanians
Kuweka Kumbukumbu sawa ni kuwa atleast 100 died due to police shooting in 2017,
This year we pray you don’t. Maana mnakiwaga na ushamba sana wa siasa because of stupidity mtu wenu syndrome
Uzuri magu aliuwa watu pale zanzibar kisiri akasahau pia yeye anaeza kufa though, mnaomba sana mabaya yapate kenya ndio mtupite kiuchumi, naona mtangoja sana
 
Uzuri magu aliuwa watu pale zanzibar kisiri akasahau pia yeye anaeza kufa though, mnaomba sana mabaya yapate kenya ndio mtupite kiuchumi, naona mtangoja sana
Doadoa vp uangalie utaratibu wa kuhama hapo ulipo kabla ya August!

 
Ubaguzi wa rangi Kwa waafrika wenzako ni ushenzi wa kupitiliza! Hata kama Wewe ni light skin, kuna uwezekano mkubwa tu ancestry yako kuna mtu ana dark skin! Na kama hujui science naomba nikueleweshe tu kuwa kupata mtoto mweupe huhitaji kuwa na partner mwenye ngozi nyeupe! Parents wenye ngozi nyeusi wanaweza kuwa na recessive genes za ngozi nyeupe na zinaweza kuwa expressed na kuwa dominant Kwa watoto wanaowazaa!

Ndio Maana kuna stories za Wazazi waafrika kuzaa watoto wenye features za wazungu, ngozi nyeupe na hata blonde hair!

Mnasema wakenya wana ukabila huku ninyi ni wabaguzi wa rangi! You’re not any better!

Kinachonikera ni kujenga standards za urembo za kipumbavu! Ndio nyie mnaowafanya wadada kutokujikubali na kuanza ku-bleach ngozi zao, wakiamini kuwa sio warembo unless ni weupe! Shame on you! You’re uneducated and stupid! Go fix your brain!
You're very smart.
 
Fact
noun

a thing that is known or proved to be true.

"he ignores some historical and economic facts

Similar:

reality

actuality

certainty

factuality

certitude

truth

naked truth

verity

gospel

Opposite:

lie

fiction

information used as evidence or as part of a report or news article.

"even the most inventive journalism peters out without facts, and in this case there were no facts"
Wewe logic yako ni ndogo ndiyo maana aujaelewa nilicho maanisha sikusema fact maana yake ni sheria na logic maana yake ni haki tumia akili ....
Fact ni kama sheria kwa sababu inaweza kutengenezwa ya kupika kama kenya gdp yenu kwa kutumia fact unaweza kujidanganya au kudanganywa ila kwa kutumia logic una fumbua mafumbo yote yaliyo feki
Waislamu wanakuambia kuwa dini yao ndiyo ya kweli na wakristo wanasema yao ndiyo ya kweli na wote wanatumia FACT KUVUTIA KAMBA UPANDE WAO ,sasa ukweli unajulikana kwa kutumia logic siyo fact
Ndiyo maana fact nyingi zimebatilika duniani kutokana na logic tutambua ili fact inaweza kuwa sawa au kuwa batili ni kama sheria inaweza kuwa ya haki au ya dhuruma.
Fact nikama jibu ili ujue ilo jibu ni shahihi au la lazima logic itumike kupima ilo jibu limepatikanaje patikanaje , kwakuwa logic ndiyo ina proof fact
 
This is why we will always undermine you. Your levels of ignorance are beyond compression! !

You call people that you have lived with for more that 1000 years not natives.

Kama nyie hao waarabu hamuwataki basi mturudishie mombasa yetu mliotudhulumu.
Mnataka Tukue kama nyinyi uchumi wotemikononi mwa Waarabu? Naona mmeshindwa kujenga Port kubwa mnamezea Mombasa mate sasa.
 
BCFE74F8-DDC8-4AC0-A9EE-0311604828B7.jpeg
 
Back
Top Bottom