huyo ni mpemba capt arif na sio mwarabu au nyinyi kua mwarabu anakuaje ??? wakenya ni watu wajinga sana dunia hii 😀😀😀Yani wabongo wamekasirika humu kisa nimestate the obvious - yani mimi kuita huyu Mwarabu ni makosa. Yani wananaforce huyu awe Msukuma.🤣🤣
View attachment 2113699
Somehow Posta imesahaulika. Eneo lote hilo linahitaji facelift kidogo kupapendezesha.
Uko na point nzuri, ila shida yako ni kuingia kwenye coversation bila reference to previous posts on the thread. Usidhani unanielimisha kana kwamba sifahamu kuna waafrika light skin, wenzenu wanaongea kama hamna watu weusi tii tanzania, angalia postNyie mnaubaguzi sana. Hata wazungu og wapo na aina tofauti ya rangi zao, kuna wanoelekea ualbino na wengine uchocolate, wana macho ya rangi tofauti na nyewle rangi tofautitofauti pia. So hat Africa kuna wenye light skin bila hata kuchanganya na waasia, amerika na ulaya mfano halisi ni warangi na wachaga. Sasa usijustify kwamba uafrica ni kua mweusi tii, hiyo ni dhana aliyoandikizwa na mzungu na watumwa pekee ndo wanaokubali hiyo dhana
ajue tu, akilianzisha na Museveni Tanzania itakuwa upande wa Uganda!Sasa nimemuelewa JK,huyu jamaa kumbe mpuuzi kiasi hiki?
View attachment 2113706
Mo Dewji na Bakhresa...🤣😂Waarabu sisi hku kwetu hawashiki sehemu nyeti kw kiasi kikubwa km hko kwenu..
Tanzania kuanzia usafiri wa angani, majini, barabara, vyakula, vinywaji
Ukichunguza sana zile sehemu ambazo unakuta waafrika light skin basi nyuma kulipitia ngozi nyeupe hata kuwa na kambi ya ki missionary na waarabu..Nyie mnaubaguzi sana. Hata wazungu og wapo na aina tofauti ya rangi zao, kuna wanoelekea ualbino na wengine uchocolate, wana macho ya rangi tofauti na nyewle rangi tofautitofauti pia. So hat Africa kuna wenye light skin bila hata kuchanganya na waasia, amerika na ulaya mfano halisi ni warangi na wachaga. Sasa usijustify kwamba uafrica ni kua mweusi tii, hiyo ni dhana aliyoandikizwa na mzungu na watumwa pekee ndo wanaokubali hiyo dhana
Weusi wapo na majority, ila from ur heart kati ya Kenya and Tanzania nani wana more deep dark skin? Unajua nyie mna makabila yana uwiano na Wanubi, watu wa Sudan! Those nilotics, south of Ethiopia and South of South Sudan! Sisi hatuna, sasa huwezi kukataa u have more deep dark skin than us it is just a demographic mzee! Ni kama Mganda au M-south Sudan akatae ukweli huu! Mimi naweza nikawa-challenge mlete picha zenu wote mnaobisha humu na sisi watanzania walete utakuwa shocked na results! Unless hujawahi fika Tanzania!Uko na point nzuri, ila shida yako ni kuingia kwenye coversation bila reference to previous posts on the thread. Usidhani unanielimisha kana kwamba sifahamu kuna waafrika light skin, wenzenu wanaongea kama hamna watu weusi tii tanzania, angalia post
Hahahaa!!Noma sana..Mo Dewji na Bakhresa...![]()
Nahisi baada ya Museveni kumtuma juzi kijana wake(Muhoozi kanairughabha) ni kama vile walienda kumpigia magoti ndio maana ameota pembe kiasi hiki,Hadi kuuzungumzia ukanda mzima. Hii ni kauli ya dharau Kwa majeshi ya ukanda wa Africa mashariki!ajue tu, akilianzisha na Museveni Tanzania itakuwa upande wa Uganda!
The guy is a war monger!Duh !
ajue tu, akilianzisha na Museveni Tanzania itakuwa upande wa Uganda!
The best 007


ni macho yangu au naona vibaya Geza Ulole emu tizameni hiyo video mwisho kunajina linatokea mnijulishe ni kitu gani ?