Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Acha kujifuraisha izo ni za mgr 😅 unatamani tufanane
The profits are enough to start another bank in Lubumbashi /Kinshasa..Waache kelele sasa waingie DRC na Zambia!
wah!.. hakyamungu hii ina kaa real tena!. hope sio photoshp. hehe..😆 watanganyika watajua hawajui
Wewe utangoja sana machafuko yatokee August. Mungu yu nasi.Sasa itokee wapigane hiyo August
Sasa itokee hiyo August wapigane watajichukia! huku njaa huku Machafuko huku Al Shabaab!
Ss ulikuwa unabisha nn.
So mjadala wa omba omba tumeufunga rasmi, kumbe ni watalii bhn wanakuja kuwaongezea pesa ya kujikimu na njaa







Mbona zenji visiwa vinahalibiwa unasifu kuwa ni uwekezajiWote ni uhalibifu,saizi kuna huduma ya balloons watatumia hio option kama Wana haraka,otherwise zile tents zinatosha .
mlima ni wetu wabara uhalibifu ni kukata misitu siyo huo ujenzi ninao pendekeza huko juu nikukubwa sana wanaweza kujenga miundombinu rafiki kwa kuvutia utalii zaidi maana kuna hali ya barafuIla hata kama siyo sgr ilo treni lina upigaji wa kula urefu wa kamba wa yule mjambiani mpumbavuu maana ilivyo hata wachomea vyuma wanaweza kuitengeneza




After this for MGR
Ila hata kama ni mgr hapo kuna sera za kula urefu wa kamba za mama samia na mzee wa msogaAcha kujifuraisha izo ni za mgrunatamani tufanane
hio reli umeona ni SGR 😂😂😂😂 au MGR kweny ni SGR alaf unichukie bure tuHahaaa!!noma sana
yani kabisa na ww unashangilia kuona cargo MGR trains🤣🤣🤣🤣
Better than anything Kunyaland SGR has!
haya oneni sasa😂😂😂😂 source nairobi wire yani jamaa wanatengeza habari za kuichafua tanzania sijui kwa faida ya nani