chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,124
Arusha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Working Place
Residing Place
Working Place
Residing Place
Alaaa!!imekuumiza sioMila za kubeba bunduki wherever you go?![]()
Huna jipya, siku zote kilaza akiambiwa ukweli huoni nkm hapendwimm sio wakupuuzwa, mm lazma munichukie kwasababu ndio mtu pekee naanika chupi zenu hadharanihamuwezi kunipenda
Jamaa huaga wanapenda kujiliwaza sana, hayo ndio madhara ya maneno ya majukwaani..
🙏🙏🙏 Nilikuwa naitafuta hii nimejibu huyo kiazi hapo 😆😆😆😆Wamarekani ni wachache ila tourists wenu wengi ni Watz wakifuatiwa na Waganda.View attachment 2102478
😆😆😆😆 Nimecheka kifala
oh kumbe wa tz huja kenya kutalii??? alaaaaah...basi tukishamaliza ile express way...wa tanzania watakuja kwa wingi kujionea maendeleo...we welcome you our kakablazasWamarekani ni wachache ila tourists wenu wengi ni Watz wakifuatiwa na Waganda.View attachment 2102478
umeamua kulia kabisa 😂😂😂😂She didn't expect to find 59 million wild animals 😂😂😂😂😂😂😂
Wengine tumepata new running route!Kesho asubuhi tunapasua hapa kati kati mpaka Aga Khan
View attachment 2102372
View attachment 2102373
sasa unalia au unacheka😂😂😂😂Kwenye banks ficha aibu. Huna aibu kupost profit ndogo kama hio?
hamutanipenda daima hilo nalijua mm🤣🤣 na siku zote mbwa ukimjua jina hakupi tabuHuna jipya, siku zote kilaza akiambiwa ukweli huoni nkm hapendwi
Huko juu mkifika mnafikia wapi kwenye jengo au kwenye icho kibao cha matangazo ?,mimi napendekeza huko juu wajenge japo shehemu ya kufikia 4 zenye migahawa na madhari nzuri za kitaliiKatika maeneo yote ya kitalii Tanzania hakuna eneo pesa nyingi zinaenda kwa mtanzania moja kwa moja kama utalii wa Kilimanjaro,
mtalii mmoja atahitajika kuwa na personal
wapishi 2
Porters 6
Guide 1
Rereva 1
Supervisor 1
Kwa siku 7
Kazalisha ajira 11 kwa week
Kwa mwaka ni kiasi gani?
Tofauti kabisa na mbugani ambapo hataengage manpower kubwa kiasi hiki.
Wode maya yupo wapi aje kututangazaKesho asubuhi tunapasua hapa kati kati mpaka Aga Khan
View attachment 2102372
View attachment 2102373
Huyo ni komando wa kijiadi siku si nyingi nyani zitalipuliwa na mabomu Tony254 komora096 mkuje hukuView attachment 2102392
Hivi si ndo huyu mwanamke aliyekatikati?
Huko juu kunatakiwa kuwe na huduma hata kama kwa kutoboa mlima iwe ndani kwa ndani ili pasionekane maana kuna swala la afya pia ,kwahiyo siyo lazima hizo hotel ziwe zinaonekanaUharibifu wa nature,hakuna mtu atafanya huu ujinga wako.
Siku zote zuka ni zuka tu hta umjuze vipi bado atajikuta yupo righthamutanipenda daima hilo nalijua mmna siku zote mbwa ukimjua jina hakupi tabu