Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaambiwa tuna assemble wewe unasema tuna fabricate, kwnn Wakenya mnakuwa na roho mbaya namna hii?
Mimi nazungumzia kuhusu tour vans. Kwenye tour vans mna-fabricate na hata Geza Ulole analifahamu hilo. Ila sipingi kwamba mna-assemble mabasi. NDINDA amenionyesha kiwanda hapo TZ cha kuassemble mabasi ambayo ina mashine yote ya kuassemble. Kwa hivyo mimi nakubali kwamba mna-assemble mabasi ila napinga kwamba mna-assemble tour vans. Kulingana na hio kampuni ya tour vans inavyojieleza yenyewe ni wazi wao wanafanya fabrication.
 
chrome_screenshot_1643561730629.png
 
Mkuu Tony nimeandika kuwa Mnaimport parts mnazinganisha Kenya, Na sisi tunaimport part pia na Mabasi , Angalia Bus Inaitwa JN star na Facility zake.

View attachment 2101501
View attachment 2101502
View attachment 2101503
View attachment 2101505
View attachment 2101506

Kuhusu faida za Assembling na faida zake hamna mtu anayebisha , ila tuliyemjibu alikua na dharau . Pia BYD yenyewe inasema itampa BasiGo Mabasi ya Umeme ayauze na kutumia Kenya. Kwa kusisitiza kasema Parts zote zitaletwa Kenya na Kua assembled hapo.

View attachment 2101514

Scan translate hayo maneno chini. So wote tunaimport. Haijalishi finished or complete bado tuna import. Ndio ilikua sababu ya kujibu hivyo.

View attachment 2101519

ngoja niwasaidie kuleta translation
IMG_4498.jpg
 
😂😂😂 Jamaa unanifurahishaga wewe, mfano hii ni R chuga city center 👇.View attachment 2101164View attachment 2101168View attachment 2101172View attachment 2101175View attachment 2101178View attachment 2101180View attachment 2101182kisumu village center and it's best neighborhoods👇View attachment 2101184View attachment 2101186View attachment 2101187View attachment 2101188hivi kweli classic city kama chuga ufananishe na huu uchafu.? 😂😂😂 Kipoison.? Unaakili timamu wewe.?
aah wapi!.. kisumu bado inatesa ile mbaya 🔥🔥
 

Nchi hii ina umeme wakumwaga ila basi tuu uzembe wa vingozi Ndio unatuangush, by end of February tunaongeza more than 250 megawatts kwenye gridi ya taifa, by end of next year tutakua na surplus ya over 2500 megawatts kuna nchi huko zijiandae kununua umeme kwetu wa bei nafuu
 
Ndugu Zanzibar hujafika.
USIJIDANGANYE ZANZIBAR RAIA WANAISHI KIFAHARI ILE MBAYA.
NA WANAISHI KIARABU KICHIZI.
VYAKULA VYA KUMWAGA NA HUDUMA ZA KILA AINA.
TOKA NITEMBELEE ZENJI SIJAONA MLALA BARABARANI ANGALAU DAR WAPO.
 

Nchi hii ina umeme wakumwaga ila basi tuu uzembe wa vingozi Ndio unatuangush, by end of February tunaongeza more than 250 megawatts kwenye gridi ya taifa, by end of next year tutakua na surplus ya over 2500 megawatts kuna nchi huko zijiandae kununua umeme kwetu wa bei nafuu

Uwe una mtag sukuma gang mwenzio lwiva, anasema haoni miradi mipya 😆😆

Screenshot_20220130-193704.png


Screenshot_20220130-180754.png


Screenshot_20220130-180619.png
 
As always they are nowhere to be seen View attachment 2099827
Zimbabwe hawa Magufuli aliwapelekea msaada wa Chakula 2019 tu hapo.
Tunisia hapa Africa ni nchi inayoongoza kuwa na wazamiaji wengi wanaokimbilia nje kukimbia ugumu wa maisha.
Eswatini asilimia 30 mpk 40 ya vijiji vyake wanakabiliwa na uhaba wa maji.
South Africa ni nchi inayoongoza kwa ubakaji ya pili kutoka India.Hiyo hiyo South Africa inaongoza kwa vurugu za Xenophobia.
Zambia inajulikana hali yake ya maisha.
HIZI RANKING ZINAWAPOFUSHA SANA
 
Hakika Wasomali ni wachapa kazi na watafutaji mno, uchumi wa kenya by 65% umekamatwa na hawa watu

Nimeangalia hii video nakakubali, wakenya mnapaswa kuwa heshimu Wasomali haswa sio tu sababu wengi wenu ni housemaids wao bali pia ni walipa kodi wa kubwa


wewe kilaza sana, somalis are full kenyans just like the kikuyu or luo etc. our electoral commission and kenya police were once headed by somalis. infact somalis comprise upto 6% of kenyan population, even ahead of meru, kisii and so on..
Screenshot_20220130-203535_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom