fantasticfive
Senior Member
- Jan 7, 2022
- 160
- 286
Kazi yao ni kujifunga own goals 😂As usual....they are down there
Kazi yao ni kujifunga own goals 😂As usual....they are down there
Mimi hata sioni cha kutamba hapa, utaassemble vipi hiace DSM wakati hazina soko, Hujiulizi kwanini hiace na sio coaster?. Same way to isuzu na ndio maana hamtakaa mnunue magari mengine kwaajili ya BRT, matatu is there to stay kwakuwa ndio mteja mkubwa wa isuzu na isuzu hawatakubali muache kutumia canter kwa kusafiriaonly kenya and sa. in africa!.
hio ni kidonda ndugu kwa mtanganyika
View attachment 2101638View attachment 2101636
mnangoja nn?. muli rebase in 2013, na sisi 2014.. mukiapisha, tuna apishaMtu uliyemshinda GDP anauwezo wa kuzalisha chakula kingi na anakugawia na wewe.Unayemzidi GDP anakuacha kwenye credit capacity🤣🤣🤣siku tukitumia mbinu yenu ya kirebase tutakua na GDP ya $200bln
Sasa ndio uweke hapa hivyo vitu vinavyofanya muwe developed kuliko Tz hasira pelekea jubileeGDP yetu imewazidi....whether you like it or not.....ni nyinyi mlianzisha hii thread ya ujinga ya kushindana na sisi..Everyone else in the whole world knows Kenya is more developed than tanganyika save for some few deluded ones on this thread like you






Hii tulishaimaliza tukawapiga nje ndaniNataka tuanze kulinganisha madarasa ya shule za serikali Kati ya Kenya na Tanzania,naanza.View attachment 2101835
GDP ya kweli ya Tz kwa ss ni $150bn.Mtu uliyemshinda GDP anauwezo wa kuzalisha chakula kingi na anakugawia na wewe.Unayemzidi GDP anakuacha kwenye credit capacitysiku tukitumia mbinu yenu ya kirebase tutakua na GDP ya $200bln
mnadhani ni vitumbua za uswazi........nyinyi mkirebase mnashuka hadi 40.........very poor countryMtu uliyemshinda GDP anauwezo wa kuzalisha chakula kingi na anakugawia na wewe.Unayemzidi GDP anakuacha kwenye credit capacitysiku tukitumia mbinu yenu ya kirebase tutakua na GDP ya $200bln
Hiyo report ni ya uongo mkuu, Tz inazilisha cement zaidi kuwaliko pitia hizi data za viwanda viwili tu vinazalisha zaidi ya 3 million tonnestwiga cement
View attachment 2101709Simba cement Tanga report ya 2016
View attachment 2101710and mind you Tz iko na viwanda vikubwa vya cement vingi mno
, and many of these factories are producing more than 1 million tonnes annually. View attachment 2101712
Hii case vipi hii? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wewe kilaza sana, somalis are full kenyans just like the kikuyu or luo etc. our electoral commission and kenya police were once headed by somalis. infact somalis comprise upto 6% of kenyan population, even ahead of meru, kisii and so on.. View attachment 2101620
Mtarebase mno lakini hamuwezi kuwa na vitu kama hivi kwa ground 😅😅😅mnangoja nn?. muli rebase in 2013, na sisi 2014.. mukiapisha, tuna apisha
na vitu kama hivi je?Mtarebase mno lakini hamuwezi kuwa na vitu kama hivi kwa ground 😅😅😅
View attachment 2101974
View attachment 2101975
View attachment 2101977
View attachment 2101978
View attachment 2101979
Nashangaa kuona Wabongo mnaambiwa muanze kulitumia daraja siku ya juma nne kabla ya mama kulizindua rasmi? Si mama angelizindua kwanza ili na nyie vigogo muanze kulitumia daraja? Au mama hapendi mbwembwe za uzinduzi wa miradi? Uzinduzi wa miradi ni njia rahisi ya yeye kupata uungwaji mkono kutoka kwa wananchi.
Mnakulia sana mlima wetu. Siku moja tutakuja kulichukua.On the roof of Africa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
View attachment 2101983
View attachment 2101984
View attachment 2101985
14. Moshi cementHiyo report ni ya uongo mkuu, Tz inazilisha cement zaidi kuwaliko pitia hizi data za viwanda viwili tu vinazalisha zaidi ya 3 million tonnes 👇 twiga cement 👇View attachment 2101709Simba cement Tanga report ya 2016 👇View attachment 2101710and mind you Tz iko na viwanda vikubwa vya cement vingi mno 👇, and many of these factories are producing more than 1 million tonnes annually. View attachment 2101712