Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,792
Hawa Americans safari yao huishia Kenya tu, wengi hua hawafiki bongo. 😂😂🤣🤣 This one occasion isikupatie kiburi.
ongea Mkunya nairobae ulikuwa ulisema nn jana?
Hawa Americans safari yao huishia Kenya tu, wengi hua hawafiki bongo. 😂😂🤣🤣 This one occasion isikupatie kiburi.
sawa at least huonyeshi psyche attitude towards him!Kwani ndugu umebishiwa!?
😂😂😂😂😂 umeelewa mie nimelenga nini!?
Sijakataa usemacho hata Trump baada ya uongozi wake ana kesi za lobbying zinamuandama.
HAKUNA ANAYEMUABUDU MAREHEM FUTA HUO UJINGA.
NARUDIA HAKUNA MWENYE MEMA YOT AU MABAYA YOTE.
ILA UNAKOSEA KUMFANANISHA MAREHEM NA SAMIA.
MKUU UKITULIZA KICHWA UTAELEWA NIMELENGA NN.
The audacity of danganyikas 😂😂Kenya ni jalala la mavi msee.View attachment 2099084
nani mchapakazi? Msukuma sio? let me reserve my comments kabla hii maneno haijaenda mbali!Tunaangalia uchapa kazi siyo kabila,tafuta hotuba za nyerere alisema hatakama mtu atakuwa kabila gani kinacho takiwa ni uwezo wa kiuongozi
We mgonjwa wa akili.The audacity of danganyikas 😂😂
Huna aibu msee kuongea about garbage when kwenu kuko hivi?
View attachment 2099245View attachment 2099246View attachment 2099247View attachment 2099248
View attachment 2099250
1990The audacity of danganyikas
Huna aibu msee kuongea about garbage when kwenu kuko hivi?
View attachment 2099245View attachment 2099246View attachment 2099247View attachment 2099248
View attachment 2099250








Kwani ndugu umebishiwa!?
umeelewa mie nimelenga nini!?
Sijakataa usemacho hata Trump baada ya uongozi wake ana kesi za lobbying zinamuandama.
HAKUNA ANAYEMUABUDU MAREHEM FUTA HUO UJINGA.
NARUDIA HAKUNA MWENYE MEMA YOT AU MABAYA YOTE.
ILA UNAKOSEA KUMFANANISHA MAREHEM NA SAMIA.
MKUU UKITULIZA KICHWA UTAELEWA NIMELENGA NN.



Futa hii.
Kwa hiyo mama naye anapendelea watu wa pwani, kwa hiyo tuite Pwani Gang?Aawapii Wasukuma walikuwa juu ya wengine angalia nominations! Huwezi tambua kwavile inawezekana nawe ni ngosha! Wee acha bwana kuna watu wamenyanyaswa kinoma kisa itikadi! Huo utakatifu unajaribu kumpa mwendazake hakuwa nao! Funika kombe mwanaharamu apite!
We mgonjwa wa akili.
Unaleta pic za miaka kumi nyuma.
Mwenyezi Mungu alimwondosha muda muafaka, maana angekaa mpaka 2025 angeliacha taifa limegawanyika vipande vipandewafanyabiashara kibao sio watu wa uongozi tena wa Kaskazini wamenyang´anywa fedha zao kwa kesi za kuzusha hawajapelekwa mahakamani wala hawajatozwa faini ila account zilifungwa fedha zikaporwa na zisiingizwe serikalini! Kama si siasa zenye ukabila hiyo ni nini? JPM alikuwa mkabila tena mwenye roho ya kwanini ukweli usemwe bila kupepesa! Saahii wanahangaika kudai fedha zao! Plse nyamaza mzee utanifanya niongee mengi niwaudhi wenzio wanaomwabudu! Taifa bila haki ni majanga pia!