Amari
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 974
- 2,144
Ameujua ukweli, akapata makasiriko. Ujinga ukishamtoka kichwani atatulia.We mbn una hasira sn mzee![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameujua ukweli, akapata makasiriko. Ujinga ukishamtoka kichwani atatulia.We mbn una hasira sn mzee![]()
NakubaliHere I applaud Tz.., keep on, mkimaliza usisahau kunitag., napenda maendeleo anywhere in Africa., lakini hapa ndakunyorosha tu for the sake ya debate.![]()
![]()
![]()

Kwa makadirio ya chini kila mwezi TZ yanaingia magari 8,000. Na katika hayo asilimia 70 yanabaki hapa as ni local import na yanayobaki ndio yanakwenda nje.Nilidhani magari mengi yanaletwa na vessel ya aina hii ingawa makontena pia huwa yana magari ndani.
Je hiyo idadi ya makontena ni makontena yenye magari pia?
View attachment 2086785
huyo jamaa kabugi,yupo 15years back
Mwanzo kabisa palikua hivi.
View attachment 2086874
Baadae hivi tukaweka mwendokasi ( BRT) hiko kituo kikafa tena hata vipanya vikawa haviruhusiwi kutia oua hapo( miaka mingi sana)
View attachment 2086884
Magufuli kasema livunjwe hili jengo karibu na Kituo
View attachment 2086886
Sasa hivi tunavyoongea pako Hivi.
View attachment 2086888
2013 na ni city transport
View attachment 2086895
Unalinganisha na upcountry transport ya 2022?
View attachment 2086896





Akili yko ni ndogo Sana!hii thread imenifungua macho to see the true nature of the jealous hypocrites......They are our sworn enemies and we are very aware
Hii road imechoka ipumzisheni.Southern bypass View attachment 2087024
Southern bypass View attachment 2087024
Kwamba una msoft ili aendelee kukufurahisha kwa kuongea vitu irrelevant, usizan tuusan ni primary school dropout kama wewe, anaelewa intension yako jibwa wewe.Tuusan don't mind them........people who went to school understand you perfectly. You have back up facts and not vijiweni shenanigans
View attachment 2077146
Stop embarrassing yourself
Nashauri ni bora kipande cha isaka-Rusumo Sgr kabla ya kufika rusumo ichepuke kwenda bujumbura na nyingine iendelee mpaka kigali halafu DRC watachagua wachukulie wapi kulingana na kipaumbele chao ndege wawili wamepigwa kwa jiwe moja na muda utaokolewa.Rwanda inataka iwe ndio kituo kikubwa cha kuunganisha DRC, Burundi hata na Uganda kwa sgr lakini Tz ikaliona ,ndio maana Burundi inachukukia msongati.
This is very beautifulWalking here before the road opens is so refreshing .? (sunset walk by the sea) new road , new Bridge.
View attachment 2087200
View attachment 2087201
View attachment 2087202
View attachment 2087203