Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Labda ungefuatilia hizo takwimu zinahusu nini. Hio ni idadi ya magari mapya yaliyouzwa nchi hizo kwa mwaka husika. Tena hizo unit ni 350.000 sio laki tatu, na Kenya 1,300. sio milioni moja na laki tatu. Na kuna Japan hapo 77,000. sio 77m hio 2015.
Haina maana kuwa Tz idadi ya magari ni 350,000 na Kenya 1,300,000 kama unavyofikiria.
you see for example such a soul arguing with a list that has all the countries worldwide.........its shocking to them that their poor tanganyika is a minnow in world stage........we tell you the truth but you deny and resort to insults as usual
 
you see for example such a soul arguing with a list that has all the countries worldwide.........its shocking to them that their poor tanganyika is a minnow in world stage........we tell you the truth but you deny and resort to insults as usual
Excuse me!
 
Yaani county nzima raia wake wanategemea hospitali za Tanzania.
Nenda ukamuulize gavana wao km anafeli wapi basi wala usituingize sisi wengine huko..

Kuna county hospitals km ameshindwa kutekeleza hayo yote mpango wake
 
you see for example such a soul arguing with a list that has all the countries worldwide.........its shocking to them that their poor tanganyika is a minnow in world stage........we tell you the truth but you deny and resort to insults as usual
Hahaha!!we mzee umetisha, yani jamaa hapo atanengua mpka yesu arudi
 
Haya sasa semeni tena.
Usisahau kupitia replies za kwenye hii tweet.

Hyo mbunge bwege sana
Sasa si ni shauri yao, km kakalia kiti miaka ishirini hajafanya kitu anatarajia gavana atende maajabu..
Watajipanga na mambo yao, turkana naona siku hizi nao wamegutuka manake waliangali ni kubaya..national government inajitoa pole pole katika masuala ya kiboya kiboya km hayo
 
Ki ukweli on hard facts hakuna kitu mmeshindia Kenya........GDP....HDI....Middle class.......Purchasing Power.......Planning...?
You are just consoling yourselves but deep down you fear us to the bone.......lol.No wonder you will never allow free border interaction......your mwanza and arusha kraals will be in the hands of Kenyans
Hapa uligonga ndipo, but its an unfortunate position to be in for Tz.
 
You are not even ashamed of yourself go look for old pictures and get the worst just to post nkt so that you proof what and deep down you know that's not the current situation sometimes I always wonder and pity you guys. . Do you really want to know the current situation or to post for the sake of it?
tupe new pic mzee wacha pang'ang'a
 
Hazipo kwa wingi kama unavyodhania, alafu Kenya ni uchumi huru,(a free market economy) unaacha watu watengeneze hela wanavyotaka, bora wafuate sheria., utaratibu umeingia kwa wingi ukilinganisha na hapo nyuma, fika Nairobi sasa ujione mwenywewe, wachana na google.., ama tembelea google earth., kwanza kwa hizo picha angalia number plates.., kwa sasa mingi ni KDA onwards, latest ni KDG.., so ukiona KCs na KDs., na watu wamevaa mask utajua picha ni ya sasa..,
kuvaa mask haimaanishi kuwa kila mkenya akiyevaa kiatu cha 2021 kuwa kanunua kiatu kipya 2022,ila inaawekana kuna baadhi 2022 wamenunua viatu vipya na kuna wengi hawajanunua viatu vipya,

elewa hii statment
 
baba levo hakuwahi kutembea nnje ya bongo pia kauli aliyoongea ni anajitafutia attension ya market in kenyq
 
Hyo mbunge bwege sana
Sasa si ni shauri yao, km kakalia kiti miaka ishirini hajafanya kitu anatarajia gavana atende maajabu..
Watajipanga na mambo yao, turkana naona siku hizi nao wamegutuka manake waliangali ni kubaya..national government inajitoa pole pole katika masuala ya kiboya kiboya km hayo
😂😂😂 Kwani huyo no mbunge wawapi .? Na anawakilisha raia wa nchi gani.? 😂😂😂 Sio wakenya kweli.?
 
Back
Top Bottom