Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Umenifurahisha sana, sawa najua unapinga for the sake of battle, lakini unajua what's going on ..
wewe nakuambia ukweli, sipingi tuu, I base my arguments on facts, I belittle your reasoning and sometimes insult you only to lighten the debate, but all times I base my arguments on facts and truth, sio kama nyie ushabiki tu kila sehemu., kazi ni kupinga na kutetea kisicho kua ila kila kitu kiko wazi sana, yaani matako ya Tz yoote yako nje hayafichiki ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
Mtaa kama hii in Tz itakua ya matajiri mno.., hapa Nai ni among ya kawaida tu.., downside ni ati mnapark gari nje ya gate yako., two can't fit in the compund, in some estates one eats up the whole space, bro hustle zaidi uomoke, or move outskirts, go to estates along Kiambu road, Syokimau (Machakos), Kitengela ama maeneo za Kajiado, kuna estates kali kali na spaces kibao, expressway itapunguza jam(foleni) hautachoma mafuta sana ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
kwa ground vitu ni different



Mwanzo kabisa palikua hivi.

IMG_4061.jpg


Baadae hivi tukaweka mwendokasi ( BRT) hiko kituo kikafa tena hata vipanya vikawa haviruhusiwi kutia oua hapo( miaka mingi sana)

IMG_4063.jpg



Magufuli kasema livunjwe hili jengo karibu na Kituo

IMG_4062.jpg



Sasa hivi tunavyoongea pako Hivi.

IMG_4059.jpg
 
Sehemu tunawazidi wakenya ni katika export values...Tz inauza Mali zenye thamani zaidi kuzidi Kenya....
Vipi kuhusu export trade, vipi kuhusu Agriculture sector, tourism, live stock, mining, fishing, and blue economy in general?.

Vipi kuhusu software politics Kama, stability, unity, peace and tranquility things which are priceless but an fundamental for any development?
 
Vipi kuhusu export trade, vipi kuhusu Agriculture sector, tourism, live stock, mining, fishing, and blue economy in general?.

Vipi kuhusu software politics Kama, stability, unity, peace and tranquility things which are priceless but an fundamental for any development?
Tourism tunavuna zaidi,mining hivi kenya wanamadini gani?hapo wala hawawezi,kilimo cha horticulture wanatuzidi,wanauza parachichi,chai kutuzidi,sisi tunawazidi kwenye mchele,mahindi,maharage nk livestock najua tunango'mbe wengi lakini wanauza na kunywa maziwa kutuzidi
 
Makontena mangapi yameingia tz mwaka 2019 Tz 405,775 kenya 1,425,000
Hii ni taarifa ya world bank...
Bado mtu atakuambia Tz kuna magari mengi kuliko ke,Huo mzigo hata kama sio wote ni wakwao lakini bado volume ni kubwa mara 3 na zaidi kuliko uliopita kwetu.Purchasing power ya ke ni kubwa port zao zinauwezo mkubwa pia.Kama tuna battle tusifiche ukweli...kuna maeneo hawa jamaa wametuzidi mbali ila hakuna namna View attachment 2086735View attachment 2086739View attachment 2086742
Keshakasirika anaanza kuropoka sasa
 
Tourism tunavuna zaidi,mining hivi kenya wanamadini gani?hapo wala hawawezi,kilimo cha horticulture wanatuzidi,wanauza parachichi,chai kutuzidi,sisi tunawazidi kwenye mchele,mahindi,maharage nk livestock najua tunango'mbe wengi lakini wanauza na kunywa maziwa kutuzidi
Mkuu, chai na kahawa sio "hot culture, Pato la jumla la mazao ya kilimo, hii inajumlisha pamoja mazao ya shambani na bustani tunawapita kwa mbali Sana, ukiacha chai, maua na parachichi, mazao yote yaliyobaki tunawapita, KM: kahawa, pamba, korosho, miti/mbao, karafuu, Cocoa, sunflowers, Pyrethrum, vyakula, matunda.........

Mazao yote ya mifugo na mifugo yenyewe ukiacha maziwa, tumewazidi kwa mbali Sana, uvuvi ndio huko hata hawajaribu kugusa. Walikua wanetuzidi katika sector ya viwanda, ila Sasa hivi ndio tunawapita kwa Kasi kubwa.
 
Mkuu, chai na kahawa sio "hot culture, Pato la jumla la mazao ya kilimo, hii inajumlisha pamoja mazao ya shambani na bustani tunawapita kwa mbali Sana, ukiacha chai, maua na parachichi, mazao yote yaliyobaki tunawapita, KM: kahawa, pamba, korosho, miti/mbao, karafuu, Cocoa, sunflowers, Pyrethrum, vyakula, matunda.........

Mazao yote ya mifugo na mifugo yenyewe ukiacha maziwa, tumewazidi kwa mbali Sana, uvuvi ndio huko hata hawajaribu kugusa. Walikua wanetuzidi katika sector ya viwanda, ila Sasa hivi ndio tunawapita kwa Kasi kubwa.
Unapigia mbuzi gitaa, atakuja akuambie chai na parachichi nazo zinahesabika kama magari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom