komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
We acha story nyingi, tz mi youtong inakula vumbi kurukaHapa umenionesha barabara yenye vumbi au.? Note this hakuna barabara hata moja inayounganisha mkoa na mkoa ambayo ni barabara ya vumbi tz nzima, tena uko west barabara nyingi ni mpyaaa.. we unafkiri wanaowekaza mabasi ya abiria wa mikoni wanaweka kwa bahati mbaya.? Miundombinu inaruhusu, fala wewe. KAMPUNI za MABASI 100+ ambopo kuna baadhi ya kumpunI zinamiliki basi mpaka 50 .. we ulifkir ni vitu vya bahati mbaya.? kuna uwekezaji ulifanywa mzee kwenye barabara



Hii pich sio ya kitambo, nimepata fb jamaa kapost sijui wakielekea wapi vile nikaamua niihifadhi km 2weeks ago
JamiiForums mobile app
