Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heb wacha uongo mzee, hiyo mikoa ulipita mara tako ya mwisho lini.? 😂😂😂 Hakuna barabara hata moja Tz kwasasa inayounganisha mkoa na mkoa ambayo haiko na lami
Wewe wa mitandaoni hakuna kitu unajua zaidi ya kuambiwa,mtafute yeyote umuulize atakupa ukweli maana hata huwa husafiri mnaishia Dar,mitandaoni labda na Dom.
 
Hii picha imedhihirisha vingi kuhusu Thika road, kumbe ni 6lane road ambapo ukijumlisha na service roads inakuwa 10 lane road at some areas kwasababu hizo service road haziendi mbali, so leo nimegundua kwamba kumbe Thika road ni 6lane road.
Service road ziko kuanzia mwanzo Hadi mwisho
 
This man ate 105 $ billion all alone 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa ground, mtambo wa buzaa 😆😆😆

vKVidos4_400x400.jpg
Screenshot_20220113-150518.png
 
Wakenya msikubali uhuru astaafu bila kuwaeleza alipopeleka deni la $ billion 105 😂😂😂😂


Nchi yote bado ina njaa lakini yeye anahemea hewani kama kiroba cha dengu 🤣🤣🤣🤣

vKVidos4_400x400.jpg
 
Mzee service lanes are underway mbona picha ipo clear tu inajieleza yenyewe, ukiachana na hiyo junctionView attachment 2079138pitia hapa View attachment 2079143View attachment 2079144hizo service lanes zipo U/C bro kama ulikua hujui, na zipo section kwa mfano pale magufuli bus terminal service lane ni njia nne upande mmoja na upande mwingine ni njia mbili which makes the road to have 6+8=14 lanes, renda inajieleza View attachment 2079170hapa soon panakamilika juzi tu nilikua huko.. pakiisha hapa usiseme hujaambiwa
Mbona serikali inashindwa kunyosha njia ili ni tatizo la kipumbavu sana kwanini saerkali inashindwa kuchora mstari mnyoofu kwenye barabara maana hayo maeneo bado ayajajengeka tazama hata hizo njia za vumbi zilivyo pinda pinda kama minyooo
 
Heb wacha uongo mzee, hiyo mikoa ulipita mara tako ya mwisho lini.? Hakuna barabara hata moja Tz kwasasa inayounganisha mkoa na mkoa ambayo haiko na lami
China wuyi wanatengeneza barabara from loliondo i think kuelekea longido, lakini barabara ya mpaka mto wa mbu ni vumbi tu
 
I like Dar., ila developed area ni ndogo sana, ni town imekusanywa kwa pamoja, ila kwa Nairobi developed area ama towns kwa ujumla Dar ni ndogo sana.., Sama boy 255
Dar town (mjini), yaani business district yao is from this end
View attachment 2079606

to this end .., zaidi ya hapa ni vigorofa vichache vimetapakaa hapa na pale na makazi tu..., so ukubwa wa dar ni idadi ya watu na ardhi(udongo).., sio development..,
View attachment 2079614
Mbona zipo picha za drone kwanini usitazame hizo,,, hapo nionyeshe benk kuu twin tower zilipo kwenye hiyo picha nionyeshe daraja la kigamboni ,nionyeshe daraja la tanzanite, nionyeshe hospitali ya taifa muhimbili ilipo ,nionyeshe kituo kikuu cha brt cha CBD nionyeshe makao makuu ya jeshi yalipo
 
Back
Top Bottom