naww ni mlevi au???😀lol.....outta 13th century
Zipo kwenye meli mkuu,nn?Zimeshavuka Suez Canal View attachment 2078541
Unaniletea utoto unafikiri mm mtoto mwenzako.Sasa ona venye IQ yako ni ndogo![]()
Kiukweli kabisa haya mambo niliya experience enzi za Mkapa nikiwa kijana mdogo kabisa, tangu Mkapa sijawahi kuona hizo mambo, niwe mkweli.Afadhali umenitag... Kuna watu nawaamini sana now wanaelekea masaa 36 hakuna umeme Maeneo waliyopo Nairobi...
Blackout ya Nchi nzima kwa masaa 24 ni uzembe wa kiwango cha juu kuliko kabisa.
Hii inaonesha kama Nchi hamna utayari dhidi ya dharura kubwa zinazoweza kuhatarisha Nchi yenu, pia inaonesha hamna wa taalamu wa kutosha wenye uwezo wa kukabiliana na majanga Wala kufikiria njia za haraka za kutatua changamoto.
Hapo halijatokea janga la asili Wala vita mko hivi je vikitokea hivyo vitu?
Yaani hizi issue za Black out zisikie kwa mwenzio now, mama anataka atuletee na sisiKiukweli kabisa haya mambo niliya experience enzi za Mkapa nikiwa kijana mdogo kabisa, tangu Mkapa sijawahi kuona hizo mambo, niwe mkweli.
Kwahyo hizi ☝️ ndio hizo interchange upo hapa kuzipogia kelele 😂😂😂Let`s start with interchanges.
View attachment 2077874
View attachment 2077876
View attachment 2077878
Hivi vidaraja vyenyewe bado havijakamilika alafu unapiga kelele kuhusu mombasa kuwa na daraja nne 😂😂😂..Now let`s do bridges.
1. Mteza Bridge 1.4km
View attachment 2077890
View attachment 2077892
2. Mwache Bridge 600m
View attachment 2077894
View attachment 2077895
3. Makupa Bridge 457m
View attachment 2077897
Nyinyi mbona huwa mnapiga kelele hapa na SGR enye haijakamilika?Kwahyo hizi ☝️ ndio hizo interchange upo hapa kuzipogia kelele 😂😂😂
Hivi vidaraja vyenyewe bado havijakamilika alafu unapiga kelele kuhusu mombasa kuwa na daraja nne 😂😂😂..
Kwani mnatumia rangi ya maji kufanya marking? Mbona marking inakaa low quality?
Wacha kichaa reli ya SGR ni kitu kilichokamilika 👇Nyinyi mbona huwa mnapiga kelele hapa na SGR enye haijakamilika?
Kitu umeona kwenye picha, na tayari ushajua quality yake 😂😂😂 aah kumamake wewe ni much know.. fika ujionee acha kujificha porini ukoKwani mnatumia rangi ya maji kufanya marking? Mbona marking inakaa low quality?
empty rhetoricWacha kichaa reli ya SGR ni kitu kilichokamilikaView attachment 2078736hivyo vidajara havina hata dalili ya kuisha alafu unataja eti mombasa Iko na daraja nne. DSM kuna Flyover 4 U/C na hutaskia mtanzania akizitaja taja humu eti DSM kuna Flyover 6, hizo interchanges zipo nyingi mnoo hapo Kimara-kibaha high way lakini kwasababu bado zipo kwenye ujenzi hatuwezi taja eti tuko na interchange kiasi fulani.. Acha ubabaifu dogo,usilazimishe vitu visivyokuwepo