Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Na unamfurahia mwenzako kwa claims zake za kitoto 😂😂👇🤣🤣🤣 Leo nimecheka yangu yote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji706] Waste of taxpayers money. Yani highway imejaa level crossings, lanes hazina upana na barabara imejaa vilima na sharp turns so itakua na jam always. Ata ikue 20 lanes kila upande with level crossings ni bure tu maana itabidi magari yanangoja kuingia highway au watu kuvuka badala ikue express.