Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lini tutafika hizi level
20220112_153614.jpg
 
Kenya ndio nchi pekee umeme unakatika Nchi nzima kwa siku mbili na hakuna dalili ya kurudi..

Kuna ule mjadala kuhusu Ubora wa Elimu kati ya Tanzania na Kenya pamoja na Idadi na Ubora ya Mainjinia...

Mkenya anayebisha Kenya umeme haukatiki zaidi ya siku 2 anitag
Mnapenda sana propaganda mibongolala. Where I am kuna stima since yesterday. Ilipotea jana for around three hours ikarudi na haijapotea tena, japo kuna baadhi ya maeneo that experienced a 24-hour blackout.

Secondly, the countrywide blackout was caused by a technical hitch which has since been rectified. Technical hitches happen world over, so sijui hizi povu ni za nini
 
Mnapenda sana propaganda mibongolala. Where I am kuna stima since yesterday. Ilipotea jana for around three hours ikarudi na haijapotea tena, japo kuna baadhi ya maeneo that experienced a 24-hour blackout.

Secondly, the countrywide blackout was caused by a technical hitch which has since been rectified. Technical hitches happen world over, so sijui hizi povu ni za nini
Blackout ni kitu cha kawaida Kenya year in year out, wanasingizia damaged transmission line
Screenshot_20220112-193450.jpg
Screenshot_20220112-193557.jpg
 
Blackout ni kitu cha kawaida Kenya year in year out, wanasingizia damaged transmission line View attachment 2078533View attachment 2078534
Bongolala, wamesema chanzo ni damaged transmission line. Ni nini huelewi hapo? Or did you forget that Kenya produces and consumes more electricity than your shithole country? Ni nini kinakuuma Kenya ikikosa umeme because of a technical hitch?
 
Back
Top Bottom