Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Leta data za kenya za exports to EA sasa ujitetee kijana.. tupimishe kabla wanyabi hatujapisha hiliEbu soma tena kitu umeandika kwa maakini. 😂😂😂
Leta data za kenya za exports to EA sasa ujitetee kijana.. tupimishe kabla wanyabi hatujapisha hiliEbu soma tena kitu umeandika kwa maakini. 😂😂😂
Kenya's total export to EAC is $1.44B wakati ya Tanzania hata haifiki $900MLeta data za kenya za exports to EA sasa ujitetee kijana.. tupimishe kabla wanyabi hatujapisha hili
Kwani magufuli katumikia uraisi kwa miaka yote 10 we akiliyako vipi au akili yako imetaga yaiWewe nilikua nakujibu , ujenzi wa Mji wa serikali ulizinduliwa na Magu na tuliambiwa kutapamdwa miti ya matunda lakini hadi tunazika na ujenzi wa barabara uko 80% hakuna hata mti mmja unless ni sehemu ya mkataba wa mkandarasi.
Heb leta kwa nchi mojamoja, tunawajua nyinyi kwa blah blahKenya's total export to EAC is $1.44B wakati ya Tanzania hata haifiki $900M
Mkuu wacha kusikiliza maneno ya wakenya, uchumi wa Kenya unategemeaKuwa serious Mzee, uchumi wa Kenya uko diversified Sana , uchumi wa hivi inakuaje hauna strong root?




Heb leta kwa nchi mojamoja, tunawajua nyinyi kwa blah blah




I hope you will never talk your shit again, you can't compete with giant TanzaniaDoes that change the fact that 74 % of your imports within the EAC is from Kenya while Kenya only imports a paltry 24% from Tanzania yet the amount is almost the same. Au unajifanya hizo hesabu za pesa huoni.
Idhini imetolewa na serikali Waamalizie Morocco square ,kawe,na miradi yote mikubwa ya nhc.Wamalizie haya majumba nhc wanakwama wap
Hizo raw materials zikuje kwa wingi tuzifanyie value addition tusambaze EAC now that DRC is joining. 👏I hope you will never talk your shit again, you can't compete with giant Tanzania
![]()
Tanzania’s exports to Kenya set to exceed $200 million in 2021
Read the latest news across entertainment, sports, business and moreafrica.businessinsider.com
Hizo raw materials mnakula au mnazipa value addition then muuze EA? 😂😂😂.. wacha tuendelee kuwakamataHizo raw materials zikuje kwa wingi tuzifanyie value addition tusambaze EAC now that DRC is joining. 👏
View attachment 2066270
Hatukuli raw materials kama nyinyi walaji wa mihogo mbichi. Tumetambua soft life we prefer zikiwa crisps. 😂😂😂😂Hizo raw materials mnakula au mnazipa value addition then muuze EA? 😂😂😂.. wacha tuendelee kuwakamata
Which country are you going to sell in EAC, they all import from Tanzania including yourselvesHizo raw materials zikuje kwa wingi tuzifanyie value addition tusambaze EAC now that DRC is joining.
View attachment 2066270