GDP zisizo reflect underground hatuzihitaji sisi, hizo zinakua namba tu za kuandika kwenye karatasi, nimefanya research kuhusu hii miji miwili, niambie wewe ni kitu gani kinaifanya Chicago iwe na GDP kubwa kuliko Chengdu.? ikiwa Chicago inazidiwa karibu kila kitu underground 👇Why would anyone compare Chengdu to Chicago?🚮🚮
Chicago has the 9th highest city GDP in the world and all the cities ahead have way more population.
You have to check out your facts bro.. buildings with 150 metres in china are more than 2669 while US has about 843 buildings, na top Three list ya miji yenye majengo marefu yenye 150m+ in the world :-
1. Hong Kong- 517 buildings
2. Shenzhen- 340 buildings
3. New York- 298 buildings
NB: usisahau kwamba china Iko na 130 cities na pia China sio stagnant kama US...
Owky turudi kwa CHENGDU na CHICAGO, nimefanya research zangu na nikadundua CHENGDU inaiacha mbali sana Chicago kwenye maeneo yafuatayo
1. Subways (hapa ndio hata siwezi linganisha mana US ni vichekesho)
2. Airports (chengdu Old terminus handles about 55m passengers annually, and the new terminus, Chengdu Sichuan international airport is expected to handle more than 100m passengers annually while Chicago O'HARE international airport handles about 30m+ passengers annually)
3. High speed train (hapa napo ni hatari kwakweli, Chengdu beats Chicago hands down)
4. Roads infrastructures (chengdu wins)
5. quality of living (chengdu wins)
6. Innovation (chengdu wins)
7. Peace and security (chengdu wins)
8. Poverty eradication (chengdu wins)
9. Production (chengdu city has a lot of manufacturing companies including car manufacturing company (Volvo) which has annual sales revenue of about 40b+ 2020 report says while the biggest manufacturing company in Chicago (Sciaky, Inc) has about 249.9m sales revenue annually 1/1/2022 report says
10. Science and technology (chengdu wins)
Usisahau CHENGDU ni mji wa sita kwa maendeleo china while Chicago ni mji wa tatu kwa maendeleo China.. and that's why nasemaga US is nothing compared to China likija suala la maendeleo
Kwako wewe sasa unaona Chicago inaizidi chengdu kwenye maeneo yepi.? Uniaminishe mimi kwamba Chicago ni better than chengdu ..nipe facts bro nasubiri
Mbona unasahau kusema uchumi wa marekani unashikiliwa na watu wachache wakati China uchumi wao ni jumuishiHuwa mko wajinga sana,
Population.
Usitafute kesi mzeeNorthern Kenya has quality roads compared to Dar.
Yani hivi unapima utajiri wa Jiji kwa majengo marefu? Sasa tuseme Dar es Salaam ni Tajiri Kulikov Zurich? 🚮🚮GDP zisizo reflect underground hatuzihitaji sisi, hizo zinakua namba tu za kuandika kwenye karatasi, nimefanya research kuhusu hii miji miwili, niambie wewe ni kitu gani kinaifanya Chicago iwe na GDP kubwa kuliko Chengdu.? ikiwa Chicago inazidiwa karibu kila kitu underground 👇
Wacha kuwa mpumbavu, Chengdu imewekwa hapa na videos tumeziona, vitu nilivyoviona co tu maghorofa kuna miundombinu mingi ya ajabu ipo pale which means investment ya kutisha imefanyika ambapo Investment inakuwa calculated kwenye GDP, ss kazi kwako na ww uweke videos au picha za Chicago ili tuamini unachosema.Yani hivi unapima utajiri wa Jiji kwa majengo marefu? Sasa tuseme Dar es Salaam ni Tajiri Kulikov Zurich?![]()
Milestone bomba kabisa...iyo ni zaidi ya $1b hv inamake sense
Chicago babalao ila unaweza bisha tuGDP zisizo reflect underground hatuzihitaji sisi, hizo zinakua namba tu za kuandika kwenye karatasi, nimefanya research kuhusu hii miji miwili, niambie wewe ni kitu gani kinaifanya Chicago iwe na GDP kubwa kuliko Chengdu.? ikiwa Chicago inazidiwa karibu kila kitu underground![]()
Kumekauka kichiziTurkana - the poorest county in Kenya.
View attachment 2065421
View attachment 2065424
View attachment 2065426
View attachment 2065427
View attachment 2065428
View attachment 2065429
View attachment 2065431
Hii rodi ikipigwa mataa it itakua kama mbeleLeo nimeenda zangu Kibaha kiwandani kwa Mchina Kupiga misosi na kuangalia jinsi ya kupiga hela 2022. Nimegundua tunatengeneza BRT lanes kwa kutengenisha lane mbili za zamani za Morogoro road na hizi sita mpya.
View attachment 2065258
View attachment 2065257
View attachment 2065266
View attachment 2065268
Kuna lane kama zote
View attachment 2065259
View attachment 2065260
View attachment 2065261
View attachment 2065262
View attachment 2065263
View attachment 2065264
"Weka picha ya GDP" Me I'm just over these guysWacha kuwa mpumbavu, Chengdu imewekwa hapa na videos tumeziona, vitu nilivyoviona co tu maghorofa kuna miundombinu mingi ya ajabu ipo pale which means investment ya kutisha imefanyika ambapo Investment inakuwa calculated kwenye GDP, ss kazi kwako na ww uweke videos au picha za Chicago ili tuamini unachosema.
Alafu nilichogundua ni kwamba Wakenya wengi mmekuwa mazuzu kwa US kiasi kwamba mnawish hata mkaolewe US, mm mwenyewe naipenda US lkn kwa mambo niliyoyaona kwenye video nmeanza kuamini China iko mbali kimaendeleo kama co sambamba na US, kilichobaki ni upuuzi wa GDP kama mnaotuimbia humu kila siku.
Mzee tunachongelea hapa ni infrastructure za miji hii miwili ambapo Chicago imepigwa hands down na chengdu ofcoz utajiri wa Chicago unaweza ukawa juu ila kimaendeleo based on infrastructure na technology Chicago hatii guu mzee Acha kukaza kichwaChicago babalao ila unaweza bisha tuView attachment 2065527View attachment 2065529
Hapo kwenye vituo Ndio mtihani sijui itakuaje au itakua express mpaka kibahaleo nimeenda kula mwaka mpya mbez mwisho huko.. kumbe barabara yetu pendwa inaekewa brt katikat.. vituo lazima ziwepo pia baadae
View attachment 2065544
View attachment 2065545
View attachment 2065546
View attachment 2065547
View attachment 2065548
View attachment 2065549
View attachment 2065550
View attachment 2065551
View attachment 2065552
Sisi ndiyo wenye akili ukanda huu.leo nimeenda kula mwaka mpya mbez mwisho huko.. kumbe barabara yetu pendwa inaekewa brt katikat.. vituo lazima ziwepo pia baadae
View attachment 2065544
View attachment 2065545
View attachment 2065546
View attachment 2065547
View attachment 2065548
View attachment 2065549
View attachment 2065550
View attachment 2065551
View attachment 2065552
Wanaweza wakafanya ktk kila kituo waka dedicated lane moja kati ya hizo tatu za kila upande japo bado nashindwa kuelewa hapo itakuwaje.Hapo kwenye vituo Ndio mtihani sijui itakuaje au itakua express mpaka kibaha
Chengdu 👇Chicago babalao ila unaweza bisha tuView attachment 2065527View attachment 2065529