joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hahahaha, japo sina Elimu kubwa kukuzidi lakini sidhani Kama upo sahihi, wafanyakazi serikalini hawazidi laki Moja Tanzania, hata wakiongezewa kila mmoja Tshs 300000 kwa mwezi, hiyo inakua ni 3B kwa mwezi, kweli unataka kusema TSH 3B kwa mwezi ikiingizwa katika mzunguko wa uchumi wa Tanzania kwa mwezi inaweza kutumbisha uchumi wa Tanzania kiasi cha kusababishwa mfumuko wa Bei?Tumia akili kuongeza mishahara hakuna tofauti na kuchapa pesa mpya kwa ajili ya kuongeza mishahara kuna mahesabu makubwa hapo kinyume chake wafanyakazi mnadanganya kuwa mmeongezwa mishahara kumbe mmepunguziwa mishahara mfano mshahara ni sh1000 na kilo ya mchele sh1000 kisha ukaongezewa mshahara sh1200 na kilo ya mchele ukapandishiwa kutoka sh1000 hadi sh1700 sasa hapo umepata faida gani kwa kupandishiwa mshahara ? Kwa kuwa kiwango ulicho pandishiwa ni chini ya kilichopanda kwenye gharama ya maisha ,kwa kifupi hapo utakuwa umeshushiwa mshahara ila kwa kuwa wafanyakazi wa serikali ni MAZUZU WENGIWAO WATASHANGILIA


, Kwa siku Moja tu wachimbaji wadogo wadogo hapa Tanzania wanaingiza zaidi ya Tsh20B kila siku na bado hawasababishi mfumuko wa Bei, wewe unazungumzia 3B kwa mwezi.
Sababu kubwa ya mfumuko wa Bei ni upungufu wa bidhaa hasa chakula usioendana na mahitaji ya wananchi, ndio sababu mfumuko wa Bei hupungua kipindi cha mavuno na kupanda kipindi cha kilimo. Jaribu kufuatilia kwa makini mienendo ya mfumuko wa Bei hapa Africa



in Suzhou 