Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

There is no place la dar in EA

there is no success like dar success in EA generally.[emoji2][emoji108]
Gallery_1641045562843.jpg
Gallery_1641045521901.jpg
Gallery_1641045494180.jpg
 
Waafrika tunakosea sana kujifunza maendeleo kutoka Ulaya na Marekani. Afrika inatakiwa Ijufunze kutoka China na Asia ya Mbali...

China Wana Bwawa Kubwa sana Linaitwa Three Gorges Dam, China walipolikamilisha tu lile bwawa China wakaanza Kukuwa kiuchumi kwa Speed Kubwa sana.

Ila Sisi!! Imagine Tanzania tulipoanza kujenga Bwawa letu hadi Watanzania wenyewe wakawa wameweka Figisu lisifanyike..
Ndicho kitu alikuwa anafanya Magu, copy and paste from China na ndiyo maana ukaona yupo bize na miundombinu lkn wabinafsi hasa wafanyakazi wa serikalini wakawa wanapiga kelele eti Magu anazingua, hata humu jamii forums idadi kubwa ya waliokuwa wanampinga Magu ukiacha wapinzani uchwara basi ni civil servants, JPM alikuwa right kabisa na ofcz tukiendelea kuyapa kipaumbele aliyoyaanzisha tutafika mbali sn.
 
Sasa kosa lipo wapi?, Kuna athari gani kwa kuionyesha na faida gani kwa kuzificha?, wacheni kupenda kulialia
Hakuna barabara ya basi hapo, al shabaab waliteka hio basi wakuuwa watu, sasa jamaa anatumia hio picha kuprove barabara ama alshabaab?
 
Leo nimeenda zangu Kibaha kiwandani kwa Mchina Kupiga misosi na kuangalia jinsi ya kupiga hela 2022. Nimegundua tunatengeneza BRT lanes kwa kutengenisha lane mbili za zamani za Morogoro road na hizi sita mpya.

IMG_3680.jpg


IMG_3690.jpg


IMG_3709.jpg


IMG_3712.jpg




Kuna lane kama zote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


IMG_3697.jpg


IMG_3698.jpg

IMG_3699.jpg

IMG_3702.jpg

IMG_3701.jpg

IMG_3700.jpg
 
Leo nimeenda zangu Kibaha kiwandani kwa Mchina Kupiga misosi na kuangalia jinsi ya kupiga hela 2022. Nimegundua tunatengeneza BRT lanes kwa kutengenisha lane mbili za zamani za Morogoro road na hizi sita mpya.

View attachment 2065258

View attachment 2065257

View attachment 2065266

View attachment 2065268



Kuna lane kama zote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


View attachment 2065259

View attachment 2065260
View attachment 2065261
View attachment 2065262
View attachment 2065263
View attachment 2065264
Hapo katikati pakishakamilika hii road itapendeza sn.
 
Leo nimeenda zangu Kibaha kiwandani kwa Mchina Kupiga misosi na kuangalia jinsi ya kupiga hela 2022. Nimegundua tunatengeneza BRT lanes kwa kutengenisha lane mbili za zamani za Morogoro road na hizi sita mpya.

View attachment 2065258

View attachment 2065257

View attachment 2065266

View attachment 2065268



Kuna lane kama zote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


View attachment 2065259

View attachment 2065260
View attachment 2065261
View attachment 2065262
View attachment 2065263
View attachment 2065264
Mkuu hapo kiwandani ni KEDDS nini?

2022 tupeane michongo wakuu.. Tuinuane ili tuvimbe ndani humu hata tukitoa punch Kwa wakunya ziwe zenye afya! Moja chaliii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimeenda zangu Kibaha kiwandani kwa Mchina Kupiga misosi na kuangalia jinsi ya kupiga hela 2022. Nimegundua tunatengeneza BRT lanes kwa kutengenisha lane mbili za zamani za Morogoro road na hizi sita mpya.

View attachment 2065258

View attachment 2065257

View attachment 2065266

View attachment 2065268



Kuna lane kama zote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


View attachment 2065259

View attachment 2065260
View attachment 2065261
View attachment 2065262
View attachment 2065263
View attachment 2065264
Good work, harakisheni..., we ain't waiting for you.
 
This road has taken long, expressway imeifikia now they are being completed at the same time.., hii ni 3 years I guess... safi sana, all major road projects in the country zinaisha this 2022.., GDP will be on steroids going forward...,
But good is that unamalizia Expressway pale Rironi alafu unaingia kwa hii.

1641053044430.png
 
Chicago gdp vs Chengdu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nyie nyie....Chengdu bado sana kwa Chicago....anaebisha abishie uzoefu...hii chengdu inaweza chapwa hata na Dubai
Screenshot_20220101-192353_Google.jpg
Screenshot_20220101-192314_Google.jpg
 
Back
Top Bottom