Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivyo hata wazungu kusema hampo LDC tena kwa sababu GDP yenu iliongezeka kumbe ilikuwa tu propaganda pia?
GDP is a whiteman economic illusion from yester years GDP was used by whiteman Bretton Woods institutions to subjugate independent countries economically while forcing them to play to their tunes. You have to understand the transition from administrative colonisation to economic colonisation and tools employed to achieve this transition.
 
Ila mzungu mtu mbaya sana yani NK eti iko na GDP ndogo kuliko Kenya View attachment 2064222View attachment 2064223View attachment 2064224View attachment 2064226View attachment 2064227View attachment 2064228View attachment 2064229View attachment 2064230View attachment 2064231View attachment 2064232we all East Africans dreaming of havig this level of development .. mzungu bhana ..GDP ni propaganda tu
GDP was a whiteman stick to rude boys all socialist and communist countries were labeled in bias including Tanzania in 80s.
 
Itabidi tuwaulize watuambie maendeleo ni nini...? na sisi tupo hapa kufanya nini.? Mana 24/7 ni kupost barabara, reli, majengo mazuri ya kupendeza n.k.. sasa ikiwa hivi vyote sio maendeleo tunafanya nini hapa.?
Alafu mtu anakwambia hayo co maendeleo, ss kama hayo co maendeleo tunafanya nn hapa kwenye huu uzi, mana 24/7 tunapost mambo yanayofanana na hayo tuki claim kwamba tunaendelea.
Jamani kama ninyi hamjawaelewa shauri yenu, mimi tayari nimemuelewa sababu kinyume cha hayo yote tuliopost kuhusu North Korea ambayo amesema sio maendeleo ni hivi vitu

Kwa hiyo tukubaliane kuanzia leo haya nayo yajumuishwe kwenye indicators za maendeleo na tuachane na decent housings, skyscrapers, barabara nzuri, umeme, surveyed areas, maji ya uhakika, subways za trains, technologies and everything,

Turudi huku kwenye maendeleo maalum! 🚮🚮🚮🚮🚮

images - 2022-01-01T070556.968.jpeg
images - 2022-01-01T070615.838.jpeg
kibera-slums-nairobi-kenya-east-africa-KNY6MY.jpg
images - 2022-01-01T070701.985.jpeg
images - 2022-01-01T070730.659.jpeg
 
Hahahaha, hahaha, hahahaha
Tanzania ndio dume la mbegu ukanda huu, tunawapanda kichwani wote, mnatumia bidhaa za Tanzania kuanzia "Bongo Flavor", Chakula, Cement, Juices and Energy drinks, karatasi, mbao, nguzo za umeme, transforma za umeme, mafuta ya kupikia, Ceramics, Konyagi, Wines, .........
That's data for half a year, not full year.....and it's for the first time in decades. Shida hamjui kusoma. For the whole year, Kenya had an edge. Check the statistics.
 
That's data for half a year, not full year.....and it's for the first time in decades. Shida hamjui kusoma. For the whole year, Kenya had an edge. Check the statistics.
Hahahaha, huwa tunafanya Mambo yetu kimyakimya tukiibuka ndio Kama hivi Sasa, masoko ya nchi zote tumeyakamata.

Soma "articles" za David Ndii kuhusu uchumi wa Tanzania na Kenya ambazo aliziandika takriban miaka 6 nyuma, alifafanua na kusema kwamba, Tanzania inajenga uchumi wake juu ya misingi imara iliyowekwa na Nyerere ambayo ni;
1)Umoja
2)Amani
3)Uzalendo
4)Utu

Nyerere hakukimbilia kujenga uchumi kwanza, yeye aliamini kwamba bila kuwepo kwa hayo Mambo manne, hakutokua na uchumi endelevu, aliamini kwamba uchumi wa Kenya umejengwa juu ya misingi dhahifu Sana, Kenya hakuna Umoja, Amani, Uzalendo Wala UTU.

Ndii alisema kwamba, baada ya Tanzania kufanikiwa kujenga misingi imara ya nchi Yao, Sasa wamegeukia kujenga uchumi imara, hivyo Tanzania itatawala ukanda huu, Kenya kila baada ya miaka 5 uchumi unarudi nyuma kutokana na fujo za uchaguzi.

Tanzania tumerudi katika kiti chetu cha kuwa Taifa lenye kuzalisha kwa wingi bidhaa na kuweza kuwa "The biggest Exporter to all it's neghbors", sio kwa kubahatisha
 
Kwahiyo huo mji wa China unaifananisha na mji upi Africa hii? Hivi Kwanini watu hamna hata mshipa wa aibu?

Kwenye uelewa mpana wa mambo tutasitiriana ila hata kilaza wa mwisho huwa na aibu ndio maana haendi uchi
Uwe unafikiria kwanza kabla hujaandika maneno mengi
 
Hahahaha, huwa tunafanya Mambo yetu kimyakimya tukiibuka ndio Kama hivi Sasa, masoko ya nchi zote tumeyakamata.

Soma "articles" za David Ndii kuhusu uchumi wa Tanzania na Kenya ambazo aliziandika takriban miaka 6 nyuma, alifafanua na kusema kwamba, Tanzania inajenga uchumi wake juu ya misingi imara iliyowekwa na Nyerere ambayo ni;
1)Umoja
2)Amani
3)Uzalendo
4)Utu

Nyerere hakukimbilia kujenga uchumi kwanza, yeye aliamini kwamba bila kuwepo kwa hayo Mambo manne, hakutokua na uchumi endelevu, aliamini kwamba uchumi wa Kenya umejengwa juu ya misingi dhahifu Sana, Kenya hakuna Umoja, Amani, Uzalendo Wala UTU.

Ndii alisema kwamba, baada ya Tanzania kufanikiwa kujenga misingi imara ya nchi Yao, Sasa wamegeukia kujenga uchumi imara, hivyo Tanzania itatawala ukanda huu, Kenya kila baada ya miaka 5 uchumi unarudi nyuma kutokana na fujo za uchaguzi.

Tanzania tumerudi katika kiti chetu cha kuwa Taifa lenye kuzalisha kwa wingi bidhaa na kuweza kuwa "The biggest Exporter to all it's neghbors", sio kwa kubahatisha
Hizi data huwa zinabadilika kila mwaka, wacha tuone mwaka huu mambo yatakuwa vipi. Isitoshe data hio ni ya miezi sita tu, usishangae ikiwa ikija kwenye mwaka mzima wa 2021 pengine tumewapiku.
 
Btw mwaka huu ndio tunamalizana na sgr lot 1 n 2...train za umeme...miez 12 haiwez kuisha kinyonge....Pia tutaupata vyema dira ya mh SSH katika budget ijayo ya 2022-2023...mambo ya salary increments ajira mpya nk
 
Back
Top Bottom