Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Labda nikufafanulie in simple terms ndio uweze kuelewa kuna mtu ana Ksh 1000 kwa hela hiyo anaweza kupata ugali na sukuma wiki tuu kwenye nchi yake na mwingine ana Ksh 500 anaweza kupata ugali nyama mbogamboga na beer 2 kwenye nchi yake. Sasa niambie kati ya hao wawili ni nani ambaye kidogo ni well off? Ukijua hilo sasa tutaendelea na somo lingine la purchasing power.
Tunaongelea story za propaganda ya wazungu jinsi alivyosema mwenzako. Wacha kubadilisha mada na hizi povu zako
 
Mimi naongelea reli iliyojengwa Tanzania Kwa Sasa, Sio reli iliyo mipangoni.
Kwahiyo hii hapa haikujengwa ama unamaanisha nini?
Screenshot_20211231-185958.jpg
 
moroco ni upper middle income umeona tofaut hapo 😂😂😂😂 najua umevamia mada bila kusoma vzr
Bongolala, mataifa yote ambayo yameorodheshwa kwenye hiyo list ni lower middle-income countries, Kenya na Morocco zikiwemo. Ama hujaona mahali pameandikwa LOWER MIDDLE INCOME kabla ya hiyo list?
 
Tunaongelea story za propaganda ya wazungu jinsi alivyosema mwenzako. Wacha kubadilisha mada na hizi povu zako
Kama bado hapo hujaelewa kuwa GDP ni propaganda za wazungu basi pole yako. People dont eat GDP my friend
 
You are a Tanzanian, and you can't dictate for us which country to do business with and at what time. Ama kuna kitu inakudanganya kwamba Tanzania ndio nchi pekee inayozalisha mahindi duniani?

Just because you are jealous about Kenya doesn't mean we have to do the same with you. Kenyans are the most hospitable people in this region. We host hundreds of thousands of Somali refugees. Sasa hawa ombaomba wenu scattered across our streets mbona tuwafukuze? Hatuna hiyo roho mbaya Kama yenu. Tungeshaanza na wale wachaga wa Gikomba kitambo sana lakini sisi si Kama nyinyi
Hahahaha, "Kenyans are most hospitable people?"
 
Kama bado hapo hujaelewa kuwa GDP ni propaganda za wazungu basi pole yako. People dont eat GDP my friend
Kwa hivyo hata wazungu kusema hampo LDC tena kwa sababu GDP yenu iliongezeka kumbe ilikuwa tu propaganda pia?
 
Lamu port inachapa hizi fishing ports zenu zote😁😁🤭
aibu nimeona mim dah hadi huruma.. eti anaorodhesha bypass.. bypass si equivalent to bridges.. tukiamua kuorodhesha bridges zinajengwa Tanzania si mtakimbia.. kuna wami bridge, kibiti bridge, sibiti bridge.. yan kuna bridges kibao zinajengwa afu hata haturingi nazo.. kwenye barabara ndo msiseme

-kwenye port expansion, ports zetu zote ziko under construction, kuna mtwara port, Dar port, Tanga port, kalema port, hapo bado sijaorodhesha meli tunazojenga..
-kwenye housings projects, kuna nyumba nyingi sana zinajengwa Dodoma na sehem nyingine kama picha za humu zinavyojieleza
 
where is BRT show us 🤣🤣🤣🤣 au ndio ile mulipaka rangi thika??? na kile kituo kimoja hakina kichwa wala mguu ndio munaita BRT

where is 3level in mombasa au ndio ule ushuzi kama wa pangani ndio munaita three level😂😂😂😂

where is dongo kundu 1.4km bridge tuoneshe tucheke plz 🤣🤣🤣🤣🤣
Huu wazimu wako hatutawezana
 
Back
Top Bottom