Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Kwa lugha unayotumia tu ni wazi kuwa Wewe ni shabiki usiye na uelewa wowote kuhusu jambo tunalozungumzia. Maendeleo ya nchi si GDP na si maghorofa. Kuna nchi kama Seychelles ambazo GDP yao ni ndogo ukifanya comparison na nchi kama Tanzania, lakini tazama HDI (Human Development Index) ya watu wa Seychelles na tazama ya Tanzania Ndio utatambua kuwa statement yangu ni thabiti.Mzee unaleta mbamba kibao, huyo mwamba sio mmarekani wala sio mchina, na ameishi kote US&China na hapo amefanya comparison kati ya one among poorest provinces of China vs YC, yeye amefanya upande wake kukuonyesha tu wewe halaf upime mwenyewe, je ni kweli west wapo vizur kuliko china.? Na wala hajasema chochote kutoa conclusion, ..
Unapiga kelele eti umeishi west na China 😂😂😂 while hujui chochote, unazungumzia sijui kwenye majiji ndio pako vizur maeneo mengine pako hovyo alafu unasahau kwamba China iko na majiji 100 vs 10 cities of US 😂😂😂, sasa nani atakua vizur zaidi ya mwengine hata kwa maeneo ya mjini tu.? Watu dizaini yako tunaita mbumbumbu .. mzee US is nothing compared to China, lakini WB wanatuambia US wako vizur.. NB: wachana na western propaganda mzee
Maisha ya wamarekani in general ni bora zaidi ya maisha ya watu wa China. Marekani inanikera kwenye healthcare lakini kwenye mambo mengi tu, ipo mbele ya China. Wewe unaleta video za kuonyesha quality ya stesheni za metro railways sijui, haya Ndio mambo unayodhani yana-constitute maendeleo pekee. I’m pretty sure zipo sehemu China zina hali mbaya pia, lakini kwanini huzionyeshi? Kwasababu your mind is already fixed on whatever you think is right(which is actually wrong).
Nafahamu kuwa kuisifu China ni kama rite of passage Kwa watanzania wengi, especially kwasababu ya historia ya mahusiano ya hizi nchi mbili. Lakini ukweli ni ukweli tu. China bado ina safari ndefu kuimarisha ubora wa maisha ya watu wake. Na ninafurahi kuona maendeleo ya nchi kama China kwasababu ni role model Kwa nchi zinazoendelea. Ila pale ninapoona kasoro, lazima niitaje.


dah hadi huruma.. eti anaorodhesha bypass.. bypass si equivalent to bridges.. tukiamua kuorodhesha bridges zinajengwa Tanzania si mtakimbia.. kuna wami bridge, kibiti bridge, sibiti bridge.. yan kuna bridges kibao zinajengwa afu hata haturingi nazo.. kwenye barabara ndo msiseme