Mtu anakwambia Dar - Morogoro ni 500km. Yani 189km imekuwa 500km. Tangu lini Bongolala ikajenga 500km of SGR?![]()
Makenya ni majitukabeja, kuna formula tuliikariri kule primary inaitwa JITUKABEJA nadhani kwa wanaoijua wananielewa, sasa hilo jina ukiondoa maana yake ndiyo huwa tunawaita majitu flani flani hivii alafu tunacheka sanaNimecheka Sana![]()










I thought all arable land in Kenya is under white man's tea and flowers like your bongolala brothers always claim.
mbona hamujanunua tena mexico simuliletewa mahindi yame expire leo hii mumesahau 😂😂 tanzania haikwepeki wacha nikuweke wazi na sasa kma ulikua huna taarifa export kutoka tanzani kwenda kenya ni kubwa kuliko kenya kuja tanzaniaTanzania doesn't feed Kenya you dickhead! Tunanunua mahindi Kutoka kwenu, hamtupatii bure. We can choose to buy from any country in the world but we choose to buy from you because you are our neighbours (as much as you are stupid and jealous). Tumewahi nunua mahindi from as far as Mexico wewe kilaza. Umewahisikia Mexicans wakisema wanatulisha?
Hebu taja hizo miradi kubwa na ya kisasa ambazo mmejenga na watu wengine hawana.
Mnategemea kutuuzia umeme? 😂 😂 Bongolala, Kenya is already producing enough electricity to cater for her own electricity needs, hadi tukabakisha surplus. And just to remind you in case you forgot, tunazalisha na kutumia umeme nyingi kuwaliko.
Again, hebu taja hizo infrastructure ziko Tanganyika that we only dream to have. Ama ziko tu akilini?
Wananchi wenu hawangekuwa wanakufa njaa hamngevamia mitaa na barabara za miji zetu na bakuli mikononi kama nzige
That's what happens when you argue with someone who uses emotions instead of his/her mind. They end up messing up big time just like that idiot did. People who don't even take two seconds of their time to counter-check what they are talking about.Mtu anakwambia Dar - Morogoro ni 500km. Yani 189km imekuwa 500km. Tangu lini Bongolala ikajenga 500km of SGR?🤣🤣
You are a Tanzanian, and you can't dictate for us which country to do business with and at what time. Ama kuna kitu inakudanganya kwamba Tanzania ndio nchi pekee inayozalisha mahindi duniani?mbona hamujanunua tena mexico simuliletewa mahindi yame expire leo hii mumesahau 😂😂 tanzania haikwepeki wacha nikuweke wazi na sasa kma ulikua huna taarifa export kutoka tanzani kwenda kenya ni kubwa kuliko kenya kuja tanzania
hvi unaafkiri wangekua ni watanzani kweli musingewarudisha kwao kwa roho zenu nyinyi?? au munawafurahisha wazungu kwa kutumia kigezo ni watanzania kumbe wakeny wenzenu 😅😅😅
umesahau magufuli aliwarudisha waalimu wengi sana kutoka kenya waliokua wamejaa tanzania mbona nyinyi hamukuwarudisha tukaamini ni watanzania
Hi I wewe unatumianga akili ama haga? Hivi hujui Nigeria imeishinda SA kwa population mara nne?![]()



1. Tanzania inailisha Kenya na usijaribu kujiliwaza kwamba tunawauzia only mahindi, tunawalisha unga, wali, vitunguu, nyanya, na vyakula vingine vingi, pia finished goods tumejaza mashelf yenu kwa ss na ndiyo maana cc tuna export zaidi kwenu kuliko nyie mnavyo export kwetu.Tanzania doesn't feed Kenya you dickhead! Tunanunua mahindi Kutoka kwenu, hamtupatii bure. We can choose to buy from any country in the world but we choose to buy from you because you are our neighbours (as much as you are stupid and jealous). Tumewahi nunua mahindi from as far as Mexico wewe kilaza. Umewahisikia Mexicans wakisema wanatulisha?
Hebu taja hizo miradi kubwa na ya kisasa ambazo mmejenga na watu wengine hawana.
Mnategemea kutuuzia umeme?![]()
Bongolala, Kenya is already producing enough electricity to cater for her own electricity needs, hadi tukabakisha surplus. And just to remind you in case you forgot, tunazalisha na kutumia umeme nyingi kuwaliko.
Again, hebu taja hizo infrastructure ziko Tanganyika that we only dream to have. Ama ziko tu akilini?
Wananchi wenu hawangekuwa wanakufa njaa hamngevamia mitaa na barabara za miji zetu na bakuli mikononi kama nzige






tanzani hamuwezi kuikwepa kwasababu munapata kununua vitu vinavolingana na umaskini wenu 😆😆😆You are a Tanzanian, and you can't dictate for us which country to do business with and at what time. Ama kuna kitu inakudanganya kwamba Tanzania ndio nchi pekee inayozalisha mahindi duniani?
Just because you are jealous about Kenya doesn't mean we have to do the same with you. Kenyans are the most hospitable people in this region. We host hundreds of thousands of Somali refugees. Sasa hawa ombaomba wenu scattered across our streets mbona tuwafukuze? Hatuna hiyo roho mbaya Kama yenu. Tungeshaanza na wale wachaga wa Gikomba kitambo sana lakini sisi si Kama nyinyi
He knew what kind of people he was dealing with. Alijua jinsi ya kucheza na akili yenu and he succeeded big timeKwahiyo aliposema mwanaye wa kumzaa amepata covid alikuwa anamaanisha nini? Mbn wewe huwa huna akili ya kuelewa mtu anamaanisha nini?
Nchi ya tatu kwa ufukara lakini inajenga miundombinu kwa pesa za ndaniKwamba nchi ya tatu kwa ufukara lkn inawalisha.
Nchi ya tatu kwa ufukara lkn inajenga miundombinu ya gharama kubwa na ya kisasa kuliko nchi yoyote East and Central Africa.
Nchi ya tatu kwa ufukara lkn inategemea kuwawashia taa kwa kuwauzia umeme kwa zaidi ya asilimia 80%.
Nchi ya tatu kwa ufukara lkn ina infrastructures ambazo hamjawahi kuota kuwa nazo.
Nchi ya tatu kwa ufukara lkn wananchi wake hawafi kwa njaa![]()


nadhani jibu la nani ni fukara limeshapatikana bila hata kuangalia GDP 



Huyo mwehu kaingia Google map ka-search Dar-Moro kwa barabara, anajua na reli inapita humo.Reli inajengwa kutoka dar hadi Mwanza,nikusahihishe kutoka dar hadi Makutopora ya Singida ni 742km kwa njia ya reli...njia kuu hazipungui 500km,pia mkandarasi ameanza ujenzi wa njia ya reli kutoka Mwanza kwenda Isaka zaidi ya 300km...Tatizo mnatuchukulia Poa sana...kuna mambo tunayafanya ninyi mmeyashindwa !!....Na juzi TRC wamesign tena mradi kujenga zaidi ya 300km zingine kuunganisha makutopota na Tabora....Line nzima hadi mwanza ni 1200km hadi mda huu kimebaki kipande kidogo cha kutoka Tabora kwenda Isaka cha chini ya 200km.








Ukizoom kuna nini zaidi ya vichuguu vichache ambavyo vinaonekana kwa taabu.@Thebest007. am only realizing rightnw that the city skyline is cutting across board, across the whole entire horizon of this pic. just zoom it and see for yourself View attachment 2063492
Kwahyo kati ya tz na ke ni nani ameendelea zaidi?hapo wewe ndio umekurupuka kwanza,
South africa imeendelea zaidi kwasababu kwa pop yake gdp per capita inasoma $6000 while nigeria ni $2000 , lakini vipi ya tz inasoma ngap nikumbushe vs ke
Zingatia GDP vs pop kwanza,morocco ni ulimwengu wa tatu kama kenya usipotoshe