1. Tanzania inailisha Kenya na usijaribu kujiliwaza kwamba tunawauzia only mahindi, tunawalisha unga, wali, vitunguu, nyanya, na vyakula vingine vingi, pia finished goods tumejaza mashelf yenu kwa ss na ndiyo maana cc tuna export zaidi kwenu kuliko nyie mnavyo export kwetu.
2. Kuhusu miradi ambayo tunafanya usiseme nitaje miradi tunayofanya ambayo wengine hawana, sema nikutajie miradi tunayofanya ambayo nyinyi hamna.
3. Kuhusu kuzalisha umeme mwingi na surplus nadhani umesahau kwamba wewe ndiye uliyesema humu kwamba mojawapo ya sababu ya Kenya kutojenga electrified SGR ni kutokuwa na umeme wa kutosha, na kuhusu kuwauzia umeme hilo ni lazima tutawauzia utake usitake, hata ulie hautabadili hilo kutokea cz even ur president anasubiri umeme kutoka Tz kwa hamu kubwa.
4. Kuhusu infrastructures ambazo tunajenga nyinyi hamna nitakaa kmy mpk pale utanionesha electrified SGR, cable stayed bridges, modern Airpots, modern bus terminals, BRT system, au 3level interchange.
5. Eti omba omba kutoka Tz wamekuja Kenya, huyo ombaomba atoke Tz akate passport, alipie visa, na aweze ku survive nchi jirani sasa huyo utamwita omba omba au mtalii, yn Wakenya mlivyo na roho mbaya mruhusu omba omba atoke Tz aje kuchafua mazingira huko kwenu hayo yatakuwa maajabu ya Musa




