The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
If wishes were horsesDar - Moro has been under construction for ages now and there's no sign of it being completed soon![]()
![]()







Ungependa iwe hivyo lkn ndio haiwezi kuwa hivyo, so pole kwa maumivu




If wishes were horsesDar - Moro has been under construction for ages now and there's no sign of it being completed soon![]()
![]()











Kwahyo kinachoonekana hapo chini ni SGR au.?the apple doesn't fall far from the tree View attachment 2063789
Kama walivyowapaisha waliposema mmehitimu Kutoka lile tope la LDC na kuingia middle-income na mkapiga sherehe bab kubwa, sivyo? 😂GDP ni propaganda za mzungu tu mzee.. hakuna taifa la linawezana na North Korea kwenye suala lolote lile.. mzungu ukifuata matakwa yao wanakupaisha kwa sifa hata msizozistahili
ngoja 2022.. tu na venye curfew hakuna tena walai.... mtajua sisi ni nani.! kenya ni ile ile. itabidi mme tii. usione simba kanyeshewa ukadhani paka, mwehu hiiHii ya 2020, ya 2021 Kenya wana import zaidi kutoka kwetu kuliko cc tunacho import kutoka kwao.
I do agree that using GDP to determine a country’s development has its shortcomings, but North Korea is definitely very poor, hata China. Ukiwa China especially kwenye Miji mikubwa lazima utafikiri kuwa umasikini hakuna, but ingia ndani ya nchi utashuhudia. In North Korea things are quite different. Ukitembelea North Korea kama tourist unapata mlinzi wa kukuongoza na hoteli specific Kwa ajili ya watalii(huruhusiwi kutoka nje ya hoteli). Ikimaanisha kuwa nchi haitaki ufahamu hali halisi inayoendelea!GDP ni propaganda za mzungu tu mzee.. hakuna taifa la linawezana na North Korea kwenye suala lolote lile.. mzungu ukifuata matakwa yao wanakupaisha kwa sifa hata msizozistahili
Kuna vitu haviihitaji hata elimu ya chekechea kuvitambua, nashangaa wewe jamaa uelewa wako, mada iliyopo mezani ni kwamba NK iko na GDP ndogo kuliko hata kenya,swali ni je Kenya iko na maendeleo kuliko North Korea.? ..Kama walivyowapaisha waliposema mmehitimu Kutoka lile tope la LDC na kuingia middle-income na mkapiga sherehe bab kubwa, sivyo? 😂
Wewe unaona nini? Ama ni mara yako ya kwanza kuona hii picha ikisambazwa hapa ndani? Uliza wenzako wakuahadithie kilichotokea hiyo sikuKwahyo kinachoonekana hapo chini ni SGR au.?
Why are you avoiding this important question: GDP ni propaganda ya mzungu ikija tu kwa mataifa mengine, lakini the same mzungu akisema dgp ya Tanzania imegrow hapo ndio propaganda inapoishia? 😂Kuna vitu haviihitaji hata elimu ya chekechea kuvitambua, nashangaa wewe jamaa uelewa wako, mada iliyopo mezani ni kwamba NK iko na GDP ndogo kuliko hata kenya,swali ni je Kenya iko na maendeleo kuliko North Korea.? ..
hakutaja miradi yote. eg. haku include changamwe project, level6 hosp for disciplinary forces. kisumu port expansion.Mzee hiyo miradi aliyotaja mwenzako ni robo ya miradi yote tunafanya tz kaka.. currently iko miradi zaidi ya 100 U/C
Even most road projects are not included.hakutaja miradi yote. eg. haku include changamwe project, level6 hosp for disciplinary forces. kisumu port expansion.
yani miradi ni mengi tu, ata hauwezi maliza kuvitaja. nipe mmda kiasi nizikusanye zote
We jamaa nna mashaka na uelewa wako, hivi unafkiri NK ndani ndani kutakua na maskini wa ajabu kama ambavyo utakavyokutana maskini wa kenya wa ndani ndani.? Ikiwa mjini (katikati ya majiji) ni kubovu hivi ndio uko vijijini kutakua kuzuri.? Unaitaja China na kuwa hovyo 😂😂😂 umeshawahi kujaribu kufanya research yoyote kuhusu China au unaropoka tu.? Inaonekana Unafuatilia sana propaganda za Western media we jamaa, owky fuatilia huyu jama akuonyeshe real China 👇. US is nothing compared to ChinaI do agree that using GDP to determine a country’s development has its shortcomings, but North Korea is definitely very poor, hata China. Ukiwa China especially kwenye Miji mikubwa lazima utafikiri kuwa umasikini hakuna, but ingia ndani ya nchi utashuhudia. In North Korea things are quite different. Ukitembelea North Korea kama tourist unapata mlinzi wa kukuongoza na hoteli specific Kwa ajili ya watalii(huruhusiwi kutoka nje ya hoteli). Ikimaanisha kuwa nchi haitaki ufahamu hali halisi inayoendelea!
Naona watu wanapost maghorofa ya Pyongyang, which are actually just a disguise, hiding the real situation. Maghorofa sio indication ya development! Dubai has mega tall buildings lakini angalia maisha ya wananchi wa kawaida, especially immigrant workers Ndio utaona kuwa magorofa hayo yote ni maigizo tu. Only the wealthy live a prosperous life, Ila watu wa kawaida wanateseka.
Hypocrisy.Why are you avoiding this important question: GDP ni propaganda ya mzungu ikija tu kwa mataifa mengine, lakini the same mzungu akisema dgp ya Tanzania imegrow hapo ndio propaganda inapoishia? 😂
hakutaja miradi yote. eg. haku include changamwe project, level6 hosp for disciplinary forces. kisumu port expansion.
yani miradi ni mengi tu, ata hauwezi maliza kuvitaja. nipe mmda kiasi nizikusanye zote
Tz iko na miradi mingi mno usije jaribu kushindana na Tz kwenye suala la Mirada kwasasaEven most road projects are not included.
Usijaribu kutoka nje ya mada, WB inaitaja Kenya kuwa na GDP kubwa kuliko NK .. je ni kweli Kenya iko na maendeleo kuliko NK.?Why are you avoiding this important question: GDP ni propaganda ya mzungu ikija tu kwa mataifa mengine, lakini the same mzungu akisema dgp ya Tanzania imegrow hapo ndio propaganda inapoishia? 😂
We jamaa nna mashaka na uelewa wako, hivi unafkiri NK ndani ndani kutakua na maskini wa ajabu kama ambavyo utakavyokutana maskini wa kenya wa ndani ndani.? Ikiwa mjini (katikati ya majiji) ni kubovu hivi ndio uko vijijini kutakua kuzuri.? Unaitaja China na kuwa hovyo 😂😂😂 umeshawahi kujaribu kufanya research yoyote kuhusu China au unaropoka tu.? Inaonekana Unafuatilia sana propaganda za Western media we jamaa, owky fuatilia huyu jama akuonyeshe real China 👇. US is nothing compared to China
Usijaribu kunikimbia kijana, nataka unipe majibu.. hapo chini 👇 hiyo treni ya mkandarasi inaonekana imeanguka kutokea SGR.? Wewe unaona nini? Ama ni mara yako ya kwanza kuona hii picha ikisambazwa hapa ndani? Uliza wenzako wakuahadithie kilichotokea hiyo siku
Kuna daraja la jangwani nimelisikia mahali linaanza muda wowote zaidi ya billion 100pia kuna Stands/Terminal za mabus (mkumbuke hizi zinachochea uchumi na kuboresha muonekano wa jiji/halmashaur)
Mzee unaleta mbamba kibao, huyo mwamba sio mmarekani wala sio mchina, na ameishi kote US&China na hapo amefanya comparison kati ya one among poorest provinces of China vs YC, yeye amefanya upande wake kukuonyesha tu wewe halaf upime mwenyewe, je ni kweli west wapo vizur kuliko china.? Na wala hajasema chochote kutoa conclusion, ..Unapoeleweshwa na facts, usilete video za personal opinions. Narudia tena, North Korea is very poor. China is also poor. Kwani kuwa na majengo mazuri ni gharama sana? China inajenga miji yenye skyscrapers ambayo haina hata tenants! Ni ghost towns tu! Sidhani kama watu wanaweza hata kuafford rent ya majengo hayo.
Mimi si shabiki wa western media, but I did grow up in the west and I know the west better than you do AND I have been to China. And I have Chinese friends. Kwa hiyo maneno yangu ni substantive. Wewe unaangalia uhalisia kupitia YouTube vlogs! Notice the difference between us!
Tanzania has trade surplus of $1.09b with SADC
Also, a trade surplus of $484.5M with EAC in 2020
na hapo mtu anashangaa Tanzania kuwa na na millionaires wengi kuliko Kenya
