Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

GDP ni propaganda za mzungu tu mzee.. hakuna taifa la linawezana na North Korea kwenye suala lolote lile.. mzungu ukifuata matakwa yao wanakupaisha kwa sifa hata msizozistahili
Kama walivyowapaisha waliposema mmehitimu Kutoka lile tope la LDC na kuingia middle-income na mkapiga sherehe bab kubwa, sivyo? 😂
 
Hii ya 2020, ya 2021 Kenya wana import zaidi kutoka kwetu kuliko cc tunacho import kutoka kwao.
ngoja 2022.. tu na venye curfew hakuna tena walai.... mtajua sisi ni nani.! kenya ni ile ile. itabidi mme tii. usione simba kanyeshewa ukadhani paka, mwehu hii
 
GDP ni propaganda za mzungu tu mzee.. hakuna taifa la linawezana na North Korea kwenye suala lolote lile.. mzungu ukifuata matakwa yao wanakupaisha kwa sifa hata msizozistahili
I do agree that using GDP to determine a country’s development has its shortcomings, but North Korea is definitely very poor, hata China. Ukiwa China especially kwenye Miji mikubwa lazima utafikiri kuwa umasikini hakuna, but ingia ndani ya nchi utashuhudia. In North Korea things are quite different. Ukitembelea North Korea kama tourist unapata mlinzi wa kukuongoza na hoteli specific Kwa ajili ya watalii(huruhusiwi kutoka nje ya hoteli). Ikimaanisha kuwa nchi haitaki ufahamu hali halisi inayoendelea!

Naona watu wanapost maghorofa ya Pyongyang, which are actually just a disguise, hiding the real situation. Maghorofa sio indication ya development! Dubai has mega tall buildings lakini angalia maisha ya wananchi wa kawaida, especially immigrant workers Ndio utaona kuwa magorofa hayo yote ni maigizo tu. Only the wealthy live a prosperous life, Ila watu wa kawaida wanateseka.
 
Kama walivyowapaisha waliposema mmehitimu Kutoka lile tope la LDC na kuingia middle-income na mkapiga sherehe bab kubwa, sivyo? 😂
Kuna vitu haviihitaji hata elimu ya chekechea kuvitambua, nashangaa wewe jamaa uelewa wako, mada iliyopo mezani ni kwamba NK iko na GDP ndogo kuliko hata kenya,swali ni je Kenya iko na maendeleo kuliko North Korea.? ..
 
Kuna vitu haviihitaji hata elimu ya chekechea kuvitambua, nashangaa wewe jamaa uelewa wako, mada iliyopo mezani ni kwamba NK iko na GDP ndogo kuliko hata kenya,swali ni je Kenya iko na maendeleo kuliko North Korea.? ..
Why are you avoiding this important question: GDP ni propaganda ya mzungu ikija tu kwa mataifa mengine, lakini the same mzungu akisema dgp ya Tanzania imegrow hapo ndio propaganda inapoishia? 😂
 
Mzee hiyo miradi aliyotaja mwenzako ni robo ya miradi yote tunafanya tz kaka.. currently iko miradi zaidi ya 100 U/C
hakutaja miradi yote. eg. haku include changamwe project, level6 hosp for disciplinary forces. kisumu port expansion.
yani miradi ni mengi tu, ata hauwezi maliza kuvitaja. nipe mmda kiasi nizikusanye zote
 
hakutaja miradi yote. eg. haku include changamwe project, level6 hosp for disciplinary forces. kisumu port expansion.
yani miradi ni mengi tu, ata hauwezi maliza kuvitaja. nipe mmda kiasi nizikusanye zote
Even most road projects are not included.
 
I do agree that using GDP to determine a country’s development has its shortcomings, but North Korea is definitely very poor, hata China. Ukiwa China especially kwenye Miji mikubwa lazima utafikiri kuwa umasikini hakuna, but ingia ndani ya nchi utashuhudia. In North Korea things are quite different. Ukitembelea North Korea kama tourist unapata mlinzi wa kukuongoza na hoteli specific Kwa ajili ya watalii(huruhusiwi kutoka nje ya hoteli). Ikimaanisha kuwa nchi haitaki ufahamu hali halisi inayoendelea!

Naona watu wanapost maghorofa ya Pyongyang, which are actually just a disguise, hiding the real situation. Maghorofa sio indication ya development! Dubai has mega tall buildings lakini angalia maisha ya wananchi wa kawaida, especially immigrant workers Ndio utaona kuwa magorofa hayo yote ni maigizo tu. Only the wealthy live a prosperous life, Ila watu wa kawaida wanateseka.
We jamaa nna mashaka na uelewa wako, hivi unafkiri NK ndani ndani kutakua na maskini wa ajabu kama ambavyo utakavyokutana maskini wa kenya wa ndani ndani.? Ikiwa mjini (katikati ya majiji) ni kubovu hivi ndio uko vijijini kutakua kuzuri.? Unaitaja China na kuwa hovyo 😂😂😂 umeshawahi kujaribu kufanya research yoyote kuhusu China au unaropoka tu.? Inaonekana Unafuatilia sana propaganda za Western media we jamaa, owky fuatilia huyu jama akuonyeshe real China 👇. US is nothing compared to China
 
Why are you avoiding this important question: GDP ni propaganda ya mzungu ikija tu kwa mataifa mengine, lakini the same mzungu akisema dgp ya Tanzania imegrow hapo ndio propaganda inapoishia? 😂
Hypocrisy.
 
hakutaja miradi yote. eg. haku include changamwe project, level6 hosp for disciplinary forces. kisumu port expansion.
yani miradi ni mengi tu, ata hauwezi maliza kuvitaja. nipe mmda kiasi nizikusanye zote

Even most road projects are not included.
Tz iko na miradi mingi mno usije jaribu kushindana na Tz kwenye suala la Mirada kwasasa
 
Why are you avoiding this important question: GDP ni propaganda ya mzungu ikija tu kwa mataifa mengine, lakini the same mzungu akisema dgp ya Tanzania imegrow hapo ndio propaganda inapoishia? 😂
Usijaribu kutoka nje ya mada, WB inaitaja Kenya kuwa na GDP kubwa kuliko NK .. je ni kweli Kenya iko na maendeleo kuliko NK.?
 
We jamaa nna mashaka na uelewa wako, hivi unafkiri NK ndani ndani kutakua na maskini wa ajabu kama ambavyo utakavyokutana maskini wa kenya wa ndani ndani.? Ikiwa mjini (katikati ya majiji) ni kubovu hivi ndio uko vijijini kutakua kuzuri.? Unaitaja China na kuwa hovyo 😂😂😂 umeshawahi kujaribu kufanya research yoyote kuhusu China au unaropoka tu.? Inaonekana Unafuatilia sana propaganda za Western media we jamaa, owky fuatilia huyu jama akuonyeshe real China 👇. US is nothing compared to China

Unapoeleweshwa na facts, usilete video za personal opinions. Narudia tena, North Korea is very poor. China is also poor. Kwani kuwa na majengo mazuri ni gharama sana? China inajenga miji yenye skyscrapers ambayo haina hata tenants! Ni ghost towns tu! Sidhani kama watu wanaweza hata kuafford rent ya majengo hayo.

Pitia hapa ujieleweshe.

Halafu mimi si shabiki wa western media, but I did grow up in the west and I know the west better than you do AND I have been to China. And I have Chinese friends. Kwa hiyo maneno yangu ni substantive. Wewe unaangalia uhalisia kupitia YouTube vlogs! Notice the difference between us!
 
Wewe unaona nini? Ama ni mara yako ya kwanza kuona hii picha ikisambazwa hapa ndani? Uliza wenzako wakuahadithie kilichotokea hiyo siku
Usijaribu kunikimbia kijana, nataka unipe majibu.. hapo chini 👇 hiyo treni ya mkandarasi inaonekana imeanguka kutokea SGR.? 

D6HlUhOW4AAFcqG.jpeg
 
Unapoeleweshwa na facts, usilete video za personal opinions. Narudia tena, North Korea is very poor. China is also poor. Kwani kuwa na majengo mazuri ni gharama sana? China inajenga miji yenye skyscrapers ambayo haina hata tenants! Ni ghost towns tu! Sidhani kama watu wanaweza hata kuafford rent ya majengo hayo.

Mimi si shabiki wa western media, but I did grow up in the west and I know the west better than you do AND I have been to China. And I have Chinese friends. Kwa hiyo maneno yangu ni substantive. Wewe unaangalia uhalisia kupitia YouTube vlogs! Notice the difference between us!
Mzee unaleta mbamba kibao, huyo mwamba sio mmarekani wala sio mchina, na ameishi kote US&China na hapo amefanya comparison kati ya one among poorest provinces of China vs YC, yeye amefanya upande wake kukuonyesha tu wewe halaf upime mwenyewe, je ni kweli west wapo vizur kuliko china.? Na wala hajasema chochote kutoa conclusion, ..

Unapiga kelele eti umeishi west na China 😂😂😂 while hujui chochote, unazungumzia sijui kwenye majiji ndio pako vizur maeneo mengine pako hovyo alafu unasahau kwamba China iko na majiji 100 vs 10 cities of US 😂😂😂, sasa nani atakua vizur zaidi ya mwengine hata kwa maeneo ya mjini tu.? Watu dizaini yako tunaita mbumbumbu .. mzee US is nothing compared to China, lakini WB wanatuambia US wako vizur.. NB: wachana na western propaganda mzee
 
Back
Top Bottom