Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What has this statement got to do with what I posted? Nyinyi watu education yenu ni matope tu. Mimi Nakueleza SA is more developed than Nigeria because it's GDP per capita is way higher than Nigeria na wewe unaniambia unrelated information about Kenya and Egypt.

Hahah, mbona ni mfano huohuo mzee
 
Wamewazidi kenya lakini bado wako category ya lower middle income tu kama Tanzania tofauti lazima iwepo kulingana na wao kukutangulia katika eneo hilo ,bado hawajavuka lakini wametuzidi vingi
wao wapo upper middle ni tofaut na sisi pamoja na kenya sisi tuko lowe middle tofaut ni kubwa sana
 
Alifake data ipi?
Vitu kwa ground 😅😅😅😅

images (17).jpeg
Screenshot_20211214-101854.png
 
Tatizo lako tuusan huwa unaangalia jambo kwa kigezo kimoja kisha unachora conclusion,
Misri ina population kubwa Karibu mara mbili ya kenya na pia uchumi wake ni mara 5 ya kenya
South Africa in population kubwa kuliko kunya ila imeendelea zaidi kuliko kunyaland.
Umezungukia pale pale
 
Wanazinguliwa na Jina na Wanayolishwa na wazungu wao, North Korea inakimbiza nchi kibao pamoja na ma negative yote kuhusu wao.
North Korea inazidi nchi nyingi za ulaya ni siasa chafu za marekani ndio zinatengeneza propaganda chafu dhidi ya Pyongyang, cha kushangaza hawa jamaa wana 5$ billion external debt only, maana yake miundombinu yote, technology na maendeleo wamejiletea wenyewe kwa nguvu na uwezo wao binafsi lakini IMF inakuambia Uganda imeipita mbali sana North Korea kiuchumi 🤣🤣🤣🤣
 
North Korea inazidi nchi nyingi za ulaya ni siasa chafu za marekani ndio zinatengeneza propaganda chafu dhidi ya Pyongyang, cha kushangaza hawa jamaa wana 5$ billion external debt only, maana yake miundombinu yote, technology na maendeleo wamejiletea wenyewe kwa nguvu na uwezo wao binafsi lakini IMF inakuambia Uganda imeipita mbali sana North Korea kiuchumi 🤣🤣🤣🤣
Sio Uganda tu, kwani hiyo kenya yenyewe inamshinda nini DPRK? 😂😂😂😂,GDP ya DPRK si ndogo kuliko GDP ya Nairobi?

Screen Shot 2021-12-31 at 11.13.41.png


DPRK GDP

Screen Shot 2021-12-31 at 11.14.21.png



HAYA MTUAMBIE NANI ANATEMBELEA KICHWA HAPA🤣


gettyimages-1130508122-2048x2048.jpg



gettyimages-921659924-2048x2048.jpg



gettyimages-1147690598-2048x2048.jpg




gettyimages-1097857344-2048x2048.jpg




gettyimages-547395728-2048x2048.jpg


gettyimages-608641166-2048x2048.jpg



GDP my foot🤣🤣🤣🤣🤣
 
ebu leo tulete miradi (mega projects) ambayo ipo under construction kati ya Tanzania na Kenya

naanza na hii ya Tanzania
  • BRT phase 2
  • SGR lot 1, lot 2, lot 5
  • JNHPP
  • Msalato International Airport
  • JPM bridge
  • Tanzanite bridge

kule kenya naujua mmoja tu wa mchina.. ile express road
 
Back
Top Bottom