Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya GDP $106B VS Tz GDP $65B the difference is $41B Hii pekee inatoa picha tunayo kazi ya kufanya watz. Tukope tumalize miradi ya kimkakati labda inaweza badili hali ya uchumi kwa siku zijazo...let's hope tunaweza close gape apo baadae ...

Naona uwekezaji ukipaa sambamba na utalii...sijui kama inaweza punguza gap kwa kiasi gani
Na wewe kwa akili yako hizo number ndio uchumi? 🚮🚮🚮🚮
 
Eti Magufuli hakuwahi Sema eti Tanzania haina corona? Ni mara ngapi hata nyinyi hapa ndani mlizungumzia hili? Na hizi taarifa je?


Kuhusu kauli za Magu na SSH, ni mara ngapi nimeona mkikashifu baadhi ya maamuzi ya mama hadharani kwenye hili jukwaa? Kama maono yake yanaendana na ya Magu as you say, mbona hizi lalama zote?
Learn to read between the lines, nioneshe mahali Magu alikataa kwamba covid haikuwahi kuwepo Tz, mpk mwanaye wa kumzaa kawahi kupata corona na alisema public.

Japo ni kweli kuna muda covid ilitokomea kabisa hapa Tz na hata vyombo vikubwa kabisa vya habari viliripoti hilo na wewe ni shahidi, hata sasa tunavyoongea covid co tishio tena hapa Tz, kilichobaki ni siasa tu.

Kuhusu Rais Samia kutofautiana kimtazamo na Magu hiyo ni kawaida cz yeye ni binadamu hawezi kulingana kila kitu na mtangulizi wake but hiyo haiondoi ukweli kwamba wote wanatekeleza ilani ile ile ya mwaka 2015-2020 unless uniletee uthibitisho kwamba ilani imebadilika.
 
Kenya GDP $106B VS Tz GDP $65B the difference is $41B Hii pekee inatoa picha tunayo kazi ya kufanya watz. Tukope tumalize miradi ya kimkakati labda inaweza badili hali ya uchumi kwa siku zijazo...let's hope tunaweza close gape apo baadae ...

Naona uwekezaji ukipaa sambamba na utalii...sijui kama inaweza punguza gap kwa kiasi gani
[emoji205][emoji205] zitapinga

 
Kenya GDP $106B VS Tz GDP $65B the difference is $41B Hii pekee inatoa picha tunayo kazi ya kufanya watz. Tukope tumalize miradi ya kimkakati labda inaweza badili hali ya uchumi kwa siku zijazo...let's hope tunaweza close gape apo baadae ...

Naona uwekezaji ukipaa sambamba na utalii...sijui kama inaweza punguza gap kwa kiasi gani

Wewe nawe uwaga unakurupuka tu bila ya kushirikisha ubongo. Nigeria ina GDP ya $450b
South Africa ni $300b
Tofauti ni 150b
Kati ya South Africa na Nigeria ni nchi gani imeendelea ?
 
Kenya GDP $106B VS Tz GDP $65B the difference is $41B Hii pekee inatoa picha tunayo kazi ya kufanya watz. Tukope tumalize miradi ya kimkakati labda inaweza badili hali ya uchumi kwa siku zijazo...let's hope tunaweza close gape apo baadae ...

Naona uwekezaji ukipaa sambamba na utalii...sijui kama inaweza punguza gap kwa kiasi gani

Tunaweza kuamua kupaisha GDP ili tuvute mikopo mingi ya wazungu wakenya wanavyofanya, but kwa ground mambo hujieleza..
Morocco ina GDP ya $110b na Kenya nao wanadai wana gdp ya $105b
Tofauti kwa ground ni kuwa Kenya ni nchi ya ulimwengu wa tatu na Morocco ni ulimwengu wa kwanza.
Think kaka, think .
 
Tunaweza kuamua kupaisha GDP ili tuvute mikopo mingi ya wazungu wakenya wanavyofanya, but kwa ground mambo hujieleza..
Morocco ina GDP ya $110b na Kenya nao wanadai wana gdp ya $105b
Tofauti kwa ground ni kuwa Kenya ni nchi ya ulimwengu wa tatu na Morocco ni ulimwengu wa kwanza.
Think kaka, think .
Eti mtu anatype kabisa Tz GDP ni $65b tangu 2015 tupo hapo hapo kwenye 60s, nchi inajenga miundombinu mikubwa na ya gharama lkn GDP iko hapo hapo haipandi, ni kichaa pekee atakubali ujinga huu.
 
Hili ni eneo la parklands na ujenzi uko kwenye level nyingine
download.jpg
 
Wewe nawe uwaga unakurupuka tu bila ya kushirikisha ubongo. Nigeria ina GDP ya $450b
South Africa ni $300b
Tofauti ni 150b
Kati ya South Africa na Nigeria ni nchi gani imeendelea ?
linganisha pia na idadi ya watu. eg. India ina trillioni dollar 2.72,. na Italy 2.07.. ni nchi gani ilioendelea?

usisahau SA ina idadi 59m na Nigeria 209m, pia
kenya ina idadi 47m na Tz 61m..!
 
Back
Top Bottom