Gwakagwaka
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 526
- 1,426
Hawa jamaa ni wapumbavu sana, lakini wachafu sana. Mpaka mademu wao wachafu kichizi.Kuna kipindi walikuwa wanafananisha huu uchafu na kariakoo! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa jamaa ni wapumbavu sana, lakini wachafu sana. Mpaka mademu wao wachafu kichizi.Kuna kipindi walikuwa wanafananisha huu uchafu na kariakoo! [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee gomora umeongea ukweli mtupu leo,pewa motura za fifti na mayai boilo ntalipa 🤣🤣🤣🤣🤣Nairobi ndio inakuweka mjini we bwege, acha mbwembwe nyingi hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bila ya nairobi huna kazi mdanganyika
Wakunya ni wachafu sana kama jina lao.
Hawa jamaa ni wapumbavu sana, lakini wachafu sana. Mpaka mademu wao wachafu kichizi.
bado tu white elephant inahara [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpotezee mwehu yuleJamaica ipo Africa?
Mimi hivyo vikomwe vya kikuyu na kikamba uwa nikikutana navyo abroad uwa siviachi bila kuvigongaZamani kwa akili zangu za kitoto niliamini kujua kingereza ni mojawapo ya dalili kua una uwezo mkubwa wa akili. Ila nikiwa mdogo hivyo hivyo nilikuja kugundua kua hata England kuna machizi na wagonjwa wa akili wanaoongea kingereza vizuri kuzidi Lecturer wangu ila ni wagonjwa wa akili.
Tafadhali wakenya hebu leteni hoja nzito. Hivyo vingereza unavyoviongea haimaanishi ndio mnaongea points sana. Utumwa wa wazungu naona nyie uliwakolea zaidi bado mnawaabudu wazungu na mila zao.. si vibaya sana maana hio kingereza hata sisi wa Rwanda tunaelewa pia ila muongee point zakueleweka kama nimesikia mtu hapa analinganisha ile matatu ya KE na DART TZ hamko serious😂
Naona kama mmeishiwa vyakuongea labda tuongelee venye mademu wa KE wako na big forehead na vile wamekomaa vimiguu. Kuna mademu wa KE nilisoma nao Stellenbosch University lakini sikupata hata tabu kuwatambua nikakaita kamoja keusi flani hivi na meno imeachana achana nikakaa kwa swahili "hey wewe ni mrembo sana unatokea Kenya" kakacheka kakasema "umejuaje mimi ni m'KE" ilikua imebaki kidogo niseme ni hivyo vimuguu vyako na hio komwe ya mwendokasi😂😂😂😂😂
Yaaani we Acha😔😔😔Huu ubishani wa BRT na matatu unatia kichefuchefu mkuu.
😂😂😂😂😂😂😒😒
Freedom fighters those ones. He's called Field Marshall Mwariama and he's a national hero. Mnadhani sisi tulipewa Uhuru kama nyinyi.Jamaa na washkaji zake 🙂🙂🙂View attachment 2060852
😃😃😃😃😃Uwezo wako wa kufikiri ahaa haaa haa.
ila mchina alichowafanyia jirani zetu sijui kama hata harufu ya mbingu ataisikia😂😂 yani mwaka 2021 wanatumia treni za 1910Ndio shida ya madude ya mitumba