Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20211228-121757_Instagram.jpg
Screenshot_20211227-232520_Instagram.jpg



Screenshot_20211228-121313_Instagram.jpg
Shabab NAKURU
Screenshot_20211228-223756_Instagram.jpg
 
Zamani kwa akili zangu za kitoto niliamini kujua kingereza ni mojawapo ya dalili kua una uwezo mkubwa wa akili. Ila nikiwa mdogo hivyo hivyo nilikuja kugundua kua hata England kuna machizi na wagonjwa wa akili wanaoongea kingereza vizuri kuzidi Lecturer wangu ila ni wagonjwa wa akili.

Tafadhali wakenya hebu leteni hoja nzito. Hivyo vingereza unavyoviongea haimaanishi ndio mnaongea points sana. Utumwa wa wazungu naona nyie uliwakolea zaidi bado mnawaabudu wazungu na mila zao.. si vibaya sana maana hio kingereza hata sisi wa Rwanda tunaelewa pia ila muongee point zakueleweka kama nimesikia mtu hapa analinganisha ile matatu ya KE na DART TZ hamko serious😂

Naona kama mmeishiwa vyakuongea labda tuongelee venye mademu wa KE wako na big forehead na vile wamekomaa vimiguu. Kuna mademu wa KE nilisoma nao Stellenbosch University lakini sikupata hata tabu kuwatambua nikakaita kamoja keusi flani hivi na meno imeachana achana nikakaa kwa swahili "hey wewe ni mrembo sana unatokea Kenya" kakacheka kakasema "umejuaje mimi ni m'KE" ilikua imebaki kidogo niseme ni hivyo vimuguu vyako na hio komwe ya mwendokasi😂😂😂😂😂
Mimi hivyo vikomwe vya kikuyu na kikamba uwa nikikutana navyo abroad uwa siviachi bila kuvigonga
 
Back
Top Bottom