ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hii hapa haya funga acc ukapake mafuta chupa ya fanta au mirinda nyeusi 😂😂3 years ago gani na hata haikua imeanza kazi. Nionyeshe ikiwa kazi 2019 nifunge account. 😂😂😂
hii hapa haya funga acc ukapake mafuta chupa ya fanta au mirinda nyeusi 😂😂3 years ago gani na hata haikua imeanza kazi. Nionyeshe ikiwa kazi 2019 nifunge account. 😂😂😂
Kama hujui kingereza co tatizo langu.What do you mean by saying that
"Reputable organization"
I think you ain't no a good arguer
Watakupa uraia wa Tanzania we subiri uone mkuu, Watz oneni mtoto wa Kagame anavyowapa dozi hawa mbwaZamani kwa akili zangu za kitoto niliamini kujua kingereza ni mojawapo ya dalili kua una uwezo mkubwa wa akili. Ila nikiwa mdogo hivyo hivyo nilikuja kugundua kua hata England kuna machizi na wagonjwa wa akili wanaoongea kingereza vizuri kuzidi Lecturer wangu ila ni wagonjwa wa akili.
Tafadhali wakenya hebu leteni hoja nzito. Hivyo vingereza unavyoviongea haimaanishi ndio mnaongea points sana. Utumwa wa wazungu naona nyie uliwakolea zaidi bado mnawaabudu wazungu na mila zao.. si vibaya sana maana hio kingereza hata sisi wa Rwanda tunaelewa pia ila muongee point zakueleweka kama nimesikia mtu hapa analinganisha ile matatu ya KE na DART TZ hamko serious
Naona kama mmeishiwa vyakuongea labda tuongelee venye mademu wa KE wako na big forehead na vile wamekomaa vimiguu. Kuna mademu wa KE nilisoma nao Stellenbosch University lakini sikupata hata tabu kuwatambua nikakaita kamoja keusi flani hivi na meno imeachana achana nikakaa kwa swahili "hey wewe ni mrembo sana unatokea Kenya" kakacheka kakasema "umejuaje mimi ni m'KE" ilikua imebaki kidogo niseme ni hivyo vimuguu vyako na hio komwe ya mwendokasi![]()







Halafu jamaa wenyewe wanasema idea waliipata wapi 👇The guy don`t even know if there is someone by the name Nyerere. He documented all the important people that he met on his way to starting the The Kwanzaa Festival and Nyerere is nowhere to be seen.
Mtu anayekufa kwa njaa anachaje kuwa mzembe na mbumbumbu wa kutupwaWao wanatoa vibarua watu wameandika wafanyikazi wa ndani
Narudia tena, hakuna msomali tajiri likija swala la matajiri kenya labda waungeunge sana
Wakenya sio vilaza na wazembe km watz bana mnaachia mtawaliwe na machotara
Any Kenyan without employment go see this Somali guy
Yaani wa Somali Kenya ndio wenye pesa kuliko wakenya
Daylight prostitution in Nairobi CBD
View attachment 2060748
Kaanza kuongopaKenyan matatus are upgrading and increasing the capacity. Super metro has introduced their new bus that will serve Nairobi residents.
View attachment 2060244









hii hapa haya funga acc ukapake mafuta chupa ya fanta au mirinda nyeusi 😂😂
View attachment 2061021
View attachment 2061024
Hiyo mbwa iko radhi iongee uongo... Sijui Kwanini hawa jamaa wanakua hivi 😂😂😂Kaanza kuongopa![]()
Nenda Eastleigh huwa wanatoa vibarua vya kuwafulia nguo![]()



Kumbe unajua km ubungo ni kilima
Hivi hiyo Estleigh ushaiona bila filter!![]()









Wakunya ni wachafu sana kama jina lao.Kuna kipindi walikuwa wanafananisha huu uchafu na kariakoo!![]()
Uongo ni moja ya maisha ya Wakenya, lazima waongope kwasababu wana maisha magumu zaidi ya unavyoweza kufikiri.Hiyo mbwa iko radhi iongee uongo... Sijui Kwanini hawa jamaa wanakua hivi![]()
Kaanza kuongopa![]()
Tena achague kabisa hapa hapa atatumia chupa ya fanta au mirinda nyeusi![]()











Namba za gari za Tanganyika zinaanzia na T 🙂bongo darslam, wanaume kazi View attachment 2060427View attachment 2060428